Kama wewe ni mwandishi wa vitabu pitia hapa!

Investaa

JF-Expert Member
Jul 3, 2015
789
654
Habari Authors.

Bado naamini kwenye eBook business ili mwandishi aweze kufanikiwa kwenye taaluma yake ya uandishi kutokana na kupunguza gharama ya uchapishaji na kutapeliwa na PUBLISHERS. Nimepata wazo la kukutana na waandishi wa dar kwanza iliniwaze kuwaelezea how ebook business works and how to make money on it, naamini mwandishi mzuri kwenye kuandika sana anaweza kufanikiwa zaidi kwasababu hatakuwa hapoti sokoni.

Jana niliona bandiko fb la wandishi kukutana kijitonyama ili kujadili kuhusu kuwa na chama cha wandishi tanzania, ila sikumbuki walisema ni tarehe ngapi, nilitamani sana na mm niwepo niwape hii idea ya ebook business.

Wandishi wengi bado wana mawazo mgando kuhusu biashara ya vitabu, ni kama bado wapo miaka ya 70s kwenye biashara ya vitabu; wengi wamegoma kubadilisha biashara yao kuwa ya kisasa zaidi na kuuza sana nchi nzima. Ila wao wanaamini kwenye kuchapisha na kusambaza mikoani.

Wandishi wengi wanamsemo wanapenda kusema , bongo hayo mambo hayawezekani ndio maana tunakomaa na kuchapisha vitabu, bila kufanya research mtu anasubutu kusema hivyo.

Kuna app nimeona playstore na nikajaribu ku install kwenye simu yangu nione inavyofanya kazi kuhusu ebook, ile app inaitwa uwaridi, wandishi wanauza vitabu ambao ni wanachama wa hicho chama. Kitu ambacho nilishangaa ni BEI YA VITABU. Niliona vitabu vinauzwa 8k hadi 12k, ukishaweka oda unasuburi admin wa system aweze kukuwesha kukisoma hicho kitabu, nikajaribu kuchukua namba moja ya mwandishi kwenye list ya vitabu nilivyoviona kwenye app, nikampigia nikamuliza vipi kuhusu muhitikio wa watu kwenye vitabu vyako, akasema toka nimeweka sijauza niko mbion kutoa vitabu vyangu na kudili na biashara zingine.

Na jamaa alikuwa anauza kitabu kimoja 8k :) :)

Sasa softcopy na unasoma kwenye app unauzaje bei kubwa hivyo nani hatanunua? Sometimes inabdi ujigeuze kuwa customer alafu uone kama unaweza kusoma kitabu kwenye simu kwa 8k au 12k.

Nije kwa upande wangu wa EBOOK BUSINESS APP:

Binafsi ningeshauri kila mwandishi auze kitabu sh 3000 tu, ili ku motivate customer kununua sana kwa kuangalia mzunguko na sio bei ya kitabu, ukipenda sana pesa huipati ili ukiangalia mzunguko wa wateja na bei ikiwa chini tengemea mzunguko mkubwa na kibunda cha pesa kila mwezi.


APP itasaidia mwandishi kuuza sana nchi nzima na est africa kama sio africa, wakenya wanajua kiswahili pia wanaweza kununua kupitia APP sio watanzania pekeyake kwa ufupi mtu yoyote dunia anaweza kukununua kitabu chako muda wowote sehemu yoyote, hii inamuongezea mwandishi kujulikana zaidi kupitia kazi zake na kuongeza kipato zaidi kwa kuuza sana.


Njia ya malipo inayotumika ni GOOGLE PAY, njia hii ya malipo inatumia world wide , for that reason inakuwa rahisi mwandishi kuuza kazi zake world wide kupitia APP. Kwa njia hii inampush mwandishi kuandika sana vitabu ili auze sana world wide bila hofu ya kutapeliwa na kusambaa kwa kazi zake online. SAFE 99%

Sifa ya biashara yoyote iliyofanikiwa ni kuuza sana bidhaa au huduma kwa wateja wengi bila kikwazo cha njia ya malipo, kinachowakwamisha wandishi ni hawana elimu ya kutosha kuhusu eBook business. Niliwatolea mfano kuhusu Joel yule mwandishi wa vitabu vya biashara , yeye anawafundisha watu kuuza sana yeye ana struggle kuuza vitabu vyake na inafika mahali anajisell short kwa kuuza eBook whatsapp.

Kuuza eBook whatsapp ni kujisell short, kwa lugha nyepesi wazungu wanasema "SHORT TERM GAIN LONG TERM PAIN", ukishauza vitabu kwa whatsapp jiandae kuwa disappointed kwa kazi zako kusambaa online kila kona, ni sawa na kujenga nyumba mto msimbazi :) ): . Baadae lazima utoe mlio...

Mwandishi usipojua kutengeneza demand kwenye biashara yako ya vitabu uwezi uza sana kama unauza eBook, wanaochapisha vitabu nadhani wanafanya tu kwasababu hawana elimu ya eBook Business nawajua wanapigwa na publishers ila hawana namna ya kufanya.

ILA KAMA UNAWEZA KUJISIMAMIA MWENYEWE UNAWEZA UKATENGENEZA SUBSCRIPTION EBOOK BUSINESS, WATEJA WAKO WANASOMA VITABU KWA BUNDLE KILA MWEZI. MTEJA ANALIPIA 3000 ANASOMA VITABU VYOTE KWENYE APP, HII ITAKUPAISHA SANA NA KUKUTAJIRISHI HARAKA ZAIDI KAMA UNA VITABU ZAIDI YA 20/100. EASY WAY TO GET RICH..

KINACHOHITAJIKA NI GOOGLE PLAY STORE, DOMAIN NAME & HOSTING , EBOOK APP.

KAMA UNA VITABU ZAIDI YA 100 UMEULA KIULAINI, KAZI YAKO KUWA NI KUWAPA TAARIFA FANS WAKO WALIPIE 3000 WASOME VITABU VYOTE KWENYE APP, HII ZAWAD KUBWA SANA KWA WAPENZI WA KUSOMA VITABU.

UZURI WA GOOGLE PAY NI KWAMBA UNATUMIWA PESA KILA MWEZI KWENYE BANK ACCOUNT YAKO, KILA KITU NI AUTOMATIC KWAKO, KAZI KUBWA KWAKO NI KUANDIKA NA KUPAKIWA KWENYE SYSTEM BASI.

UNAINGIZA PESA UKIWA UMELALA, HAYA NDIO MAISHA AMBAYO DUNIA YA SASA INATAKA. INABDI UFIKE MAHALI U AUTOMATE YOUR BUSINESS.

SLOGAN YAKO IWE SPEND LESS GET MORE..

Neno la mwisho kwa mwandishi, "Mafanikio yako yapo kwenye shughuli zako za kila siku unazozifanya, utafanikiwa kama unabadilisha namna ya kufanya".

Ova.


Kama utahitaji kutengenezea subscription ebook app, njoo chaap kwa namba hii 0652247221. Piga simu kama upo serious , usije whatsapp wala usitume msg za kawaida.


NIPO DAR.
 
Since Publishing imekuwa rahisi sana hence kuwa na quantity nyingi kuliko quality kwahio kazi ambayo zamani ilikuwa inafanywa na Publishers (Marketing) kwa sasa inabidi muandishi mwenyewe aifanye...

Its no Joke kupata wasomaji hususan kwenye kundi la watu ambao hawapendi kusoma unless uwalenge wanachopenda (udaku n.k.)

Kwahio kitabu cha kwanza ndio kazi kuuza ukishapata following kama una talent basi itakuwa rahisi kuendelea kuwauzia readers wako....

Publishing has become easier lakini marketing ya nguvu inahitajika kutumia mediums zote (its not only about price..., unaweza hata ukagawa baadhi bure ili watu wavutiwe wasome vingine ila still watu wasivutiwe kivile) its a changed world that we live in....
 
Kama una andika vitabu vya simulizi ni rahisi sana kufanya marketing kwasababu wandishi wengi tayari wana fans kupitia social media kama facebook. Kwenye app kuna sehemu ya msomaji kusoma sample kabla hajalipia bundle la mwezi kwaiyo ni rahisi kumshawishi mtu yoyote kuendelea kusoma kwasababu kashasoma kionjo na kujua radha ya mwandishi.

Kama upendi pesa nyingi kwa kuanza unaweza charge wasomaji sh 1000 kwa mwezi ili udake ata watu wanataka kujaribu kuona kuna nini kwenye vitabu vyako vyote kwa mwezi, uzuri wasomaji hawaodoki navyo wala ku screenshot ni kusoma na kuacha kwenye app sio ishu kwako. Lengo lako ni kuvuma subscribers wengi kwa mwezi ndio maana umeweka 1000. Kwenye kila 1000 wewe una 700 na google wana 300, kwaiyo kwa 1000 wenye una 700k kwa mwezi unatumiwa kwenye akaunti yako ya bank, unaona maneno hayo.

Watanzania uwaga tunadharau pesa ndogo kwaiyo ni rahisi watu wengi kulipia 1000 kwa kusoma vitabu 100 kwa mwezi, ili waone kweli wanasoma vitabu vyote kwa mwezi. Mfano mwandishi una andika simulizi za SERIES ukawa unajitahidi kila wiki unatoa season mpya, madharani kwa mwezi unatoa season 4 zenye contents iliyoshiba haswa na zenye msisimuko wa hatare kwanini pesa isije kwako kila mwezi umekosa nn tena.

Ujiwekea target ya subscribsers 10k uwatafute ndani ya mwaka mmoja yaani miezi 12 either kwa kubook fb ads au kwenye magroup ya simulizi ya fb. Kama wewe ni mwandishi unaye andika sana kwa maana ya kutoa mzigo kila mwezi unaweza kupata zaidi subscribers 10k kwa mwaka.

Unaweza ukatafuta hadithi moja ukawekea visa vingi na kutoa kwa PART 1(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 2(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 3(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 4(SEASONS 10 NDANI YAKE) NA MWISHO PART 5(SEASONS 10 NDANI YAKE). Ukiweza kufanya hivi umewaweza wasomaji na kuafanya watumwa wa muda wote, trick toa kila mwezi PART 1 yenye seasons 10 ili kila mwezi wasomaji walipie :) . Ukipata subscribers 10k kila mwezi una 7M bila wasiwasi wa kupigwa :)

WATANZANIA WENGI + WAKENYA + WABURUNDI WANAPENDA SANA STORI ZA KIJASUSI SIO KIDOGO SANAAA...
 
Kama una andika vitabu vya simulizi ni rahisi sana kufanya marketing kwasababu wandishi wengi tayari wana fans kupitia social media kama facebook. Kwenye app kuna sehemu ya msomaji kusoma sample kabla hajalipia bundle la mwezi kwaiyo ni rahisi kumshawishi mtu yoyote kuendelea kusoma kwasababu kashasoma kionjo na kujua radha ya mwandishi.

Kama upendi pesa nyingi kwa kuanza unaweza charge wasomaji sh 1000 kwa mwezi ili udake ata watu wanataka kujaribu kuona kuna nini kwenye vitabu vyako vyote kwa mwezi, uzuri wasomaji hawaodoki navyo wala ku screenshot ni kusoma na kuacha kwenye app sio ishu kwako. Lengo lako ni kuvuma subscribers wengi kwa mwezi ndio maana umeweka 1000. Kwenye kila 1000 wewe una 700 na google wana 300, kwaiyo kwa 1000 wenye una 700k kwa mwezi unatumiwa kwenye akaunti yako ya bank, unaona maneno hayo.

Watanzania uwaga tunadharau pesa ndogo kwaiyo ni rahisi watu wengi kulipia 1000 kwa kusoma vitabu 100 kwa mwezi, ili waone kweli wanasoma vitabu vyote kwa mwezi. Mfano mwandishi una andika simulizi za SERIES ukawa unajitahidi kila wiki unatoa season mpya, madharani kwa mwezi unatoa season 4 zenye contents iliyoshiba haswa na zenye msisimuko wa hatare kwanini pesa isije kwako kila mwezi umekosa nn tena.

Ujiwekea target ya subscribsers 10k uwatafute ndani ya mwaka mmoja yaani miezi 12 either kwa kubook fb ads au kwenye magroup ya simulizi ya fb. Kama wewe ni mwandishi unaye andika sana kwa maana ya kutoa mzigo kila mwezi unaweza kupata zaidi subscribers 10k kwa mwaka.

Unaweza ukatafuta hadithi moja ukawekea visa vingi na kutoa kwa PART 1(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 2(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 3(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 4(SEASONS 10 NDANI YAKE) NA MWISHO PART 5(SEASONS 10 NDANI YAKE). Ukiweza kufanya hivi umewaweza wasomaji na kuafanya watumwa wa muda wote, trick toa kila mwezi PART 1 yenye seasons 10 ili kila mwezi wasomaji walipie :) . Ukipata subscribers 10k kila mwezi una 7M bila wasiwasi wa kupigwa :)

WATANZANIA WENGI + WAKENYA + WABURUNDI WANAPENDA SANA STORI ZA KIJASUSI SIO KIDOGO SANAAA...
Swali: Kama nina kitabu kimoja ambacho sio fiction yaani sio cha series itakuwaje? Kwamfano topic pekee ya Katiba mpya.
 
Unaweza ukatafuta hadithi moja ukawekea visa vingi na kutoa kwa PART 1(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 2(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 3(SEASONS 10 NDANI YAKE), PART 4(SEASONS 10 NDANI YAKE) NA MWISHO PART 5(SEASONS 10 NDANI YAKE). Ukiweza kufanya hivi umewaweza wasomaji na kuafanya watumwa wa muda wote, trick toa kila mwezi PART 1 yenye seasons 10 ili kila mwezi wasomaji walipie :) . Ukipata subscribers 10k kila mwezi una 7M bila wasiwasi wa kupigwa :)

WATANZANIA WENGI + WAKENYA + WABURUNDI WANAPENDA SANA STORI ZA KIJASUSI SIO KIDOGO SANAAA...
Huenda hata Sydney Sheldon, Robert Ludlum au Hadley Chase kwa dunia ya sasa ya wasiopenda kusoma na watafuniwa kila kitu asiwe kupata hizo following kwa muda mrefu, kwa kufanya unachoshauri afanye

Pili kurefusha refusha mambo sometimes inaweza kuwa a turn-off unajikuta unarudia rudia hence kuwapoteza hata wale royal followers wako...

Ushauri kwa wapenda kuandika ili uandike vitu classic..., Andika unachotaka kuandika na sio watu wanataka kuandika nini..., pili kupata pesa iwe secondary yaani fanya unachopenda pesa zikija ni bonus.... Hii mambo ya watu kuandika ili watajirike no wonder tumekuwa na quantity kubwa na sio quality...
 
Swali: Kama nina kitabu kimoja ambacho sio fiction yaani sio cha series itakuwaje? Kwamfano topic pekee ya Katiba mpya.
Kimoja hutapa watu, coz ni uvivu kusoma kitabu kimoja labda uwe navyo vingi vyenye topics tofauti tofauti ila sio kitabu kimoja. AU kama ni kimoja kiuze kwa chapter kama kina chapter zaidi 1k.
 
Huenda hata Sydney Sheldon, Robert Ludlum au Hadley Chase kwa dunia ya sasa ya wasiopenda kusoma na watafuniwa kila kitu asiwe kupata hizo following kwa muda mrefu, kwa kufanya unachoshauri afanye

Pili kurefusha refusha mambo sometimes inaweza kuwa a turn-off unajikuta unarudia rudia hence kuwapoteza hata wale royal followers wako...

Ushauri kwa wapenda kuandika ili uandike vitu classic..., Andika unachotaka kuandika na sio watu wanataka kuandika nini..., pili kupata pesa iwe secondary yaani fanya unachopenda pesa zikija ni bonus.... Hii mambo ya watu kuandika ili watajirike no wonder tumekuwa na quantity kubwa na sio quality...

Ukiandika unachotaka wewe ni ngumu sometimes kuuza koz unapeleka bidhaa ambayo wateja hawapendi, unajikuta unafeli. Unless otherwise unachokiandika kiwe kinamashiko sana na kuwavuta watu wengi.

ILA ENTERTAINMENT NI BABA LAO, WATU WENGI WANAPENDA BURUDANI NDIO JUKWAA LA BURUDANI LINA WATU WENGI SANA ULIMWENGUNI KULIKO MAJUKWAA YOYOTE UNAYOYAFIKIRIA WEWE.
 
Ukiandika unachotaka wewe ni ngumu sometimes kuuza koz unapeleka bidhaa ambayo wateja hawapendi, unajikuta unafeli. Unless otherwise unachokiandika kiwe kinamashiko sana na kuwavuta watu wengi.
Ndio maana siku hizi tunakosa oringinality yaani ni recycling ya mambo yale yale..., ukisoma vitabu vingi unaweza baada ya paragraph tu ukagundua mwisho wa story upo vipi....

Au ukajikita kwenye udaku na mambo simple simple sababu ndio fashion ya wakati huo..., kipindi cha Trump every Tom, Dick and Sally wote waliandika kuhusu Trump ili wauze huenda waliuza ila vitabu hivyo vinadumu...

Ukiwa na calling au unataka kuelezea kitu wewe kielezee hio ni zawadi tosha, kama ukiuza hio ni Bonas ila kama wewe shida yako ni pesa pekee basi andika udaku vitu simple au kama vipi SEX (Sex Sells)

Ila kama una calling na unataka kitu original na ukielezee kwa jinsi wewe unavyokiona wewe toa your masterpiece hata kama wakisoma wanne wanaokuelewa (Its not all about finance) ndio maana kuna watu wanagawa hata vitabu bure
ILA ENTERTAINMENT NI BABA LAO, WATU WENGI WANAPENDA BURUDANI NDIO JUKWAA LA BURUDANI LINA WATU WENGI SANA ULIMWENGUNI KULIKO MAJUKWAA YOYOTE UNAYOYAFIKIRIA WEWE.
In this day an age choices are many na watu concentration span yao ni ndogo kwahio inabidi kuwavuta kweli na kwenye a few pages za mwanzo ili wakusome wewe na sio wadau wengine elfu moja au wakupe muda kukusoma na sio kuangalia Telenovella

Ofcourse ukipata following na wachache wakakupenda word of mouth huenda ikikufanya upate zaidi Ila now more than ever marketing is of utmost importance

Wakati enzi za Publishers ndio wanakufanyia marketing sasa hivi ni wewe na mwendo wa kubembeleza watu social media wakusome...
 
Kuna dada mmoja nilimwona fb ana page yake , yeye anandika stori za mapenzi(Naked story) alafu series, sema hajui kuuza . Season 1 anauza 10k kitu ambacho sidhan kama anapata watu ingawa hadithi zake ni konki. Kingine anajua sana ku design cover, ni graphics designer mzuri sana anatumia CANVAS.

Watu wanaishia kusoma vionjo na wachache ndio wananunua, IMAGINE kaweka stori zako kwenye app then wasomaji wanalipia 3000 kwa mwezi kusoma hadithi zote bila kikomo, angekuwa mbali sana kimauzo kwasababu watz wanapenda sana ujinga kuliko vitu vya maana. Kwaiyo ukiweza kuwaletea ujinga mwingi kwa wakati ni rahisi sana kupiga pesa, nenda kwenye group ya fb utaona simulizi za chombeza zinavyojaa likes and comments. Sio POA.


Ingia facebook tafuta kwenye upande wa page jina "HADITHI ZA AMANDA PETER". Anajua sana kutunda hadithi pia anajua sana kubuni jina zuri lenye kuvuta wasomaji kwa mfano "ADDICTED, CATASTROPHE , RASTA..". Lait angejua kuuza content zako kisasa njaa ingemkalia mbali sana, kozi andika matusi :) kitu ambacho watz wengi wanapenda :)

Burudani ni kitu ambacho mtu hawezi kujizuia ata mara moja , atazuga tu ila lazima aingie kwenye burudani; ukiweza kubuni kitu ambacho kitawaburudisha wengi kwa kupata pesa, weka nguvu hapo maana ndipo kwenye pesa, sema wengi wanafanya kienyeji ndio maana hawapati pesa.

Ukiwa na hadithi 10 zenye season 10 kila moja , unaishi vizuri mjini bila tabu, maana kwa hesabu ya vidole una vitabu 100.

"Life is not a battle , is a game", ask yourself how to play it..

Ova
 
Habari Authors.

Bado naamini kwenye eBook business ili mwandishi aweze kufanikiwa kwenye taaluma yake ya uandishi kutokana na kupunguza gharama ya uchapishaji na kutapeliwa na PUBLISHERS. Nimepata wazo la kukutana na waandishi wa dar kwanza iliniwaze kuwaelezea how ebook business works and how to make money on it, naamini mwandishi mzuri kwenye kuandika sana anaweza kufanikiwa zaidi kwasababu hatakuwa hapoti sokoni.

Jana niliona bandiko fb la wandishi kukutana kijitonyama ili kujadili kuhusu kuwa na chama cha wandishi tanzania, ila sikumbuki walisema ni tarehe ngapi, nilitamani sana na mm niwepo niwape hii idea ya ebook business.

Wandishi wengi bado wana mawazo mgando kuhusu biashara ya vitabu, ni kama bado wapo miaka ya 70s kwenye biashara ya vitabu; wengi wamegoma kubadilisha biashara yao kuwa ya kisasa zaidi na kuuza sana nchi nzima. Ila wao wanaamini kwenye kuchapisha na kusambaza mikoani.

Wandishi wengi wanamsemo wanapenda kusema , bongo hayo mambo hayawezekani ndio maana tunakomaa na kuchapisha vitabu, bila kufanya research mtu anasubutu kusema hivyo.

Kuna app nimeona playstore na nikajaribu ku install kwenye simu yangu nione inavyofanya kazi kuhusu ebook, ile app inaitwa uwaridi, wandishi wanauza vitabu ambao ni wanachama wa hicho chama. Kitu ambacho nilishangaa ni BEI YA VITABU. Niliona vitabu vinauzwa 8k hadi 12k, ukishaweka oda unasuburi admin wa system aweze kukuwesha kukisoma hicho kitabu, nikajaribu kuchukua namba moja ya mwandishi kwenye list ya vitabu nilivyoviona kwenye app, nikampigia nikamuliza vipi kuhusu muhitikio wa watu kwenye vitabu vyako, akasema toka nimeweka sijauza niko mbion kutoa vitabu vyangu na kudili na biashara zingine.

Na jamaa alikuwa anauza kitabu kimoja 8k :) :)

Sasa softcopy na unasoma kwenye app unauzaje bei kubwa hivyo nani hatanunua? Sometimes inabdi ujigeuze kuwa customer alafu uone kama unaweza kusoma kitabu kwenye simu kwa 8k au 12k.

Nije kwa upande wangu wa EBOOK BUSINESS APP:

Binafsi ningeshauri kila mwandishi auze kitabu sh 3000 tu, ili ku motivate customer kununua sana kwa kuangalia mzunguko na sio bei ya kitabu, ukipenda sana pesa huipati ili ukiangalia mzunguko wa wateja na bei ikiwa chini tengemea mzunguko mkubwa na kibunda cha pesa kila mwezi.


APP itasaidia mwandishi kuuza sana nchi nzima na est africa kama sio africa, wakenya wanajua kiswahili pia wanaweza kununua kupitia APP sio watanzania pekeyake kwa ufupi mtu yoyote dunia anaweza kukununua kitabu chako muda wowote sehemu yoyote, hii inamuongezea mwandishi kujulikana zaidi kupitia kazi zake na kuongeza kipato zaidi kwa kuuza sana.


Njia ya malipo inayotumika ni GOOGLE PAY, njia hii ya malipo inatumia world wide , for that reason inakuwa rahisi mwandishi kuuza kazi zake world wide kupitia APP. Kwa njia hii inampush mwandishi kuandika sana vitabu ili auze sana world wide bila hofu ya kutapeliwa na kusambaa kwa kazi zake online. SAFE 99%

Sifa ya biashara yoyote iliyofanikiwa ni kuuza sana bidhaa au huduma kwa wateja wengi bila kikwazo cha njia ya malipo, kinachowakwamisha wandishi ni hawana elimu ya kutosha kuhusu eBook business. Niliwatolea mfano kuhusu Joel yule mwandishi wa vitabu vya biashara , yeye anawafundisha watu kuuza sana yeye ana struggle kuuza vitabu vyake na inafika mahali anajisell short kwa kuuza eBook whatsapp.

Kuuza eBook whatsapp ni kujisell short, kwa lugha nyepesi wazungu wanasema "SHORT TERM GAIN LONG TERM PAIN", ukishauza vitabu kwa whatsapp jiandae kuwa disappointed kwa kazi zako kusambaa online kila kona, ni sawa na kujenga nyumba mto msimbazi :) ): . Baadae lazima utoe mlio...

Mwandishi usipojua kutengeneza demand kwenye biashara yako ya vitabu uwezi uza sana kama unauza eBook, wanaochapisha vitabu nadhani wanafanya tu kwasababu hawana elimu ya eBook Business nawajua wanapigwa na publishers ila hawana namna ya kufanya.

ILA KAMA UNAWEZA KUJISIMAMIA MWENYEWE UNAWEZA UKATENGENEZA SUBSCRIPTION EBOOK BUSINESS, WATEJA WAKO WANASOMA VITABU KWA BUNDLE KILA MWEZI. MTEJA ANALIPIA 3000 ANASOMA VITABU VYOTE KWENYE APP, HII ITAKUPAISHA SANA NA KUKUTAJIRISHI HARAKA ZAIDI KAMA UNA VITABU ZAIDI YA 20/100. EASY WAY TO GET RICH..

KINACHOHITAJIKA NI GOOGLE PLAY STORE, DOMAIN NAME & HOSTING , EBOOK APP.

KAMA UNA VITABU ZAIDI YA 100 UMEULA KIULAINI, KAZI YAKO KUWA NI KUWAPA TAARIFA FANS WAKO WALIPIE 3000 WASOME VITABU VYOTE KWENYE APP, HII ZAWAD KUBWA SANA KWA WAPENZI WA KUSOMA VITABU.

UZURI WA GOOGLE PAY NI KWAMBA UNATUMIWA PESA KILA MWEZI KWENYE BANK ACCOUNT YAKO, KILA KITU NI AUTOMATIC KWAKO, KAZI KUBWA KWAKO NI KUANDIKA NA KUPAKIWA KWENYE SYSTEM BASI.

UNAINGIZA PESA UKIWA UMELALA, HAYA NDIO MAISHA AMBAYO DUNIA YA SASA INATAKA. INABDI UFIKE MAHALI U AUTOMATE YOUR BUSINESS.

SLOGAN YAKO IWE SPEND LESS GET MORE..

Neno la mwisho kwa mwandishi, "Mafanikio yako yapo kwenye shughuli zako za kila siku unazozifanya, utafanikiwa kama unabadilisha namna ya kufanya".

Ova.


Kama utahitaji kutengenezea subscription ebook app, njoo chaap kwa namba hii 0652247221. Piga simu kama upo serious , usije whatsapp wala usitume msg za kawaida.


NIPO DAR.
Nimekuelewa bro
 
Back
Top Bottom