samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 360
Mnajisikiaje mnapochukiwa na wanchi nakuchomewa nyumba hata pengine kuuawa kwaajili ya kutumiwa vibaya na sesikari? Hakika nawambia sasa mtawindwa kama swala, kwa muyanenayo kwa mamlaka mliyopewa na watanzania nyie mwafanya kazi za chama na kueneza sera na kutetea uozo wa serikari. Hakika hamnabudi kutambua watanzania tumeshachoka na propaganda za ccm. Jifunzeni kwayaliyotokea leo ntwara! Wananchi wamechoka.