Waandishi na watangazaji wa TBC

Waandishi na watangazaji wa TBC

Marini marin kuwa makini acha kutumikia chama wananch tunahitaji ukweli, fuata maadili ya kazi yako, mmeifanya tbc kukosa wateja na watu kuidharau na hata kutotamani kuangalia taarifa zake, tambueni hicho ni chombo cha taifa na kinaendeshwa na kodi zetu na si taasisi ya ccm
 
Hawa jamaa wasipobadilika hakika maisha yao yapo rehani, wasinge mtoa tido mhando yote haya singekuwepo sasa oneni mnavoogopa hatakwenda nje ya nyumba zenu?
 
Ndugu zangu kwanza Nawapa pole wanamtwara wote popote walipo Tz hii, Pili sishabikii mtu kufa au mali kuharibiwa kwa hali yeyote ile ila kwa la mtwara ningependa nyumba zote za makasuku wa ccm na vibaraka wao ziunguzwe zote. Hawa watangazaji wa TBCCCM, wamesahau kuwa kodi zetu watz ndizo zinatumika kuendeshea na kulipa miposho yote na mishahara yao.
Huo ndio gharama ya kulipia unafiki na ufedhuli kwa viongozi wote wa ccm na vibaraka wao.
SHAME UPON THEM, CCM HAIKUBALIKI TUSHIRIKANE KUIONDOA DAMA HONGERINI WANA MTWARA KWA UJASIRI.
HAYA SASA WAKNA LUKOSI, RIDHIWANI, MARCOPOLO, SHONZA, MWAMPAMBA, M23, NUKSI LETENI UMBEA WENU TUONE HAPA, VIPI CDM NDIO IMEHUSIKA NII NYIE WANAFIKI NILIOWATAJA HAPO JUU ROPOKENI

TBCCCM OVYO KABISA INGETEKETEZWA TU PALE DSM NI KIJIWE CHA UONGO NA DHULUMA





Tatizo sio Uadui bali ni kwamba hawa "MAYALA" ya TBCCM wanashindwa kujua kwamba wao kunenepeana ni kwa sababu ya Kodi zetu? TBC ni mali ya Watanzania wote na sio mali ya CCM na viongozi wake.

Kuchomewa nyumba kwa Mwandishi wa habari wa TBC ni kielelezo tosha kwamba sasa Watu wamewachoka hawa waandishi Uchwara na Waendekeza Tumbo wa TBCCM kwa tabia yao ya kujipendekeza kwa Serikali ya Ccm kwa kuripoti Uongo na Propaganda!
Huuni mwanzo tu na kwamba mengine mengi yanakuja ni swala la Muda tu. Haiwezekani watu wachache kukitumia chombo cha Umma kwa maslahi yoa na Watawala huku Umma wa Watanzania walipa kodi inayoendesha Chombo hicho wakiachwa kusemewa na badala yake chombo chao kinatumika kuwatishia..!
Mimi tangia hiki kituo kianze kutumika kuhujumu Harakati za CDM na kua Mstari wa mbele kurusha vipindi vya Hujuma na PROPAGANDA dhidi ya CDM hakika nimekua siipendi kabisa kuiyangalia especialy Vipindi vinavyo tangazwa na huyu anaejiita MARIN HASAN MARIN!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Hakika kuliko niangalie hii ni bora nizime tv nilale maana hawachewi kukuaribia siku kwa habari za kizushi bila yakujua kuwa taifa lipo katika mfumo wa vyama vingi.
 
Hapa ndo watauona umuhimu wa Tido Mhando. Kwa kiasi flani alilimudu sana hili shirika na aliondolewa mara tu baada ya kuweka misingi bora ya habari.
 
Hapa ndo watauona umuhimu wa Tido Mhando. Kwa kiasi flani alilimudu sana hili shirika na aliondolewa mara tu baada ya kuweka misingi bora ya habari.

Skype hakuna lisilo na mwisho,linafadhaisha ila tambua kwamba tangu misingi ya Dunia kuwapo,uwongo haujawahi kuushinda ukweli,pamoja na mambo yote ya kisiasa lkn mwanadamu mwenye kujitambua ni lazma amtambue Mungu.Mtu au Kiongozi yeyote asiyekuwa na hofu ya Mungu hatma yake haielezeki,Serikali ya ccm misingi na nguzo zake zimesimamia kuzimu,na siku zote baba yake mtu muongo na muovu ni SHetani,Tbc wanajua wafanyacho wakijiaminisha wametuaminisha.ebu tuendelee kuishi kwa imani tukiamini hakuna kamba isiyo na mwisho,hao vibaraka wa maccm hawana muda.UKWELI HUU NTAUUFIA...

The nation that destroys its destroys itself.
 
Skype hakuna lisilo na mwisho,linafadhaisha ila tambua kwamba tangu misingi ya Dunia kuwapo,uwongo haujawahi kuushinda ukweli,pamoja na mambo yote ya kisiasa lkn mwanadamu mwenye kujitambua ni lazma amtambue Mungu.Mtu au Kiongozi yeyote asiyekuwa na hofu ya Mungu hatma yake haielezeki,Serikali ya ccm misingi na nguzo zake zimesimamia kuzimu,na siku zote baba yake mtu muongo na muovu ni SHetani,Tbc wanajua wafanyacho wakijiaminisha wametuaminisha.ebu tuendelee kuishi kwa imani tukiamini hakuna kamba isiyo na mwisho,hao vibaraka wa maccm hawana muda.UKWELI HUU NTAUUFIA...

The nation that destroys its destroys itself.

Habari nzima ya "hakuna lisilo na mwisho" ni methali ya faraja zinazoweza kutumiwa na waangamizi.

Kwanza hatujui kama ni kweli hakuna lisilo na mwisho. Kwa kadiri tujuavyo namba hazina mwisho kwa maana ya kwamba unaweza kuongeza moja juu ya mwisho wowote ulio nao katika mstari wa namba.

Hapo habari nzima ya "hakuna lisilo na mwisho" inakauka. Mwisho wa namba ni namba ngapi?

Pili, hata kama kuna mambo yataendelea kwa muda mrefu sana na kuisha, kama vile jua letu hili "sole Sol" litavyozimika katika miaka bilioni tano ijayo - mingi ajabu- kwa sababu hydrogen na helium zinazolipa mafuta ya kuangaza zitakwisha, hilo halimaanishi kwamba halina mwisho.

Habari ya "hakuna lisilo na mwisho" ni habari ya kutolewa na viongozi walioshindwa kuongoza, wanaowapa wananchi wao matumaini mafu kwamba matatizo yataisha "in due time" na "of course".

Kama Kikwete anapokwenda kwenye "ajali" ya kifusi kufukia wachimba madini na kuwaua, na badala ya kuongelea tahadhari na kujiandaa maafa yasitokee, anawaambia watu habari ya "kazi ya mungu haina makosa".

Wanamapinduzi hawatakiwi kusema "hakuna lisilo na mwisho".

Vipi ukiambiwa "ni kweli hakuna lisilo na mwisho, utawala dhalimu nao una mwisho, ila mwisho wake utakuja miaka bilioni tano ijayo pale jua litakapoishiwa na hydrogen na helium atoms". Utasemaje hapo?

Uongo haujawahi kuushinda ukweli?

Ukisoma Aristotle alivyodanganya dunia mpaka dunia kuja kuoneshwa na Galileo hapo kwenye "leaning tower of Pisa" kwamba Aristotle alidanganya au kukosea ilikuwa miaka karibu 2000. Kama unasema uongo mara zote huwa na historia ya hatima ya kuvumbuliwa labda unaweza kuwa na jambo la kusema, lakini kuna mangapi ambayo mpaka leo ambayo watu wanaamini ambayo bado ni ya uongo?

Tuchukue mfano hiyo habari ya mungu. Uongo mkubwa kabisa kuliko mambo yote yaliyoweza kusemwa na binadamu. Mpaka leo unaaminiwa na hakuna shaka kwamba miaka 100 ijayo, hata 500, unaweza kuendelea kuaminiwa kama leo baadhi ya watu wanavyoendelea kuamini kwamba dunia ni ya ubapa.

Kuzimu? Ndo wapi huko? Uongo mwingine huo. Ukiamini kuna kuzimu ni bora hata uamini utawala wa CCM ni mzuri. Mana utawala wa CCM unaonekana na mtu anaweza kukuonyesha barabara uliojenga.

Kuzimu umekuona lini?

Shetani?

Uongo mwingine huo.

Shetani mnamsingizia tu mambo ambayo yamewashinda. Kama mungu.

Leo naamua kuwa wakili wake. Pro bono.

Shetani ni wewe binadamu. Mungu ni wewe binadamu. Wewe una uwezo wa kufanya vibaya (ukawa shetani) na vizuri (ukawa mungu). Vibaya ni nini na vizuri ni nini ni swala jingine. Kwa nini unamtafuta shetani na mungu mwingine?

Imani?

Kwa nini tuishi kwa imani wakati tunaweza kutafuta ujuzi? Kama unataka kuishi kwa imani kwa nini usiuamini utawala wa CCM unapokuhubiria habari za "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania"?

Angalia mambo kwa kina kabla kumtaja adui kwa jina.
 
Habari nzima ya "hakuna lisilo na mwisho" ni methali ya faraja zinazoweza kutumiwa na waangamizi.

Kwanza hatujui kama ni kweli hakuna lisilo na mwisho. Kwa kadiri tujuavyo namba hazina mwisho kwa maana ya kwamba unaweza kuongeza moja juu ya mwisho wowote ulio nao katika mstari wa namba.

Hapo habari nzima ya "hakuna lisilo na mwisho" inakauka. Mwisho wa namba ni namba ngapi?

Pili, hata kama kuna mambo yataendelea kwa muda mrefu sana na kuisha, kama vile jua letu hili "sole Sol" litavyozimika katika miaka bilioni tano ijayo - mingi ajabu- kwa sababu hydrogen na helium zinazolipa mafuta ya kuangaza zitakwisha, hilo halimaanishi kwamba halina mwisho.

Habari ya "hakuna lisilo na mwisho" ni habari ya kutolewa na viongozi walioshindwa kuongoza, wanaowapa wananchi wao matumaini mafu kwamba matatizo yataisha "in due time" na "of course".

Kama Kikwete anapokwenda kwenye "ajali" ya kifusi kufukia wachimba madini na kuwaua, na badala ya kuongelea tahadhari na kujiandaa maafa yasitokee, anawaambia watu habari ya "kazi ya mungu haina makosa".

Wanamapinduzi hawatakiwi kusema "hakuna lisilo na mwisho".

Vipi ukiambiwa "ni kweli hakuna lisilo na mwisho, utawala dhalimu nao una mwisho, ila mwisho wake utakuja miaka bilioni tano ijayo pale jua litakapoishiwa na hydrogen na helium atoms". Utasemaje hapo?

Uongo haujawahi kuushinda ukweli?

Ukisoma Aristotle alivyodanganya dunia mpaka dunia kuja kuoneshwa na Galileo hapo kwenye "leaning tower of Pisa" kwamba Aristotle alidanganya au kukosea ilikuwa miaka karibu 2000. Kama unasema uongo mara zote huwa na historia ya hatima ya kuvumbuliwa labda unaweza kuwa na jambo la kusema, lakini kuna mangapi ambayo mpaka leo ambayo watu wanaamini ambayo bado ni ya uongo?

Tuchukue mfano hiyo habari ya mungu. Uongo mkubwa kabisa kuliko mambo yote yaliyoweza kusemwa na binadamu. Mpaka leo unaaminiwa na hakuna shaka kwamba miaka 100 ijayo, hata 500, unaweza kuendelea kuaminiwa kama leo baadhi ya watu wanavyoendelea kuamini kwamba dunia ni ya ubapa.

Kuzimu? Ndo wapi huko? Uongo mwingine huo. Ukiamini kuna kuzimu ni bora hata uamini utawala wa CCM ni mzuri. Mana utawala wa CCM unaonekana na mtu anaweza kukuonyesha barabara uliojenga.

Kuzimu umekuona lini?

Shetani?

Uongo mwingine huo.

Shetani mnamsingizia tu mambo ambayo yamewashinda. Kama mungu.

Leo naamua kuwa wakili wake. Pro bono.

Shetani ni wewe binadamu. Mungu ni wewe binadamu. Wewe una uwezo wa kufanya vibaya (ukawa shetani) na vizuri (ukawa mungu). Vibaya ni nini na vizuri ni nini ni swala jingine. Kwa nini unamtafuta shetani na mungu mwingine?

Imani?

Kwa nini tuishi kwa imani wakati tunaweza kutafuta ujuzi? Kama unataka kuishi kwa imani kwa nini usiuamini utawala wa CCM unapokuhubiria habari za "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania"?

Angalia mambo kwa kina kabla kumtaja adui kwa jina.

ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Daima milele
 
Habari nzima ya "hakuna lisilo na mwisho" ni methali ya faraja zinazoweza kutumiwa na waangamizi.

Kwanza hatujui kama ni kweli hakuna lisilo na mwisho. Kwa kadiri tujuavyo namba hazina mwisho kwa maana ya kwamba unaweza kuongeza moja juu ya mwisho wowote ulio nao katika mstari wa namba.

Hapo habari nzima ya "hakuna lisilo na mwisho" inakauka. Mwisho wa namba ni namba ngapi?

Pili, hata kama kuna mambo yataendelea kwa muda mrefu sana na kuisha, kama vile jua letu hili "sole Sol" litavyozimika katika miaka bilioni tano ijayo - mingi ajabu- kwa sababu hydrogen na helium zinazolipa mafuta ya kuangaza zitakwisha, hilo halimaanishi kwamba halina mwisho.

Habari ya "hakuna lisilo na mwisho" ni habari ya kutolewa na viongozi walioshindwa kuongoza, wanaowapa wananchi wao matumaini mafu kwamba matatizo yataisha "in due time" na "of course".

Kama Kikwete anapokwenda kwenye "ajali" ya kifusi kufukia wachimba madini na kuwaua, na badala ya kuongelea tahadhari na kujiandaa maafa yasitokee, anawaambia watu habari ya "kazi ya mungu haina makosa".

Wanamapinduzi hawatakiwi kusema "hakuna lisilo na mwisho".

Vipi ukiambiwa "ni kweli hakuna lisilo na mwisho, utawala dhalimu nao una mwisho, ila mwisho wake utakuja miaka bilioni tano ijayo pale jua litakapoishiwa na hydrogen na helium atoms". Utasemaje hapo?

Uongo haujawahi kuushinda ukweli?

Ukisoma Aristotle alivyodanganya dunia mpaka dunia kuja kuoneshwa na Galileo hapo kwenye "leaning tower of Pisa" kwamba Aristotle alidanganya au kukosea ilikuwa miaka karibu 2000. Kama unasema uongo mara zote huwa na historia ya hatima ya kuvumbuliwa labda unaweza kuwa na jambo la kusema, lakini kuna mangapi ambayo mpaka leo ambayo watu wanaamini ambayo bado ni ya uongo?

Tuchukue mfano hiyo habari ya mungu. Uongo mkubwa kabisa kuliko mambo yote yaliyoweza kusemwa na binadamu. Mpaka leo unaaminiwa na hakuna shaka kwamba miaka 100 ijayo, hata 500, unaweza kuendelea kuaminiwa kama leo baadhi ya watu wanavyoendelea kuamini kwamba dunia ni ya ubapa.

Kuzimu? Ndo wapi huko? Uongo mwingine huo. Ukiamini kuna kuzimu ni bora hata uamini utawala wa CCM ni mzuri. Mana utawala wa CCM unaonekana na mtu anaweza kukuonyesha barabara uliojenga.

Kuzimu umekuona lini?

Shetani?

Uongo mwingine huo.

Shetani mnamsingizia tu mambo ambayo yamewashinda. Kama mungu.

Leo naamua kuwa wakili wake. Pro bono.

Shetani ni wewe binadamu. Mungu ni wewe binadamu. Wewe una uwezo wa kufanya vibaya (ukawa shetani) na vizuri (ukawa mungu). Vibaya ni nini na vizuri ni nini ni swala jingine. Kwa nini unamtafuta shetani na mungu mwingine?

Imani?

Kwa nini tuishi kwa imani wakati tunaweza kutafuta ujuzi? Kama unataka kuishi kwa imani kwa nini usiuamini utawala wa CCM unapokuhubiria habari za "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania"?

Angalia mambo kwa kina kabla kumtaja adui kwa jina.
Hujawahi kumshawishi mtu na arguments zako za kuzimu...
Hakyanani shetani ana mbinu nyingi sana za kuvuruga viumbe wa Mungu...!
Amini Usiamini kuna ma'agent!
SHINDWA KABISA!
 
Hawa watajuta kumtumikia kafiri!
Kuna litangazaji linaitwa Marin Marin hakyanani nataman ndo lingepata huo mshikemshike wa mtwara, seenz!

inawezekana hata nyumba ya mbv za mbwa hana,nilimwona na viatu vimeisha soli upande.pmbv zao ushabiki wa kijinga af hawapat faida yoyote
 
ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Daima milele

Ikiwa hivyo habari ya "hakuna lisilo na mwisho" ni ukweli au si ukweli?

Ni kizungumkuti cha fikra.

Unasema hakuna lisilo na mwisho halafu unasema ukweli utabaki kuwa ukweli milele.

Chagua moja, kuskuka au kunyoa.
 
Hujawahi kumshawishi mtu na arguments zako za kuzimu...
Hakyanani shetani ana mbinu nyingi sana za kuvuruga viumbe wa Mungu...!
Amini Usiamini kuna ma'agent!
SHINDWA KABISA!

Nani kakuchagua kuwa msemaji wa umati wa JF?
 
Sidhani kama ni haki kuwaombea hayo, kumbukeni; Wale ni wafanyakazi wanaendeshwa kwa misingi na taratibu za tv husika, wao wanaripoti kile wanachoelekezwa. Usifikiri kwamba, wafanyakazi wote wa serikali wanaipenda serikali yao na the same hata kwa hao watangazaji na waandishi wa TBC1. Na pia kumbuka ile ni ajira yao inayoyafanya wawendesha maisha yao na familia zao na wale wote wanaowategemea (kumbuka huko TZ ajira ilivyongumu). Hivyo kuwaombea mabaya sidhani kama mnawatendea haki. La msingi ni kuanza na Editor In chief ambaye kwa mujibu wa sheria ni Rais, then Waziri, Mwenyekiti wa Bodi na baadae Mkurugenzi wa hiyo TBC1. Mbona wakati wa Mhando, hakukuwa na mamalamiko mengi, anzeni kwanza na hao wa juu, kwani wachini wanatekeleza maagizo tu (mtumikie kafiri.... sijui nini)
Bigbro
 
Back
Top Bottom