Tetesi: Waalimu sasa kuanza kupigwa picha pindi wanapoingia darasani

Duuh!!Mbna Ni Mpango Wa Kizembe Sana Hivyo C Huwa Kuna Yale Madaftar Ya Walimu Kusign Kila Wanapomaliza Kufundisha.Kazi Yake Nn Au Wanatafuta Photogenic Teachers Kisha Wapewe Fani Ya Uanamitindo.
 
Itabidi huko wilayani ijengwe godown ya kuhifadhia hizo picha maana nina uhakika zitakuwa nyingi mno kila baada ya mwezi mmoja.
Ubunifu mwingine huu ni ujinga mtupu.
 
Kupiga picha sio dili, hebu serikali ijaribu kuboresha mishahara na kuwapa posho walimu waone kama kiwango cha ufaulu hakijaongezeka! Tuache kasumba ya kuwatia msongo wa mawazo na kuwaongezea hofu ambayo haita leta tija
 
Katika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha kuwa amefundisha!

Mara baada ya mwalimu kupigwa picha itatumwa kwenye ofisi za elimu wilaya ili
kuthibitisha kuwa mwalimu fulani ameingia darasani na amefundisha!
Hii taarifa ni kwa mujibu wa rafiki yangu wa karibu mwalimu wa primary mojawapo iliyopo wilayani kongwa dodoma ambapo tayari wao wameshapewa taarifa rasmi kupitia mwalimu mkuu wao kwamba utaratibu huo utaanza hivi karibu hivyo wajiandae kwa hilo!
Hapana si kweli huenda huyo mwalimu rafiki yako mhakukupa maelekezo vizuri au hukumuelewa
 
Katika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha kuwa amefundisha!

Mara baada ya mwalimu kupigwa picha itatumwa kwenye ofisi za elimu wilaya ili
kuthibitisha kuwa mwalimu fulani ameingia darasani na amefundisha!
Hii taarifa ni kwa mujibu wa rafiki yangu wa karibu mwalimu wa primary mojawapo iliyopo wilayani kongwa dodoma ambapo tayari wao wameshapewa taarifa rasmi kupitia mwalimu mkuu wao kwamba utaratibu huo utaanza hivi karibu hivyo wajiandae kwa hilo!
Acha kihedu tuulize cc walimu wakuu ndotumepewa hvyo vi cm vya utoaji taarifa kupitia mpango wa equip....!
 
Back
Top Bottom