Hapana si kweli huenda huyo mwalimu rafiki yako mhakukupa maelekezo vizuri au hukumuelewaKatika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha kuwa amefundisha!
Mara baada ya mwalimu kupigwa picha itatumwa kwenye ofisi za elimu wilaya ili
kuthibitisha kuwa mwalimu fulani ameingia darasani na amefundisha!
Hii taarifa ni kwa mujibu wa rafiki yangu wa karibu mwalimu wa primary mojawapo iliyopo wilayani kongwa dodoma ambapo tayari wao wameshapewa taarifa rasmi kupitia mwalimu mkuu wao kwamba utaratibu huo utaanza hivi karibu hivyo wajiandae kwa hilo!
Acha kihedu tuulize cc walimu wakuu ndotumepewa hvyo vi cm vya utoaji taarifa kupitia mpango wa equip....!Katika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha kuwa amefundisha!
Mara baada ya mwalimu kupigwa picha itatumwa kwenye ofisi za elimu wilaya ili
kuthibitisha kuwa mwalimu fulani ameingia darasani na amefundisha!
Hii taarifa ni kwa mujibu wa rafiki yangu wa karibu mwalimu wa primary mojawapo iliyopo wilayani kongwa dodoma ambapo tayari wao wameshapewa taarifa rasmi kupitia mwalimu mkuu wao kwamba utaratibu huo utaanza hivi karibu hivyo wajiandae kwa hilo!