Emmanuel David jr
Senior Member
- Dec 20, 2015
- 154
- 67
Malizia huwa hutaki ujinga..Kumbe picha, basi nakwenda alafu camera yao ikisha chukua picha yangu nipo class nasepa, wanafunzi watafundishwa na hiyo picha kwenye tablet zao, lol
Malizia huwa hutaki ujinga..Kumbe picha, basi nakwenda alafu camera yao ikisha chukua picha yangu nipo class nasepa, wanafunzi watafundishwa na hiyo picha kwenye tablet zao, lol
sasa c bora wangefunga camera madarasanKatika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha kuwa amefundisha!
Mara baada ya mwalimu kupigwa picha itatumwa kwenye ofisi za elimu wilaya ili
kuthibitisha kuwa mwalimu fulani ameingia darasani na amefundisha!
Hii taarifa ni kwa mujibu wa rafiki yangu wa karibu mwalimu wa primary mojawapo iliyopo wilayani kongwa dodoma ambapo tayari wao wameshapewa taarifa rasmi kupitia mwalimu mkuu wao kwamba utaratibu huo utaanza hivi karibu hivyo wajiandae kwa hilo!
walimu watakua wanaenda kupigwa picha kwa kupanga foleni ofisini kwa mkuu kabla ya kufundisha, au mkuu ndiye atayekua anawasubiri kwenye milango ya madarasa? mbona madarasa ni mengi na muda wa kuisha kipindi ni mmoja, atawezaje kuwapiga picha wote wanaoingia darasani ukizingatia kua madarasa yapo mengi na kuna umbali kati ya darasa na darasa? huu muda wa kupoteza kusubiri kupigwa picha sjui nani ataulipa!Katika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha kuwa amefundisha!
Mara baada ya mwalimu kupigwa picha itatumwa kwenye ofisi za elimu wilaya ili
kuthibitisha kuwa mwalimu fulani ameingia darasani na amefundisha!
Hii taarifa ni kwa mujibu wa rafiki yangu wa karibu mwalimu wa primary mojawapo iliyopo wilayani kongwa dodoma ambapo tayari wao wameshapewa taarifa rasmi kupitia mwalimu mkuu wao kwamba utaratibu huo utaanza hivi karibu hivyo wajiandae kwa hilo!
kuna watu zero kabisa Tanzania yetu hii. wanashindana kwa matamko tu!Kwani hamna daftari la walimu la ku sign kila pindi mwalimu wa somo husika kumaliza kipindi chake?
Vitu vingine bhana!
hio itakua ni posho kwa ajili ya kazi yao ya u cameraman!Posho ya laki 2.5 ndiyo wanayopewa wakuu wa shule na walimu wakuu tangu august nje ya mshamshahara kwaajiri ya shughuli za kiutawala
Well, to be safe acha ni-assume kuwa huyo rafiki yako alikuwa anatania, nisije nikafanya uchochezi kwa maneno ya urongo.Katika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha kuwa amefundisha!
Mara baada ya mwalimu kupigwa picha itatumwa kwenye ofisi za elimu wilaya ili
kuthibitisha kuwa mwalimu fulani ameingia darasani na amefundisha!
Hii taarifa ni kwa mujibu wa rafiki yangu wa karibu mwalimu wa primary mojawapo iliyopo wilayani kongwa dodoma ambapo tayari wao wameshapewa taarifa rasmi kupitia mwalimu mkuu wao kwamba utaratibu huo utaanza hivi karibu hivyo wajiandae kwa hilo!