Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,791
- 8,005
Ukristo na Uislam haviko kwa ajilibya mtu mweusi. Uislam ulibuniwa na Wazungu kwa ajili ya Waarabu.
Wakiwa kwenye harakati za kukuza tawala zao Wazungu na Waarabu wakatumia dini hizi kama ghiliba ya kumghilibu mtu mweusi wampe mikuluwani na miinjili kisha wapore tunu zote za mtu mweusi.
Mtu mweusi ndio mwanadamu pekee aliyeumbwa na Mungu.
Dini ya Wazungu ni Ukristo
Dini ya Waarabu ni Uislam
Dini ya Wahindi ni Hinduism
Waafrika tujitafute, kamwe hatutaheshika kwa kudharau tamaduni zetu na kuheshimu tamaduni za wageni.
Wakiwa kwenye harakati za kukuza tawala zao Wazungu na Waarabu wakatumia dini hizi kama ghiliba ya kumghilibu mtu mweusi wampe mikuluwani na miinjili kisha wapore tunu zote za mtu mweusi.
Mtu mweusi ndio mwanadamu pekee aliyeumbwa na Mungu.
Dini ya Wazungu ni Ukristo
Dini ya Waarabu ni Uislam
Dini ya Wahindi ni Hinduism
Waafrika tujitafute, kamwe hatutaheshika kwa kudharau tamaduni zetu na kuheshimu tamaduni za wageni.