Waachana siku tatu kabla ya ndoa

Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya
Hilo jambo halijamkuta ila yeye ndio kalifuata na kulikuta. Aliwaza, akaamua, akaingia chumbani, akavua na kufurahia sasa iweje matokeo ayasingizie yamemkuta.
 
Wanajukwaa, hii kitu imetokea uku kwetu mtaani, mahusiano yavunjika siku chache kabla ya kufungishwa ndoa... Jamaa na bibie wanafanya Kazi mikoa tofauti, sasa wamerudi Ili wafunge ndoa takatifu Ili wawe rasmi, mke na mume. Sasa ndugu wa mke wakamuuliza bibie, vipi mmeshapima HIV na mumeo mtarajiwa?. ..Binti akajibu hapana.

Itabidi waitwe Mume mtarajiwa na mke mtarajiwa, Ili wapelekwe kupima, maana baba mkwe aligoma mwanae asiolewe mpk wote wajue afya zao. Apo ikumbukwe mahali ilishatolewa ya kutosha, cash. Upande wa mme washanunua kila kítu cha shughuli, washakodi ukumbi, washafanya maandalizi yote, sare ishatembezwa na majirani kualikwa.

Baada ya kufika hospitali, wakachukuliwa vipimo, na majibu yalipotoka....wote mambo ni safiiiiii kbs...familia ikafurahi. Asa Dkt akasema "aah hongera bhana maana umeshaweka kitu tumboni muda si mrefu utaitwa baba, mchumba ana mimba mIEzI ". Jamaa alitoa macho hatari, unasemaje?. Itabd ndugu waulize kwani mzigo sio wako baba?. Jamaa akasema muulizeni mtoto wenu aseme iyo mimba ni ya nani, maana mimi nna miez nae 6 sijawah shiriki nae tendo, na ata baada ya kurudi apa, mtt wenu alinilazimisha sana twende tukafanye tendo lkn Mimi niligoma katakata nikamwambia tusuburie ndoa ipite bs tutafanya kwa uhuru. Binti akasema ni kweli mimba siyo ya jamaa, akaanza lia aliomba msamaha eti bd anampenda mumewe mtarajiwa.

Yani mpk ss binti anatishia kujiua, ndoa jamaa kaikataa, Yani mihela yote ile imepotea. Nimejisikia vby kwa kweli , Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya. Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.
Safi.
 
Sema wanawake wako free sana hahahahaaa!

Solution ya kiumbe kilichofree kama Mwanamke ni wewe mwanaume kujipenda wewe kwanza kujitafutia wewe kwanza na kujitunza wewe kwanza...

Mwanamke anatakiwa astahili/ ajitahidi ili uwe nae!

Sasa vijana wa kiume wanamwaga Moyo kama maharage: I love you Ya Nyoko: mahisia tu upumbavu mtupu...

Individualism is the way with women
No sacrifice
Women ni watu wa self benefits, self advantages, self interests, self gains na mambo/ maneno yote yanayohusiana na ubinafsi.

Wanaume wazee wa kujitoa hahahaaa
Eti unajitoa kwa mwanamke hahahaaa
Jitoe kwa nafsi yako utapona.

Jiponyeni Nafsi zenu

Zipendeni nafsi zenu enyi Waume
Positive masculinity.

Safi mkuu.
 
Sema wanawake wako free sana hahahahaaa!

Solution ya kiumbe kilichofree kama Mwanamke ni wewe mwanaume kujipenda wewe kwanza kujitafutia wewe kwanza na kujitunza wewe kwanza...

Mwanamke anatakiwa astahili/ ajitahidi ili uwe nae!

Sasa vijana wa kiume wanamwaga Moyo kama maharage: I love you Ya Nyoko: mahisia tu upumbavu mtupu...

Individualism is the way with women
No sacrifice
Women ni watu wa self benefits, self advantages, self interests, self gains na mambo/ maneno yote yanayohusiana na ubinafsi.

Wanaume wazee wa kujitoa hahahaaa
Eti unajitoa kwa mwanamke hahahaaa
Jitoe kwa nafsi yako utapona.

Jiponyeni Nafsi zenu

Zipendeni nafsi zenu enyi Waume

Wasipokuelewa hapa Hawa mbwa watateseka hadi kiama.
 
Yaani sijaelewa...

Daktari anapima HIV halafu majibu yanatoka ya HIV na Preginancy!!!
Mkuu kuna rapid tests huwa ni Comb...

But HIV na Pregnancy hiko kipimo hakipo coz samples zake hazifanani...

Mleta uzi katupiga kamba mchana kweupe na stori zake za kijiweni..
 
Sema wanawake wako free sana hahahahaaa!

Solution ya kiumbe kilichofree kama Mwanamke ni wewe mwanaume kujipenda wewe kwanza kujitafutia wewe kwanza na kujitunza wewe kwanza...

Mwanamke anatakiwa astahili/ ajitahidi ili uwe nae!

Sasa vijana wa kiume wanamwaga Moyo kama maharage: I love you Ya Nyoko: mahisia tu upumbavu mtupu...

Individualism is the way with women
No sacrifice
Women ni watu wa self benefits, self advantages, self interests, self gains na mambo/ maneno yote yanayohusiana na ubinafsi.

Wanaume wazee wa kujitoa hahahaaa
Eti unajitoa kwa mwanamke hahahaaa
Jitoe kwa nafsi yako utapona.

Jiponyeni Nafsi zenu

Zipendeni nafsi zenu enyi Waume
aisee tutoe lile li askari monument posta tuweke lako mkuu...Mwanamke sio mtu wa kumwonea huruma hata kidogo...
 
Sema wanawake wako free sana hahahahaaa!

Solution ya kiumbe kilichofree kama Mwanamke ni wewe mwanaume kujipenda wewe kwanza kujitafutia wewe kwanza na kujitunza wewe kwanza...

Mwanamke anatakiwa astahili/ ajitahidi ili uwe nae!

Sasa vijana wa kiume wanamwaga Moyo kama maharage: I love you Ya Nyoko: mahisia tu upumbavu mtupu...

Individualism is the way with women
No sacrifice
Women ni watu wa self benefits, self advantages, self interests, self gains na mambo/ maneno yote yanayohusiana na ubinafsi.

Wanaume wazee wa kujitoa hahahaaa
Eti unajitoa kwa mwanamke hahahaaa
Jitoe kwa nafsi yako utapona.

Jiponyeni Nafsi zenu

Zipendeni nafsi zenu enyi Waume
Very true brother
 
Wanajukwaa, hii kitu imetokea uku kwetu mtaani, mahusiano yavunjika siku chache kabla ya kufungishwa ndoa... Jamaa na bibie wanafanya Kazi mikoa tofauti, sasa wamerudi Ili wafunge ndoa takatifu Ili wawe rasmi, mke na mume. Sasa ndugu wa mke wakamuuliza bibie, vipi mmeshapima HIV na mumeo mtarajiwa?. ..Binti akajibu hapana.

Itabidi waitwe Mume mtarajiwa na mke mtarajiwa, Ili wapelekwe kupima, maana baba mkwe aligoma mwanae asiolewe mpk wote wajue afya zao. Apo ikumbukwe mahali ilishatolewa ya kutosha, cash. Upande wa mme washanunua kila kítu cha shughuli, washakodi ukumbi, washafanya maandalizi yote, sare ishatembezwa na majirani kualikwa.

Baada ya kufika hospitali, wakachukuliwa vipimo, na majibu yalipotoka....wote mambo ni safiiiiii kbs...familia ikafurahi. Asa Dkt akasema "aah hongera bhana maana umeshaweka kitu tumboni muda si mrefu utaitwa baba, mchumba ana mimba mIEzI ". Jamaa alitoa macho hatari, unasemaje?. Itabd ndugu waulize kwani mzigo sio wako baba?. Jamaa akasema muulizeni mtoto wenu aseme iyo mimba ni ya nani, maana mimi nna miez nae 6 sijawah shiriki nae tendo, na ata baada ya kurudi apa, mtt wenu alinilazimisha sana twende tukafanye tendo lkn Mimi niligoma katakata nikamwambia tusuburie ndoa ipite bs tutafanya kwa uhuru. Binti akasema ni kweli mimba siyo ya jamaa, akaanza lia aliomba msamaha eti bd anampenda mumewe mtarajiwa.

Yani mpk ss binti anatishia kujiua, ndoa jamaa kaikataa, Yani mihela yote ile imepotea. Nimejisikia vby kwa kweli , Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya. Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.
huo ndo upumbavu hujamgonga demu wako miezi sita halafu ufikirie hajakitoa kwa wahuni,,,,haya maisha ya kujifanya watakatifu kwenye mapenzi lazima ulie
 
MREJESHO
Tunashukuru bwana harusi hamempata Binti mwingine, na walifanikiwa kufunga ndoa salama salimini. Ila tu ndoa yao haikuwa na sherehe kubwa, Kwa sababu ya kuhairishwa Ile ndoa ya mara ya 1.... Yule bidada msaliti ameachwa kweupe peee. Nadhani ameshaonyesha aliyempa mimba.

Kwa Sasa bibi na bwana wameshaondoka kwenda anapofanyia Kazi mwanaume. Maana this time ameamua kuchagua yule ambaye hayuko na Kazi, nafikiri ataenda kumtafutia Cha kufanya uko uko anakofanyia Kazi.

USALITI MBAYA
 
Back
Top Bottom