Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,278
- 8,493
Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.
Hebu ongeza sauti..... mtoto awe wa nani? Hao washauri pumbavu kabisa.
Kwani wanawake wa kuoa wamekwisha.
Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.
Kuna namna pia nimeona muunganiko unagomaYaani sijaelewa...
Daktari anapima HIV halafu majibu yanatoka ya HIV na Preginancy!!!
Hilo jambo halijamkuta ila yeye ndio kalifuata na kulikuta. Aliwaza, akaamua, akaingia chumbani, akavua na kufurahia sasa iweje matokeo ayasingizie yamemkuta.Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya
Yaani sijaelewa...
Daktari anapima HIV halafu majibu yanatoka ya HIV na Preginancy!!!
Safi.Wanajukwaa, hii kitu imetokea uku kwetu mtaani, mahusiano yavunjika siku chache kabla ya kufungishwa ndoa... Jamaa na bibie wanafanya Kazi mikoa tofauti, sasa wamerudi Ili wafunge ndoa takatifu Ili wawe rasmi, mke na mume. Sasa ndugu wa mke wakamuuliza bibie, vipi mmeshapima HIV na mumeo mtarajiwa?. ..Binti akajibu hapana.
Itabidi waitwe Mume mtarajiwa na mke mtarajiwa, Ili wapelekwe kupima, maana baba mkwe aligoma mwanae asiolewe mpk wote wajue afya zao. Apo ikumbukwe mahali ilishatolewa ya kutosha, cash. Upande wa mme washanunua kila kítu cha shughuli, washakodi ukumbi, washafanya maandalizi yote, sare ishatembezwa na majirani kualikwa.
Baada ya kufika hospitali, wakachukuliwa vipimo, na majibu yalipotoka....wote mambo ni safiiiiii kbs...familia ikafurahi. Asa Dkt akasema "aah hongera bhana maana umeshaweka kitu tumboni muda si mrefu utaitwa baba, mchumba ana mimba mIEzI ". Jamaa alitoa macho hatari, unasemaje?. Itabd ndugu waulize kwani mzigo sio wako baba?. Jamaa akasema muulizeni mtoto wenu aseme iyo mimba ni ya nani, maana mimi nna miez nae 6 sijawah shiriki nae tendo, na ata baada ya kurudi apa, mtt wenu alinilazimisha sana twende tukafanye tendo lkn Mimi niligoma katakata nikamwambia tusuburie ndoa ipite bs tutafanya kwa uhuru. Binti akasema ni kweli mimba siyo ya jamaa, akaanza lia aliomba msamaha eti bd anampenda mumewe mtarajiwa.
Yani mpk ss binti anatishia kujiua, ndoa jamaa kaikataa, Yani mihela yote ile imepotea. Nimejisikia vby kwa kweli , Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya. Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.
Hapo na mm nimeona ni kamba et dr kasema na umri wa mimba
Positive masculinity.Sema wanawake wako free sana hahahahaaa!
Solution ya kiumbe kilichofree kama Mwanamke ni wewe mwanaume kujipenda wewe kwanza kujitafutia wewe kwanza na kujitunza wewe kwanza...
Mwanamke anatakiwa astahili/ ajitahidi ili uwe nae!
Sasa vijana wa kiume wanamwaga Moyo kama maharage: I love you Ya Nyoko: mahisia tu upumbavu mtupu...
Individualism is the way with women
No sacrifice
Women ni watu wa self benefits, self advantages, self interests, self gains na mambo/ maneno yote yanayohusiana na ubinafsi.
Wanaume wazee wa kujitoa hahahaaa
Eti unajitoa kwa mwanamke hahahaaa
Jitoe kwa nafsi yako utapona.
Jiponyeni Nafsi zenu
Zipendeni nafsi zenu enyi Waume
Sema wanawake wako free sana hahahahaaa!
Solution ya kiumbe kilichofree kama Mwanamke ni wewe mwanaume kujipenda wewe kwanza kujitafutia wewe kwanza na kujitunza wewe kwanza...
Mwanamke anatakiwa astahili/ ajitahidi ili uwe nae!
Sasa vijana wa kiume wanamwaga Moyo kama maharage: I love you Ya Nyoko: mahisia tu upumbavu mtupu...
Individualism is the way with women
No sacrifice
Women ni watu wa self benefits, self advantages, self interests, self gains na mambo/ maneno yote yanayohusiana na ubinafsi.
Wanaume wazee wa kujitoa hahahaaa
Eti unajitoa kwa mwanamke hahahaaa
Jitoe kwa nafsi yako utapona.
Jiponyeni Nafsi zenu
Zipendeni nafsi zenu enyi Waume
Mkuu kuna rapid tests huwa ni Comb...Yaani sijaelewa...
Daktari anapima HIV halafu majibu yanatoka ya HIV na Preginancy!!!
Akija huyo itakuwa ballaaLiverpool VPN
aisee tutoe lile li askari monument posta tuweke lako mkuu...Mwanamke sio mtu wa kumwonea huruma hata kidogo...Sema wanawake wako free sana hahahahaaa!
Solution ya kiumbe kilichofree kama Mwanamke ni wewe mwanaume kujipenda wewe kwanza kujitafutia wewe kwanza na kujitunza wewe kwanza...
Mwanamke anatakiwa astahili/ ajitahidi ili uwe nae!
Sasa vijana wa kiume wanamwaga Moyo kama maharage: I love you Ya Nyoko: mahisia tu upumbavu mtupu...
Individualism is the way with women
No sacrifice
Women ni watu wa self benefits, self advantages, self interests, self gains na mambo/ maneno yote yanayohusiana na ubinafsi.
Wanaume wazee wa kujitoa hahahaaa
Eti unajitoa kwa mwanamke hahahaaa
Jitoe kwa nafsi yako utapona.
Jiponyeni Nafsi zenu
Zipendeni nafsi zenu enyi Waume
Shida yetu watz huwa hatufanyi vipimo kabla ya kuoana kuna vipimo zaid ya kipimo cha HIVKwahiyo siku hizi ukienda hospital kupima HIV wanakupima na mimba?
Ndugu yangu expert wa MApenzi.Liverpool VPN
Very true brotherSema wanawake wako free sana hahahahaaa!
Solution ya kiumbe kilichofree kama Mwanamke ni wewe mwanaume kujipenda wewe kwanza kujitafutia wewe kwanza na kujitunza wewe kwanza...
Mwanamke anatakiwa astahili/ ajitahidi ili uwe nae!
Sasa vijana wa kiume wanamwaga Moyo kama maharage: I love you Ya Nyoko: mahisia tu upumbavu mtupu...
Individualism is the way with women
No sacrifice
Women ni watu wa self benefits, self advantages, self interests, self gains na mambo/ maneno yote yanayohusiana na ubinafsi.
Wanaume wazee wa kujitoa hahahaaa
Eti unajitoa kwa mwanamke hahahaaa
Jitoe kwa nafsi yako utapona.
Jiponyeni Nafsi zenu
Zipendeni nafsi zenu enyi Waume
Naomba na chapati mbili.....
huo ndo upumbavu hujamgonga demu wako miezi sita halafu ufikirie hajakitoa kwa wahuni,,,,haya maisha ya kujifanya watakatifu kwenye mapenzi lazima ulieWanajukwaa, hii kitu imetokea uku kwetu mtaani, mahusiano yavunjika siku chache kabla ya kufungishwa ndoa... Jamaa na bibie wanafanya Kazi mikoa tofauti, sasa wamerudi Ili wafunge ndoa takatifu Ili wawe rasmi, mke na mume. Sasa ndugu wa mke wakamuuliza bibie, vipi mmeshapima HIV na mumeo mtarajiwa?. ..Binti akajibu hapana.
Itabidi waitwe Mume mtarajiwa na mke mtarajiwa, Ili wapelekwe kupima, maana baba mkwe aligoma mwanae asiolewe mpk wote wajue afya zao. Apo ikumbukwe mahali ilishatolewa ya kutosha, cash. Upande wa mme washanunua kila kítu cha shughuli, washakodi ukumbi, washafanya maandalizi yote, sare ishatembezwa na majirani kualikwa.
Baada ya kufika hospitali, wakachukuliwa vipimo, na majibu yalipotoka....wote mambo ni safiiiiii kbs...familia ikafurahi. Asa Dkt akasema "aah hongera bhana maana umeshaweka kitu tumboni muda si mrefu utaitwa baba, mchumba ana mimba mIEzI ". Jamaa alitoa macho hatari, unasemaje?. Itabd ndugu waulize kwani mzigo sio wako baba?. Jamaa akasema muulizeni mtoto wenu aseme iyo mimba ni ya nani, maana mimi nna miez nae 6 sijawah shiriki nae tendo, na ata baada ya kurudi apa, mtt wenu alinilazimisha sana twende tukafanye tendo lkn Mimi niligoma katakata nikamwambia tusuburie ndoa ipite bs tutafanya kwa uhuru. Binti akasema ni kweli mimba siyo ya jamaa, akaanza lia aliomba msamaha eti bd anampenda mumewe mtarajiwa.
Yani mpk ss binti anatishia kujiua, ndoa jamaa kaikataa, Yani mihela yote ile imepotea. Nimejisikia vby kwa kweli , Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya. Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.
😂😂😂other factors remain constantmwenye mimba amuoe huyo binti kwa maandalizi hayohayo yaliofanyika yaani abadilishe tu bwana harusi vingine vyote vibaki constant.
Yaani sijaelewa...
Daktari anapima HIV halafu majibu yanatoka ya HIV na Preginancy!!!