supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,970
Mtihani huo ni mgumu ndio maana nimeingia na kibomu cha kuigilizia darasaniMahaba hayana commando Kila mmojawetu hupitia njia hii yataka utashi wa akili yako Na moyo wako kuukabili mtihani huo
Huo utata kwenye mahaba kwamba hakuna mbabe/baunsa ila nyie wanawake ni wababe sana na ni mabaunsa sana, maana dakika chache ukiacha unapata mwingine fasta tena kwa kufuatwaMahaba hayana commando Kila mmojawetu hupitia njia hii yataka utashi wa akili yako Na moyo wako kuukabili mtihani huo
Darasani ukiibia hufauluMtihani huo ni mgumu ndio maana nimeingia na kibomu cha kuigilizia darasani
Komedi baada ya kumuona kingwenduKomedi tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sjafaham kama kuna komedi
Kufuatwa tunafuatwa wote now a days hata nyie mnafuatwa pia usikate tamaa utapata chaguo lako unalolitaraji mshiriskishe sana MunguHuo utata kwenye mahaba kwamba hakuna mbabe/baunsa ila nyie wanawake ni wababe sana na ni mabaunsa sana, maana dakika chache ukiacha unapata mwingine fasta tena kwa kufuatwa
Hufaulu kama kibomu hujakiandika vizuriDarasani ukiibia hufaulu
Kingwendu kumbe yupo humuKomedi baada ya kumuona kingwendu
komedi nyingi sana humu.Komedi tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sjafaham kama kuna komedi
Kufuatwa kwa asali jiandae na nyukiHuo utata kwenye mahaba kwamba hakuna mbabe/baunsa ila nyie wanawake ni wababe sana na ni mabaunsa sana, maana dakika chache ukiacha unapata mwingine fasta tena kwa kufuatwa
Vizuri nimezidi kufaham experience yako ongeza nyingineHufaulu kama kibomu hujakiandika vizuri
Humu n kujitoa ufahamukomedi nyingi sana humu.
kingwendu yule aliyegombea ubunge kwa tikeki ya cuf?Komedi baada ya kumuona kingwendu
komedi nyingi sana humu.
Humu yupo mpaka joti na mzee majutoKingwendu kumbe yupo humu
Majuto huja baadae sanaHumu yupo mpaka joti na mzee majuto
nyuki ni wadudu ambao ukiwafuatilia kuna mazingatio ndani yake.Kufuatwa kwa asali jiandae na nyuki
Nyengine nikiona mtihani mgumu si saini ili nijulikane sikufanya mtihani kwenye orodhaVizuri nimezidi kufaham experience yako ongeza nyingine
majuto ni mjukuu.Humu yupo mpaka joti na mzee majuto
Kufuatwa tunafuatwa wote now a days hata nyie mnafuatwa pia usikate tamaa utapata chaguo lako unalolitaraji mshiriskishe sana Mungu
orodha au list of shame?Nyengine nikiona mtihani mgumu si saini ili nijulikane sikufanya mtihani kwenye orodha
Orodha hiyo itakua ya wanafunzi hewaNyengine nikiona mtihani mgumu si saini ili nijulikane sikufanya mtihani kwenye orodha