zulushaka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 372
- 298
Kushuka kwa uchumi wa tz kunachangiwa na uongozi m-bovuJuu nikipanda, huwa sijisikii kabisa kushuka
Kushuka kwa uchumi wa tz kunachangiwa na uongozi m-bovuJuu nikipanda, huwa sijisikii kabisa kushuka
Kushuka ni ndoto kulinganisha na bei za vyakula zilivyopanda, hii ni kwa sababu uchumi kuwa mbovu kutokana na mfumo wa uongozi.Juu nikipanda, huwa sijisikii kabisa kushuka
Uongozi huu ni wa ajabu, sijapata kuona kokote duniani, yaani wanaogushi vyeti ndio halali kukalia ofisi za serikali? Huu ni ubashite..Kushuka ni ndoto kulinganisha na bei za vyakula zilivyopanda, hii ni kwa sababu uchumi kuwa mbovu kutokana na mfumo wa uongozi.
Korosho atleast zinawafuta machozi Wananchi wa mtwara maana hali ya uchumi c shwariUbashite uliopitiliza tena hauna kifani, anasema yeye hateui viraza eti leo anasema ujue kusoma na kuandika!?
Kama hicho kingekuwa kigezo asingehangaika kusoma hadi Phd ya maganda ya korosho.
Shwari ilitawala ktk hadhara ya umma baada ya kusikia hotuba !!!Korosho atleast zinawafuta machozi Wananchi wa mtwara maana hali ya uchumi c shwari
Hotuba zilizojaa mipasho, vitisho, kejeli na dhihaka ndizo zinazopamba majukwaa siku hiziShwari ilitawala ktk hadhara ya umma baada ya kusikia hotuba !!!
Hizi ni mbinu za wanaSiasa, wee usijali !!Hotuba zilizojaa mipasho, vitisho, kejeli na dhihaka ndizo zinazopamba majukwaa siku hizi
Usijali Zamiluni, ila najuta sana tangu nihitimu elimu yangu ya msingi muongo mmoja uliopita hadi sasa bado nahangaika, ningejiingiza kwenye siasa saiv ningekuwa mteule wa mkulu. Maana tayari nilikuwa nishajua kusoma na kuandikaHizi ni mbinu za wanaSiasa, wee usijali !!
Kuandika riwaya au kusoma hadithi za AbuNuwasi !!!Usijali Zamiluni, ila najuta sana tangu nihitimu elimu yangu ya msingi muongo mmoja uliopita hadi sasa bado nahangaika, ningejiingiza kwenye siasa saiv ningekuwa mteule wa mkulu. Maana tayari nilikuwa nishajua kusoma na kuandika
AbuNuwasi ilikuwa enzi zile, sasa hivi ni udakuKuandika riwaya au kusoma hadithi za AbuNuwasi !!!
Udaku ni zai la wana majungu na umbea...!!AbuNuwasi ilikuwa enzi zile, sasa hivi ni udaku
Umbea unahusishwa na mambo ya msingi.Udaku ni zai la wana majungu na umbea...!!
Msingi wa maendeleo ni Siasa safi, uongozi bora na uwajibikaji. Lakini Leo hii haya yote yametoweka, uongozi umejaa rushwa na kulindana, vitisho hata utekaji na mauaji. Kweli tutafika nchi ya ahadi?Umbea unahusishwa na mambo ya msingi.
Msingi wa maisha ni kujiheshimu kwanza...Umbea unahusishwa na mambo ya msingi.
Dhati na imani juu ya yale tunayoyatakaahadi itatimia ikiwa sote tutawajibika kwa dhati
Tunayoyataka ni haki kuishi bila kudhalilishanaDhati na imani juu ya yale tunayoyataka
Kudhalilishana kumeshamiri sana katika utawala wa awamu hiiTunayoyataka ni haki kuishi bila kudhalilishana
Hii awamu sidhani hata kama yenyewe tu inajua si tu kutupeleka wapi, bali hata yenyewe inaenda wapi.Kudhalilishana kumeshamiri sana katika utawala wa awamu hii