Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Strategies za foreign investors?
Sipati shombe shombe wa Kichina anavyokuwa..vimacho vyao!!
hawa jamaa watajaa bongo na kama wameanza hivyo tena ni balaaaaaaaaa!:A S angry:
ahahahahahahahahaaaaa...!!!!!daahhh..:becky:vinakuwa kama njegere mwitu...
Wadada wenyewe wanauza jero jero tu pale UDOM. Sasa unafikiri wa mtaani auze bei gani kama sio mia mia? Na Mchina kama unavyomjua kwa kupenda cheap.
ahaaaaaaaa..!!jamani cheap mpaka kwenye K..waache mambo yao bwana..wao c wawekezaji bwana..!!
Kama huoni tatizo basi wewe pia ni tatizo. Uwiano umekaaje? Sijaona hata picha moja hapo ya dada Yao wa Kichina akiwa na Mbantu! MiAfrica ulimbukeni umetuzidi.Sioni tatizo kwa watu wa mataifa tofauti kuwa na mahusiano na kuishi pamoja
Inawezekana nikawa ni tatizo kama ulivyosema ingawa kujua tatizo langu yafaa pia ujue nilipo,nafanya nini,naishi na watu wa aina gani baada ya hapo ndio unaweza kutamka kuwa nina tatizo,ila ukweli unabaki tu kuwa mapenzi hayachagui,wapo wanaume wengi tu weusi wanatoka na wadada wa kichina ila kwa mazingira ulipo ni nadra kuyaona haya.Kama huoni tatizo basi wewe pia ni tatizo. Uwiano umekaaje? Sijaona hata picha moja hapo ya dada Yao wa Kichina akiwa na Mbantu! MiAfrica ulimbukeni umetuzidi.
Wewe unajua mimi niko wapi? Acha ujivuni wa kishamba. Hao wadada wa kichina mnaotembea nao huko si ni "madada poa" ...au wale tunawaita society rejects. Embrace your culture and be proud of it.Inawezekana nikawa ni tatizo kama ulivyosema ingawa kujua tatizo langu yafaa pia ujue nilipo,nafanya nini,naishi na watu wa aina gani baada ya hapo ndio unaweza kutamka kuwa nina tatizo,ila ukweli unabaki tu kuwa mapenzi hayachagui,wapo wanaume wengi tu weusi wanatoka na wadada wa kichina ila kwa mazingira ulipo ni nadra kuyaona haya.
Kuna baamedi mmoja aliwahi kutembea na mchina mmoja akamchuna mpaka akajenga kajumba kake, anasema hao jamaa wana vibamia vya kati ila wanajua kuishughulikia K ile kinoma na kukatika balaa...