Tetesi: Israeli anataka kuzichapa sasa na China

Tetesi: Israeli anataka kuzichapa sasa na China

Status
Not open for further replies.

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,698
Reaction score
7,883
Nisiongee sana

Sababu ni kwamba Waziri Mkuu Netanyahu kapata kisingizio kwamba bila china wangeweza kumaliza vita Iran

Wanamshutumu kwamba China wanatoa msaada wa picha za satelite kuonyesha maeneo ya kupiga

Wanashutumu kwamba China wanawapa Iran makombora ya hypersonic missile

Stay tuned
 
Kama ndio ivyo manake sisi Binadamu wengine tujiandae China kuitwa Magaidi na Israel +Marekani MEDIA zao zipo tu kukupotosha.
 
Tupe source ya hii habari maanake sijaiona popote lakini isije ikawa imetokea masjid ubwabwa Tandika kwa Mchambia Chupa.
 
Nisiongee sana

Sababu ni kwamba Waziri Mkuu Netanyahu kapata kisingizio kwamba bila china wangeweza kumaliza vita Iran

Wanamshutumu kwamba China wanatoa msaada wa picha za satelite kuonyesha maeneo ya kupiga

Wanashutumu kwamba China wanawapa Iran makombora ya hypersonic missile

Stay tuned
China imsamehe tu. Maana uwezo wa China dah kupigana na Israel HAPANA.
Dongfeng ballistic missile kadhaa tu zenye vilipuzi tani 4 zinaiteketeza Israel.
 
Nisiongee sana

Sababu ni kwamba Waziri Mkuu Netanyahu kapata kisingizio kwamba bila china wangeweza kumaliza vita Iran

Wanamshutumu kwamba China wanatoa msaada wa picha za satelite kuonyesha maeneo ya kupiga

Wanashutumu kwamba China wanawapa Iran makombora ya hypersonic missile

Stay tuned
Sponsa wake anasemaje???
 
Nisiongee sana

Sababu ni kwamba Waziri Mkuu Netanyahu kapata kisingizio kwamba bila china wangeweza kumaliza vita Iran

Wanamshutumu kwamba China wanatoa msaada wa picha za satelite kuonyesha maeneo ya kupiga

Wanashutumu kwamba China wanawapa Iran makombora ya hypersonic missile

Stay tuned
Hakuna Taifa la kinafiki duniani kama china
 
1779356355069.jpeg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom