Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Gimme a break ! Hivyo walioanzisha utamaduni huo (sheria) wamepotoka ?! Aiseeh ! Ukuliachi !?- Again read my lips, hata siku moja siwezi kusaini karatasi ya kumpa Waziri anayetuhumiwa wizi nafasi ya kujiuzulu, ningeshauriana na Mh. Zitto, kwenda ambele zaidi kwa kudai wafikishwe kwenye Sheria,
- Nisingeweza kusaini karatasi ya kuwapa mwanya wa kujiuzulu tu! ni utamaduni mbovu sana kwa the future ya taifa letu!
William.