peoples power
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 475
- 100
- CAG ni wakaguzi wa mhesabu sio wanasheria, ni simply Common Sense wala huhitaji PhD kuelewa hilo!, Crime huwa inakuwa established na DPP! au hata kamati ya Sheria ya bunge, lakini sio CAG!
William.
Hivyo wewe haukubaliani na ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikari kwa kuwa yeye síyo mwanasheria?