Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
- Mkuu read my lips, huwa sijui kuchanganya maneno; ninasema hivi Mahanga ni mbunge wangu Segerea, mimi ni mkazi wa Kinyerezi, kama mbunge amelifanyia jimabo langu mambo mengi sana muhimu kwa wananchi kwa hiyo ninam-support sana kama mbunge.
- Baaada ya kuishi sana nje yaani Europe na USA, one thing nilichojifunza sana huko ni kutomhukumu mwananchi yoyote bila facts, na hasa kesi inapokuwa mahakamani kama hii ya Mahanga, ninasema kwamba ule mfano wa yule mkuu wa IMF unapaswa kuwa ni elimu kubwa sana kwa wasomi wote Duniani kwamba innocent until proven guilty, Mhanga akihukumiwa na mahakama kwamba ni mwizi wa visanduku vya kura nitakuabliana na wewe, lakini until then ninasema kumuhukumu ni kuwa unfair!
William @Dodoma City!
mwambie mama yako wa kambo yule mtoka povu, alinikera kushupalia wakuu wa wilaya (makada) kuandaa katiba. Namchukia sana.