William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Baada ya kukutana nae ndo kakutuma uje kumtetea humu siyo? Hajakuambia kwanini aliiba kura?
- Kiitikadi hakubaliani na itikadi za baba yangu, lakini I know him a human being na pia kama Mbunge wa jimbo langu ninaheshimu sana kazi zake kwenye jimbo ni very progressive, kwenye Sheria hajahukumiwa sina sababu ya kumuhukumu au kujaribu ku-influnce the outcome ni makosa sana kijamiii, ninamfahamu kwa muda mrefu sana sio tu ninekutana naye juzi, UBARIKIWE GREAT THINKER!
William.