Vyuo Vikuu visivyo na sifa kufutwa!

Vyuo Vikuu visivyo na sifa kufutwa!

Uamuzi wowote wa kuinusuru elimu yetu huo ni mmoja wao, waziri ajielekeze kuwekeza kwenye elimu ya ufundi.
walimu wengi pia uwezo wao ni mdogo sana kufundisha Bachelor, aachilia mbali kiwango cha elimu.
Hakuna sababu za kufunga vyuo, nadhani ni muhimu vyuo hivyo vikashushwa madaraja na kuendeleza elimu ya ufundi na utoaji wa course zenye uhitaji mkubwa kwa jamii, hasa masomo ya sayansi.

Inafika muda unajiuliza hivi inawezekanaje vyuo vyote vikawa course zao ni HR, ACCOUNTING, BA, MARKETING, PROCUREMENT, ICT, na Education....something must be wrong somewhere....
Hatujachelewa kuirudisha hii nchi in those days where a degree was a Bachelor Degree.... sio sasa.....
GO make it happen Prof.

Well said. Hili wimbi la kuongeza degree za HR, Accountancy, marketing, Ualimu wa civics na english ndio unaharibu hii nchi. Hayo maeneo siyo priority areas kwa sasa. Tunahitaji watu wa kwenda kufanya kazi na wananchi. Tunahitaji maafisa ugani wa kwenda kusidia wananchi wetu kwenye kilimo, mifugo, uvuvi and the likes.

Hao marketing managers, HRO, na wahasibu wao wakimaliza wanajibana mjini wanawaza kuajiriwa na makampuni makubwa tu. Production ya hao graduates inaongezeka kila mwaka lakini hao watu hawana msaada mkubwa kwa 80% ya watanzania waliopo vijijini zaidi ya kulalamika hakuna ajira. Mtu kasoma HR, uhasibu courses inayotolewa na kila chuo then anategemea ajira za kumwaga? U have to demonstrate kitu ambacho ni extraordinary ili uajirike kirahisi. Otherwise huyo mtu akafanye kazi kanisani au kafunge hesabu za wahindi maana na uhasibu wake hata CPA haimudu

Badala ya kujikita kwenye first degrees, serikali i-concentrate kwenye watu wa kufanya kazi na rural sector. Pia kwenye vyeti vya mafundi mchundo, uashi ili watu wajiajiri wenyewe wasije lalamika hakuna kazi za kuajiriwa. Ukiangalia, vyuo vlivyoundwa kutoa wataalamu wa aina hiyo karibu vyote vimebadilishwa ili kuanza kutoa degrees. Sababu kubwa ni serikali kushindwa kuvi-support, so the only options kwa vyuo ni ku-offer course zinazovutia wengi. Serikali ina lawama ya kubeba hapa.

Kwenye elimu kuna mambo mengi sana hayaendi sawa
 
Ni hatua sahihi....ilikuwa ni makosa kuvipa nafasi ya kuwepo. Waje na mpango wa kuajiri wenye uwezo unaotakiwa.
 
Kwa baadhi ya mashirika kuanzisha vyuo vikuu imekuwa ni fasheni. Tazama utitiri wa vyuo vyenye majina 'xxxx memorial univ'. Ukiacha kile kilichoko Kilimanjaro, vingine havina fedha ya kukidhi mahitaji ya chuo chenye ubora unaohitajika. Tafakari chuo kikuu kukopa fedha toka shule ya sekondari au kutoza kodi jamii ambayo kamwe haifaidiki na chuo husika--chuo kimejaa watu kutoka nje ya jamii niayotozwa kodi kukiendesha! Ndalikachotafadhali ondoa hizo 'prestige projects'!
 
Ila maprofesa wenyewe si ndio hawa kina tiba ijukha na horizons mwakihembe?
Wanaodai eti last week wamegundua kuwa mahakamani kuna rushwa??

Mniache mie nifundishwe na hao undergraduates wenzangu, tutagoogle mambo, tutadiscuss, tutaelewa tu taratibu.
 
Naomba kufahamu umri wako na kiwango chako cha elimu. Maana hiyo reasoning yako hata inanifanya niamini kuwa jamiiforum imeingiliwa
Labda kv unajiita Analyst but you know nothing na ninachokuambia ndio ukweli wenyewe otherwise, sema wewe why do you think SUA kuna PhD holders wengi sana kuliko MUHAS. Kama unataka kufahamu elimu yangu ni Form IV but am probably even much better than your cra'p paper degrees bila kujali unazo ngapi! Na kuonesha ukweli wa haya nisemayo, badala ya kutoa hiyo reasoning yako unayodhani ndio excellent reasoning, unaanza personal attack.... what a nonsense!
 
Wazo zuri sana,lakin kuna hesabu lazima zichezwe hapa ili,kuanzia enrolment za wanafunz kutoka shule za msing,sekondar had vyuo.Analysis yangu iko hivi ile mipango ya maendeleo ya elimu ya msing(MMEM) ulisababisha wanafunz weng kusoma elimu ya msingi,mpango huu ulisababisha mpango wa maendeleo ya elim ya sekondar MMES.MMES uliambata na ujenz wa madarasa ili kuweza kuaccomodate ufaulu mkubwa wa wanafunz toka msingi.Hapo sasa wahitimu wa kidato cha sita nao wakaongezeka ukaja mpango wa maendeleo wa elimu ya juu ili kuchukua wahitimu weng wa 4m six,ndipo udom zikaanzishwa na vyuo vilivyokuwa vikitoa elim ya kat kuanza kutoa shahada.Hivi vyuo vikapungukiwa wataalam kwa sasa wako masomon.Sasa iwapo wazir atavifungia hata vile vya b8nafsi wahitim w3ngi wa kidato cha sita wenye sifa ya kujiunga vyuon watakosa nafas.
 
wacha ku

Wacha hizo hakuna kitu kama hicho tunaposema ku supervise namaanisha kukupa maelekeze kwenye thesis yako una ambae anakuongoza kufanya research na kuandika thesis na sizungumzii wodini hata siku moja na vile vile kwenye mitihani lakini MUHAS kitu hicho ni cha kawaida
Mkuu ktk research unahitaji kuhusisha watu mbalimbali japo supervisor anapaswa kuwa phd holder, Swala la Master holder kumsimamia mwanafunzi wa masters linategemea number of publications, kumbuka wengine ni masters holder lkn wako na publications nyingi na wameshakua na uzoefu. Tatizo linakuja pale mtu kagraduate masters jana hafu leo anamsimamia resident, hii Prof. Aboud hawezi kubali.
 
Mkuu ktk research unahitaji kuhusisha watu mbalimbali japo supervisor anapaswa kuwa phd holder, Swala la Master holder kumsimamia mwanafunzi wa masters linategemea number of publications, kumbuka wengine ni masters holder lkn wako na publications nyingi na wameshakua na uzoefu. Tatizo linakuja pale mtu kagraduate masters jana hafu leo anamsimamia resident, hii Prof. Aboud hawezi kubali.
Kitu hicho hakuna duniani Master holder hata siku moja huwezi kusimami mwanafunzi wa master kwa sababu imezoeleka Tanzania ndiyo maana watu wanahisi kitu normal lakini na ndiyo maana kila leo vyuo vyetu viko rank ya chini kwa sababu hiyo.Kwa wenzetu kama si Ass Pro kwa Master student na Full Pro kwa Phd Student ndiyo unaweza kusimamia mwanafunzi ma master au Phd.Sitaki kumataja jina kuna kindindi faculty member mmoja wa OBGY alikuwa na supervise mwanafunzi wa master huku ikiwa yeye ame graduate mwaka mmoja uliopita.
 
Ndalichako sjui kama ataweza hili coz vyuo vingi havina hao watu wenye PHD na kama ataamua kuvifungia bas nadhan ni vyuo visivyozid 5 tu ndivyo vitakavyo exist.ufute chuo vipi kuhusu wanafunzi wanaosoma ktk chuo hcho utawapeleka wap ilihali TCU ndio iliaprove uwepo wa mwanafunzi huyo ktk chuo husika?Wakufunzi wa masomo ya Sayansi wenye PHD ni wachache mnooo,kufungia hvyo vyuo manake ni kwamba anataka tatizo la uhaba wa wakufunzi wenyephd wazid kuwa wachache zaid hvyo kuzidi kuzorotesha sekta ya elimu hasa ya juu.anachotakiwa kufanya ni kuhakikisha kwamba vyuo hvyo vinaboresha mazingira na kuwataka watafute hao wakufunzi wenye vgezo na sio kukurupuka tu eti tutavifuta.hao wanafunzi mtawafuta pia???
 
Kitu hicho hakuna duniani Master holder hata siku moja huwezi kusimami mwanafunzi wa master kwa sababu imezoeleka Tanzania ndiyo maana watu wanahisi kitu normal lakini na ndiyo maana kila leo vyuo vyetu viko rank ya chini kwa sababu hiyo.Kwa wenzetu kama si Ass Pro kwa Master student na Full Pro kwa Phd Student ndiyo unaweza kusimamia mwanafunzi ma master au Phd.Sitaki kumataja jina kuna kindindi faculty member mmoja wa OBGY alikuwa na supervise mwanafunzi wa master huku ikiwa yeye ame graduate mwaka mmoja uliopita.

Hapo hakuna tatizo, ufaulu wake unamtosheleza kuwa level nyingine! Hata hivyo anakuwa chini ya head of faculty na yeye ana assist tu!
 
Well said. Hili wimbi la kuongeza degree za HR, Accountancy, marketing, Ualimu wa civics na english ndio unaharibu hii nchi. Hayo maeneo siyo priority areas kwa sasa. Tunahitaji watu wa kwenda kufanya kazi na wananchi. Tunahitaji maafisa ugani wa kwenda kusidia wananchi wetu kwenye kilimo, mifugo, uvuvi and the likes.

Hao marketing managers, HRO, na wahasibu wao wakimaliza wanajibana mjini wanawaza kuajiriwa na makampuni makubwa tu. Production ya hao graduates inaongezeka kila mwaka lakini hao watu hawana msaada mkubwa kwa 80% ya watanzania waliopo vijijini zaidi ya kulalamika hakuna ajira. Mtu kasoma HR, uhasibu courses inayotolewa na kila chuo then anategemea ajira za kumwaga? U have to demonstrate kitu ambacho ni extraordinary ili uajirike kirahisi. Otherwise huyo mtu akafanye kazi kanisani au kafunge hesabu za wahindi maana na uhasibu wake hata CPA haimudu

Badala ya kujikita kwenye first degrees, serikali i-concentrate kwenye watu wa kufanya kazi na rural sector. Pia kwenye vyeti vya mafundi mchundo, uashi ili watu wajiajiri wenyewe wasije lalamika hakuna kazi za kuajiriwa. Ukiangalia, vyuo vlivyoundwa kutoa wataalamu wa aina hiyo karibu vyote vimebadilishwa ili kuanza kutoa degrees. Sababu kubwa ni serikali kushindwa kuvi-support, so the only options kwa vyuo ni ku-offer course zinazovutia wengi. Serikali ina lawama ya kubeba hapa.

Kwenye elimu kuna mambo mengi sana hayaendi sawa
Umeongea jambo la maana sana NAPENDEKEZA USHAURI HUU UFANYIWE KAZI NA WIZARA HUSIKA.
 
Kwa kigezo cha angalau asilimia 50 ya walimu katika kila chuko kikuu kimoja wawe na shahada ya uzamivu(Ph.D) nadhani tutabaki na UDM na SUA tu. The rest ukianza na Mzumbe vitafungwa tu hakuna namna

Na hivyo ndiyo vyuo vikuu vinavyotambulika hasa UDSM na SUA.
 
Labda kv unajiita Analyst but you know nothing na ninachokuambia ndio ukweli wenyewe otherwise, sema wewe why do you think SUA kuna PhD holders wengi sana kuliko MUHAS. Kama unataka kufahamu elimu yangu ni Form IV but am probably even much better than your cra'p paper degrees bila kujali unazo ngapi! Na kuonesha ukweli wa haya nisemayo, badala ya kutoa hiyo reasoning yako unayodhani ndio excellent reasoning, unaanza personal attack.... what a nonsense!
Unavijua vigezo vya mtu kuajiriwa kufundisha chuo kikuu? Hasa vyuo vikuu vya uma, vikiwemo SUA na MUHAS
 
Back
Top Bottom