Vyuo Vikuu visivyo na sifa kufutwa!

Vyuo Vikuu visivyo na sifa kufutwa!

Unavijua vigezo vya mtu kuajiriwa kufundisha chuo kikuu? Hasa vyuo vikuu vya uma, vikiwemo SUA na MUHAS
Hilo swali lina uhusiano gani na ni namna gani graduate wa SUA angeweza ku-fight for postgraduate studies compared na yule wa MUHAS?
 
A


aisee nafikiri unaiongelea mzumbe ya 2000s. Nenda kaangalie walivyosomesha walimu wao kwa sasa. Ilikuwa ni strategy kabisa. Tena wengi hawajasoma hapa nchini. Waliingia collaborations na vyuo vingine vya nje vikatoa partial scholarships the rest chuo kikachangia. Nowaday, PhD holders ni wengi kuliko unavyojua wewe.
Labda kama waliowasomesha PhD wamemaliza January hii na kurudi kazini, Mi nimemaliza masters yao mwaka huu ulioisha jana kampasi ya Dar, so najua nachoongea mkuu, najua walionifundisha wana elimu zipi
 
waanze na vyuo vya st joseph , huku tawi lao la songea walimu wote ni wahindi waswahili wanne tu. mhindi ana certificate ya nursing anafundisha agric. engeneering, chuo cha sayansi hakina jengo la maabara. hapa ni uhuni tu hawa wahindi weusi
 
Duh! Pale Dar nahisi wanaenda vilaza wanaojua hawataimudu shule. Mi naongelea main campus. Degree ya Dar na main ni vitu viwili tofauti.
Lakini si ni campas ya mzumbe mkuu, why hawafundishi wenye PhD?
 
Phd ilivyo ngumu hivyo, Waziri atasubiri sana
kwa kweli kwa kigezo cha nusu ya walimu kuwa na PHD naogopa hata kuhesabu idadi ya vyuo vitakavyobaki-itatokea disaster.
 
Tutor anakuwa na shahada ngapi? Mtu anaweza kuwa na shahada moja lakini akawa vizuri kuliko mwenye shahada 2.Kuna wanafunzi hubakishwa kuwa tutors baada ya kufaulu vizuri!
 
Serikali ina mpango wa kukagua vyuo vikuu vyote nchini na vile ambavyo vitakuwa havina sifa itavifunga bila kusita kwani haitaki watanzania wafanyiwe majaribio katika elimu.

Taarifa hiyo imetolewa na waziri wa Elimu,Prof. Ndalichako ambaye amesema vyuo vingi havina sifa licha ya vyuo hivyo kupewa ithibati.

Prof. Ndalichako amesema inatakiwa angalau asilimia 50 ya walimu katika kila chuko kikuu kimoja wawe na shahada ya uzamivu(Ph.D) na kwamba haitakiwi mwalimu mwenye shahada ya kwanza kufundisha wanafunzi wa shahada ya kwanza.

Prof. ameongeza kuwa uwepo wa vyuo vingi visivyo na sifa kunapelekea uwepo wa vijana wengi wasio na ajira mitaani na hivyo kuongeza hasira.


Chanzo: Nipashe

Prof. Kaeleza mengi ambayo ninahakika yakifanyiwa kazi,vyuo vingi vitafungwa na itakuwa majanga makubwa.
Waifute TEKU
 
Huyu Prof wa Agha Khan sasa anaanza kwenda mrama,Hao wenye PhD mkuu wa nchi ndo amewapa uwaziri na ukatibu ukuu sasa nani atafundisha vyuoni kama si hao wenye degree moja ama mbili?wakati mwingine PhD sio ishu kuna watu wapo vzr na wana Masters tu kuliko hao Madokta.
 
Sasa udom yale majengo yao watayafanyia nini kama ikitokea kikafungwa?
 
Pia naomba akafanye uchunguzi wa madoctor wanaosupervise wanafunzi ngazi ya masterz na phd maana wanalali dissertations za wanafunzi mpaka watoe rushwa mbalimbali ili waweze kuwatoa. Kama mtu huna uwezo wa kutoa rushwa ndo unatoswa tu.

Si useme SAUT.
 
Huo nimtihani katoa
Tutegemee upinzani pia maana ni jambo gumu
 
Tatizo ni moja je akishafungia hivyo vyuo hao wanafunzi wa hivyo vyuo atawapeleka wapi na wameshapoteza muda wao na pesa zao?
 
St. Augustine ni chuo kisicho na sifa tenaa kwasasa,halafu wana vicollege kila mahali nchi hii. HOVYOOO.
 
Back
Top Bottom