Ngumu sana kwa Muhimbili kufika 50% kutokana na aina ya msuli wa pale na hawana sababu za kuhangaika kutafuta PhD! Hivi umeshawahi kujiuliza; after being tortured with medicine for 5 years... hivi unaweza kuwa na hamu kweli ya kuendelea? Lakini kubwa kuliko yote; watu wa Muhimbili hawana sababu ya kujitesa! Chukulia SUA kwa mfano... unajua pale PhD Holders ni wengi kupita kiasi; and you know why?Zamani unakuta mtu anamaliza bachelor yake... sasa ili kukwepa kuajiriwa kama bwana shamba na kutupwa wilayani (zamani hadi wilayani watu hawataki); unakuta mtu ana-fight kutafuta scholarship ya kwenda nje! Sasa donors wengi waliamini kv ni chuo cha kilimo, kwahiyo ku-sponsor wanafunzi wa kilimo unakuwa unasaidia hii nchi maskini! Sasa kutokana na hivyo, wengi wakapata bahati ya scholarship za masters hususani kupitia Commonwealth scholarships, Sasa kama unavyowajua wabongo; hata ukimpeleka nje kwenda kusoma diploma, atataka aunganishie hadi PhD... kwahiyo wengi ambao walienda kwa masters, hawakurudi wakaunganisha na PhD kabisa! Wanaporudi na PhD, wakajikuta hawaajariki sokoni na wakawa hawana option nyingine bali kurudi chuoni kufundisha! Sasa situation kama hii, kwa Muhi2 haikuwepo! Ukimaliza kitu kama medicine, unatupwa moja kwa moja hospitali ya rufaa ambayo ni mjini na ukikaa mwaka mmoja tu; hamu ya kurudi chuo huwezi kuwa nayo tena!