Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,227
Sijawahi kuona professor wa kikongo toka nimezaliwa, nawaona wanenguaji tu! Na wanaojichubua.
Hata mimi nilikuwa na mawazo hayo hayo! Baadae kabisa ndio ndio nilikuja kumbana na baadhi ya wakongomani ambao ni wakali sana katika masuala ya sayansi na technolojia-kun mmoja niliwahi kufany na kaz kw muda alikuwa ameajiliwa Umoja wa Mataifa (UNCTAD)huko Geneva Uswiss jamaa huyo alikuwa anategemewa sana ku-code programs za kutrack meli na rollingstock za makampuni mengi Duniani, tangu wakati huo niliacha kasumba ya kufikili wakongomani wote ni watu wa starehe tu! Chuo kikuu cha Dar kiliwahi kuwa na Profesa Wamba dia Wamba ambaye ni Mkongo, Kofi Olomide ana degree ya hesabu au uchumi kama sikosei-kwa hiy Cong wasom wapo