msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,738
Waungwana japo hawa ndugu zetu wako kwenye magumu ya vita lakini mfumo wao wa elimu kwa level ya University nimeupenda hasa kwa wahitimu.
Wa-congo mwaka wa mwisho wa chuo na baada ya ku submit final report, mambo huwa hayajaisha maana unatakiwa ufanye kinacho itwa ''defence du memoire de fin d'etudes'' hii huwa ni sherehe kubwa tunaweza sema ni ya kuaibishana au kuchukua ujiko... huwa ni siku maaalum kwa kila taaluma.
Jopo la wakufunzi huipitia report yako mbele ya umati wa wanafuzi wenzako na ndugu jamaa na marafiki na hata waajiri wako, wanakuuliza maswali na unatakiwa kutoa majibu sahihi... na kuna wakati huuliza maswali nje ya report. Kulingana na majibu yako huweza jua kama umefaulu au la!!
Hakuna blah blah unajibu na kila mtu anasikia zile zetu za kusema umeonewa ,, au zile za kutoa rushwa na au INKIND hakuna maana utawapa wangapi na zile za Ze...ze...ze ai mini, akchuare.
Pia ni shida maana lugha uliyofundishiwa ndio hiyo unayoitumia kujibu maswali kwenye halaiki.Mbele ya wanao na mkeo.Kama kichwani ni ZERO mkeo na wanao watajua.
Watu wanasoma sana kuepuka aibu hii, imagine unashidwa kujibu mbele ya mwajiri wako si ndio kazi kwishnehi.
Wa-congo mwaka wa mwisho wa chuo na baada ya ku submit final report, mambo huwa hayajaisha maana unatakiwa ufanye kinacho itwa ''defence du memoire de fin d'etudes'' hii huwa ni sherehe kubwa tunaweza sema ni ya kuaibishana au kuchukua ujiko... huwa ni siku maaalum kwa kila taaluma.
Jopo la wakufunzi huipitia report yako mbele ya umati wa wanafuzi wenzako na ndugu jamaa na marafiki na hata waajiri wako, wanakuuliza maswali na unatakiwa kutoa majibu sahihi... na kuna wakati huuliza maswali nje ya report. Kulingana na majibu yako huweza jua kama umefaulu au la!!
Hakuna blah blah unajibu na kila mtu anasikia zile zetu za kusema umeonewa ,, au zile za kutoa rushwa na au INKIND hakuna maana utawapa wangapi na zile za Ze...ze...ze ai mini, akchuare.
Pia ni shida maana lugha uliyofundishiwa ndio hiyo unayoitumia kujibu maswali kwenye halaiki.Mbele ya wanao na mkeo.Kama kichwani ni ZERO mkeo na wanao watajua.
Watu wanasoma sana kuepuka aibu hii, imagine unashidwa kujibu mbele ya mwajiri wako si ndio kazi kwishnehi.