Wewe ni Mkuda!! Uzi wako upo kikuda zaidi. Nani amekwambia vyuo bora ni vya serikali TU. Narudia tena, wewe ni Mkuda!!Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
kumbe umesomea dili kabisa.Jaman mtuonee huruma tuna familia zinatutegemea au kwa sababu tumesomea PhD in Theology?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nmecheka kwa sauti japo inaumiza bro alafu siku izi muda wa kulipa TRA ukifika awakukumbushi siku ukienda kulipa na faini tu ndo malupu lupu washagundua plan B yakupiga helaLeo nimetoka TRA,kodi yangu wamezidisha eti mara 2!
Nikamuuliza why,akasema eti kuna vi-penati fulani fulani,nikamjibu sawa bwana kama unaona ni haki kuonea wanadamu wenzio wenye nyama na damu kama wewe!
Then I left!
Halafu nione matako yeyote kwenye ukoo wangu anaipa CCM kura!Naua mtu!
Tunalazimisha kuwa na vyuo vikuu. Wageuze hivyo vyuo viwe vya ufundiVyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
Jaman mtuonee huruma tuna familia zinatutegemea au kwa sababu tumesomea PhD in Theology?
Mkuu pambana na hali yako tafuta alternative source of income sio lazima uajiliwe?Jaman mtuonee huruma tuna familia zinatutegemea au kwa sababu tumesomea PhD in Theology?
MUM wanapeta na wanampango wa kuanzisha Master's degree hivi karibuni kwasababu PHD order's wako nao wakutosha kwa sasaJamaa zetu Msamvu hali yao sijui ipoje
Mbona zanzibar 2015 waliweza?,apana chezea mabeberu weusi mkuuNi sawa
Ila kura zikiwa nyingi mno hata wakiiba hawataweza!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nmecheka kwa sauti japo inaumiza bro alafu siku izi muda wa kulipa TRA ukifika awakukumbushi siku ukienda kulipa na faini tu ndo malupu lupu washagundua plan B yakupiga hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaila kusema kweli chuo Kigoma cha nini?
Daah mkuu mbona unatukatisha tamaa.CCM haihitaji kura nyingi au kdg ili ishinde, uchaguzi ukishatangazwa tu imeshashinda,kama hutaki jinyonge au kunywa sumu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatakiwa sisi ndo tuchoke kisha tuwaamuru waachie mkuu,wenyewe wakichoka wanawarithisha watoto wao na watu wao wa karibu.Haina noma baba,watatawala watachoka watatuachia tu!
Elezea mkuu..ubabaishaji upo wapiNi heri vife tu tena kama st john's university Dodoma ni wababaishaji kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawafahamu wafanyakazi wote wa SAUT chuga...nawaza hapa utakua nani wew..ila kuna mfanyakaz mmoja nahisi labda ni weweVyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).