Mshana Jr nashindwa kukuelewa una mtazamo gani kuhusu uchawi na wachawi je ni watu wazuli ktkr jamii au ungetamani waache siku moja na kuokoka?
Je uchawi ni mzuri au ni mbaya?
Mtazamo na maoni yako tafadhari.
Uchawi ni kama moto au kama gesi au kama gari nk inategemea unakitumiaje... Ukitumia vibaya utapata madhara Ukitumia vizuri utapata faida... Ni kama bhangi tu sio mbaya kama vile tunavyoaminishwa... It's a kind of brainwashing
Mtazamo wangu:
Uchawi wenye kuokoa maisha, uchawi wenye kutibu uchawi wenye manufaa uchawi usio na madhara kwa wengine huo naupenda... Kinyume na hapo hapana
Uchawi ni kama moto au kama gesi au kama gari nk inategemea unakitumiaje... Ukitumia vibaya utapata madhara Ukitumia vizuri utapata faida... Ni kama bhangi tu sio mbaya kama vile tunavyoaminishwa... It's a kind of brainwashing
Mtazamo wangu:
Uchawi wenye kuokoa maisha, uchawi wenye kutibu uchawi wenye manufaa uchawi usio na madhara kwa wengine huo naupenda... Kinyume na hapo hapana
Hivi sumbawanga wakiweka na chuo itakuje jamani....
Hapa ndio penyeweView attachment 312732
Kuna mahali nimesoma umeandika kwamba wachawi wanaweza Fanya uchawi au uwangaji wao mahali popote bila shida ila wanapofika kwa walolokole Mara zote hukwama.
Sasa kwa nini usiwahamasishe watu kutafuta elimu hii ya walokole ambayo ina nguvu zaidi ya uchawi .
Kuliko Kuwaonyesha vyuo vya kichawi?