Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,644
- 860,871
- Thread starter
- #61
mkuu mshana hizo symbol za vitu ulivyovileta vinafanana kabisa na hivyo picha nilizo post hasa hiyo bendera ya nchi ya ISRAEL ndio kabisa unataka kuniambia uchawi ulianzia israel maana wao ndo pekee bendera yao ipo kama hizo symbol za kichawi ulizoweka hapo
Soma habari za Musa na wana wa Israel, habari za Babylon, fimbo ya Musa kuvuka jangwani na vita ya wa Israel na wafilist au wanaefili nafikiri, kuna uchawi mwingi sana pale
Lakini alama ya pembetatu inayotengeneza nyota hebu iangalie vizuri, kama moja imeangalia chini na mbili zimeangalia juu hiyo inawakilisha shetani uchawi au mpinga Kristo, lakini kama mbili ncha mbili ndio zimekita chini hiyo ni alama inayowakilisha nyota ya alfajiri au nyota njema nyota ya jaha