We Mhitimu wa Mahoutokoro lete cv hapa tukusajili huku Kazulamimba Kgm kwa ajili ya master.
'TUKO' mbioni kuanzisha kimoja lakini hatujapata vibali bado tuko kwenye mchakato
Shikamoo mzee mshana jr nakusalimu katika jina la bwana,
Nakutakia sikukuu njema.
Hivi wahitimu wa hivyo vyuo hupewa vyeti!? Dd they get employment?
Vigezo gani vinatumika kudahiliwa?
Wanalipa ada? Serekali inavitambua kwa namna ipi?
Happy Christmas sumbai hivyo vyuo sio vya uchochoroni vinatambulika kabisa mara nyingi udahili hauna formula rasmi na ni online. Wahitimu wengi hujiajiri au kuajiriwa kwenye intelligence firms na research firms
Unasababisha nakuwa na maswali mengi...
Hizo research firms na intelligence firms kwanini ziajili watalam wa uchawi instead ya kuajili watalam from vyuo kama havard, confusious, liverpool school, messachuset, na vyuo maarufu.
Daaah mzeee...
wanatumika hata kwenye jamii na hivyo vyuo ulivyotaja wamejaaView attachment 312736wanatumika hata kwenye jamii na hivyo vyuo ulivyotaja wamejaa
View attachment 312720toleo jipya kimeshatoka na kinafanya vizuri kwenye mauzo