Vyumba vya mateso

Vyumba vya mateso

Real terrible unateswa na maofisa usalama wa serikal ambao wanalipwa kwa kodi yako halaf baadae unakuja kupelekwa hospital na kutibiwa na serikal, tulifanya makosa wenyewe ktk sanduku la kura. TUJISAHIHISHE. Mungu atuvushe
 
Kuna lile teso kwa wanaume, wanachukua magalo wanakuwa wanafinya kidogo kidogo kwenye kichwa cha mboo. Wakifanya mara moja lazima uanze kusema yote. Ni hatar sana, sikia tu kwa wengine wakuu.
 
asante mshana jr kwa maoni yako ila naamini hata wewe umesimuliwa au kusoma tu mtandaoni huna uhakika kama roma alitekwa ama la. endelea kutuliwaza na stori za kichawi tu haya huyajui kaka

Mkuu nadhani hapa umemzidi kete...sjui watu kama mshana wanalipwa na nani kueneza chuki kama hizi...haya atwambie Roma alitekwa na nani na kwa kosa gani?
 
Katika ivyo vyumba vya mateso hakuna option ya kujiua? Maana naona kuliko kuvumilia haya yote ni bora kufa
Kujiua siyo rahisi. Ukiweza ni kujigeuza bubu kwa kuukata ulimi kwa meno yako kisha unawatemea kipande. Hapo ama watakuachia ama watakumaliza.
 
Waterboarding, mateso mabaya sana hayo. Utasema kila kitu.
Niliwahi kuambiwa kwamba wazee wa Alkaeda kule gwantanamo hawakusema pamoja na kupitia hayo yote. Sijui kuna mafunzo walipewa kabla?
 
Niliwahi kuambiwa kwamba wazee wa Alkaeda kule gwantanamo hawakusema pamoja na kupitia hayo yote. Sijui kuna mafunzo walipewa kabla?
Weeee.

Kawaida kuna madaraja ya mateso,phases.Huwezi vuka vyote hujawapa wanachokitaka.
 
Hivi kuna namna ambayo unaweza kutekwa na usiteswe. Mfano ukionyesha ushirikiano ukajibu kila swali kiufasaha napo bado watakutrsa?
 
Nchi haina furaha. Tuko jirani zaidi na mateso, kutekwa na kuumizwa .
Neema_ furaha na amani vimegeuka bidhaa adimu .
MACHO YANACHEKA, MOYO UNALIA
Mpk JPM atoke madarakani..........
tutaisoma namba
 
Hakuna mateso magumu kama waliyopitia mama zetu kutubeba tumboni miezi tisa, haya mengine ni mambo za kawaida tu we utaogopaje kuteswa? Hivi kipengele cha uvumilivu nyie hakiwahusu? Afadhali ufe kuliko kuishi kama mtumwa. Yani mshana na story za kiganga zile bado waogopa kuteswa?
Kuna mateso yanayotokana na uhalisia wa maisha ambayo tunatakiwa kuyavumilia,vile vile kuna mateso ya kuonewa ambayo ndiyo tunayapinga,kitabu hicho hicho kilicho agiza UVUMILIVU ndiyo hicho hicho kimeagiza KIASI
 
Back
Top Bottom