Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,897
- 14,435
Labda maiti yanguKwa hyo unaona bora uliwe jicho
Labda maiti yanguKwa hyo unaona bora uliwe jicho
Iyo wotabodin ndo ikoje
Dereva mzuri na bora sana ni yule anaesikiliza ushauri wa aliowapakia pale anapokuwa amekengeuka na kwenda kinyume na taratibu za udereva.Mpk JPM atoke madarakani..........
tutaisoma namba
Yeah hapo nimeelewa mkuu!!! Ila mbona simple tu,najikaza tu wanimwagie maji usoni hata pipa zima![]()
![]()
![]()
Natumai utaelewa vyema maana ya waterboarding
Wakikujibu nitagHivi kuna namna ambayo unaweza kutekwa na usiteswe. Mfano ukionyesha ushirikiano ukajibu kila swali kiufasaha napo bado watakutrsa?
Nashangaa huyu baba ubaya sijui ni dereva wa aina ganiDereva mzuri na bora sana ni yule anaesikiliza ushauri wa aliowapakia pale anapokuwa amekengeuka na kwenda kinyume na taratibu za udereva.
Maji yanapitishwa puani sio mdomoniYeah hapo nimeelewa mkuu!!! Ila mbona simple tu,najikaza tu wanimwagie maji usoni hata pipa zima
Hapangiwi njia ya kupitaNashangaa huyu baba ubaya sijui ni dereva wa aina gani
Atakua ndugu yake na YesuHapangiwi njia ya kupita
HujakoseaAtakua ndugu yake na Yesu
Ni kweli hayajui ila katufungua macho vipofu wenzake,naogopa MTU akijamba kuanzia Leo ntakuwa nacheka tu na kumsifia sitakosoaasante mshana jr kwa maoni yako ila naamini hata wewe umesimuliwa au kusoma tu mtandaoni huna uhakika kama roma alitekwa ama la. endelea kutuliwaza na stori za kichawi tu haya huyajui kaka
Inaniuma sana tunapozungumzia kupotea kwa Ben kama kupotea kwa majini ya chai jikoni.Ben itakuwa walimterminate moja kwa moja maana walijua hata kwa mateso aliyopewa asingekaa kimya.
Raia hatuna amani ila watu maarufu hawana amani zaidiNchi haina furaha. Tuko jirani zaidi na mateso, kutekwa na kuumizwa .
Neema_ furaha na amani vimegeuka bidhaa adimu .
MACHO YANACHEKA, MOYO UNALIA
Mimi napenda nikutese weweNaipenda kazi ya kutesa