Vyumba vya mateso

Vyumba vya mateso

mqdefault.jpg

Sifa za kujiunga na hicho chuo! aisee!!
photos-1-and-21.jpg
 
Mpaka ameshindwa kuchana mistari mchezo...mchizi ameomba poo ngoma isimame.....I know remember a polite advise from one of my seniors. ..usithubutu kucheza na dola
Moja ya watu waliokuwa wanawafanyia mateso makubwa watu wao alikuwwa ADOLF HITLER na BENNITO MUSSSOLIN. Na walikuwa pia vionozi wa dola zao. ILIPOFIKA Zamu yao,,Hitler aliamua kujiua. Mwisho wa siku wote tunakufa. Watesaji ni waoga wakubwa sana...............ukiweza kuwapata wao wanalia kama watoto.
 
Nchi haina furaha. Tuko jirani zaidi na mateso, kutekwa na kuumizwa .
Neema_ furaha na amani vimegeuka bidhaa adimu .
MACHO YANACHEKA, MOYO UNALIA
Michelle usenge wa kumsema rais aliyeko madarakani. Hamuoni mnahatarisha usalama wa nchi?
 
Maisha yenyewe yamekuwa mate so tupu ni sawa kabisa kuwa na kwenye hicho chumba cha watesaji.. Imefikia mpaka mtu ukila chips kuku unaonekana kama unakula bata! Ukinywa vibia viwili unaonekana kama fisadi!!
 
Maisha yenyewe yamekuwa mate so tupu ni sawa kabisa kuwa na kwenye hicho chumba cha watesaji.. Imefikia mpaka mtu ukila chips kuku unaonekana kama unakula bata! Ukinywa vibia viwili unaonekana kama fisadi!!
 
Hutishwi! Unalazimishwa kusema.
Ikiwa utatishwa,shukuru mungu wako sababu anakupenda sana.

Hivi,ukifinywa pumb.u na plaiz hutaongea?

Ukichomekwa sindando kwenye kucha ikazama yote hutaongea?

Ukipitishiwa mshale wa kibiriti unao waka kwenye kichwa cha mbo.o hutaongea?

Ukikatwa kidole kimoja kimoja utakaa kimya?

Weweeeeeee
Duuuh mpka mwili unasisimka lazima useme tyu
 
Ukweli kuhusu roma anaujua mwenyewe roms wengine tunapapasa papasa tu.

Japo hoja zingine ukitafakari zinajenga mantiki kichwani.

Sipendi kuihusisha na siasa ila nashauri tu tume huru iundwe ili kuchunguza zaid..

Mimi mwanakitongoji huwa najiridhisha na kile nilichoshudia na kufanyia uchunguzi.


Asante mshana jr
Tusilale tukitegemea uchunguzi wa akina upelelezi nao niwatu kama sisi.
 
Ukweli kuhusu roma anaujua mwenyewe roms wengine tunapapasa papasa tu.

Japo hoja zingine ukitafakari zinajenga mantiki kichwani.

Sipendi kuihusisha na siasa ila nashauri tu tume huru iundwe ili kuchunguza zaid..

Mimi mwanakitongoji huwa najiridhisha na kile nilichoshudia na kufanyia uchunguzi.


Asante mshana jr
Tusilale tukitegemea uchunguzi wa akina upelelezi nao niwatu kama sisi.
 
Back
Top Bottom