Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Sio kumuacha tuu aendelee na maisha yake,bali yule katumiwa kuwaogopesha wasanii wenzake wenye mwelekeo wake.Tumuache kijana aendelee na maisha yake ndio Kilichobaki
Sawa na jehanam ama kuzimu na dhana nzima ya hungry ghosts... Naona hili jambo lipo kila mahali tunatofautiana lugha tuuVyumba vya mateso vinatisha. Lakini katika dini tunafahamishwa kuwa kutakuwa na mateso zaidi ya hayo na kutakuwa hakuna kufa ni mateso tuuuu. Mfano
Na sema: “Hii ni haki kutoka kwa Rabb wenu. Basi anayetaka aamini, na anayetaka akufuru.” Hakika Sisi Tumewaandalia madhalimu moto ambao kuta zake zitawazunguka. Na wakiomba uokozi watapewa maji kama masazo ya zebaki nyeusi ziliyoyeyushwa yanayobabua nyuso. Ubaya ulioje kinywaji hicho, na uovu ulioje mahali pa kupumzikia.