HahaaaaaaKuna moja nilishawahi msikia eti south africa wanaitumia, wanakuingiza kwenye chumba kina siafu wamenata kwenye kuta zote za chumba kama kimepakwa rangi ila wametulia tuli!
Issue sasa ukiingizwa humo ndio wanachachamaaa.....
Niliogopa kweli
True kabisa,hii fani mm mwnywe sinuungi mkono..kwny magic ndo kunamfaa hku na siasa hna mashkkoasante mshana jr kwa maoni yako ila naamini hata wewe umesimuliwa au kusoma tu mtandaoni huna uhakika kama roma alitekwa ama la. endelea kutuliwaza na stori za kichawi tu haya huyajui kaka
asante mkuu tupo pamojaTrue kabisa,hii fani mm mwnywe sinuungi mkono..kwny magic ndo kunamfaa hku na siasa hna mashkko
asante mshana jr kwa maoni yako ila naamini hata wewe umesimuliwa au kusoma tu mtandaoni huna uhakika kama roma alitekwa ama la. endelea kutuliwaza na stori za kichawi tu haya huyajui kaka
True kabisa,hii fani mm mwnywe sinuungi mkono..kwny magic ndo kunamfaa hku na siasa hna mashkko
asante mkuu tupo pamoja
Hutishwi! Unalazimishwa kusema.Ukiwa na mtu usiye na falsafa ni hatari sana katika ulimwengu wa kiroho, ni rahisi kuikosa ata mbingu sababu tu ya kukosa falsafa yako.
Kuikana nafsi yako kwa kuutetea uhai wako no sawa na kumkana Mungu, chukua mfano wa Yesu Kristo na watakatifu wore duniani (kwa kanisa katoliki).
Ukisoma history ya wafia dini, wengi walikuwa imara katika kulinda imani yao(falsafa) yao hadi kufa.
Kwangu binafsi mtu anayesema eti nitatishiwa kwa mateso nisiseme kitu kwangu no uongo mkubwa sana.
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Wao kuua sio lengo kuu kwao,lengo kuu kwao ni mateso yako.Katika ivyo vyumba vya mateso hakuna option ya kujiua? Maana naona kuliko kuvumilia haya yote ni bora kufa
Walishaandaliwa kutothamini familiahao watesaji lakini hawana familia?
Ukiamua kujizamisha kwenye hayo Maji??Hapana unakuwa under surveillance
hatari sana aisee kwa hiyo wanawawahi wakiwa wadogo?Walishaandaliwa kutothamini familia
Hahahahaaa!Kende.......Ila mimi naogopa sana utesaji wa kufinywa Korodani
Tueleze wewe unaeyajuaasante mshana jr kwa maoni yako ila naamini hata wewe umesimuliwa au kusoma tu mtandaoni huna uhakika kama roma alitekwa ama la. endelea kutuliwaza na stori za kichawi tu haya huyajui kaka