MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Nimejaribu kufuatilia jinsi coverage unavyofanywa na hizi local media zetu kuhusu matukio mbali mbali yanayofanywa na chama tawala CCM, hakika inasikitisha. Hakuna balance kabisa kwenye matukio ya kisiasa kati ya chama tawala na Upinzani.
Hivi vyombo vimeamua kua upande wa Chama Tawala hata kwenye urushaji habari na matangazo ya live, hili liko wazi na kila mmoja analijua. Mnataka mpaka mualikwe kwani kazi yenu si kutafuta matukio? Hii kwangu aiona kama ni aibu kubwa.
Hivi taaluma za waandishi wa habari wanazozisema ziko wapi? Tulizoea ITV ilikuwa balanced kwenye taarifa zake lakini kwa sasa ninashangaa sana kwa yanayoendelea. Haya ambayo miaka yote mmekuwa mkiyaripoti leo hii imekua ni uchochezi?
AZAM media na MillardAyo mnalalamikiwa sana na umma kuwa mmefuta taarifa za Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu wakati akichukua form toka NEC kwenye mitandao yenu kwa sababu gani?
Toeni notifications kwa Umma ni kwanini mmefanya hivyo kwa wakati mmoja kama ni kweli?
Vyombo vya habari ni muhimu mwingine muhimu sana wa taifa, sasa mkiendelea hivi mtakosa credibility ya kuaminiwa na jamii. Iangalie ni CNN na BBC au DW kunapokuwa na matukio ya kisiasa nchini mwao wanavyokua balanced.
Hivi vyombo vimeamua kua upande wa Chama Tawala hata kwenye urushaji habari na matangazo ya live, hili liko wazi na kila mmoja analijua. Mnataka mpaka mualikwe kwani kazi yenu si kutafuta matukio? Hii kwangu aiona kama ni aibu kubwa.
Hivi taaluma za waandishi wa habari wanazozisema ziko wapi? Tulizoea ITV ilikuwa balanced kwenye taarifa zake lakini kwa sasa ninashangaa sana kwa yanayoendelea. Haya ambayo miaka yote mmekuwa mkiyaripoti leo hii imekua ni uchochezi?
AZAM media na MillardAyo mnalalamikiwa sana na umma kuwa mmefuta taarifa za Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu wakati akichukua form toka NEC kwenye mitandao yenu kwa sababu gani?
Toeni notifications kwa Umma ni kwanini mmefanya hivyo kwa wakati mmoja kama ni kweli?
Vyombo vya habari ni muhimu mwingine muhimu sana wa taifa, sasa mkiendelea hivi mtakosa credibility ya kuaminiwa na jamii. Iangalie ni CNN na BBC au DW kunapokuwa na matukio ya kisiasa nchini mwao wanavyokua balanced.