Vyombo vya dola viwachukulie hatua kali sana matapeli wanaojifanya chawa kwa kumshushia hadhi yake Rais

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,398
3,907
Serikali na Chama wakiwa wanajua Hali halisi ya ugumu wa maisha wanaopitia watanzania kiuchumi wanajitokeza matapeli mfano wa choice variable na Lucas Mwashambwa kwa makusudi au kwa kutumwa na mafisadi na kuamua kuleta uongo wa kiwango cha Hali ya juu kwa Hali inavyoendelea? kwani nani hajui kuwa Kuna matatizo lukuki yanayoikumba nchi yetu tena yasipodhibitiwa mapema yatasababisha changamoto kubwa ya kiuchumi kwa mfano
kukatikakatika ovyo ovyo kwa umeme Tanzania imekuw kawaida kwa sababu umeme ni nishati muhimu na ya lazima inayohitajika mahospitlini, viwandani na kwenye shughuli kama kutotolesha mayai kwa kutumia incubator nk

Shughuli nyingi za kiuchumi zimeathiriwa Sana na kukatika katika hovyo kwa umeme hii Hali imearhiri mzunguko wa fedha na kuua uchumi jumuishi

Kupanda kwa nishati ya mafuta ya aina zote kumefanya multiplying effect ya kupandisha kila aina ya bidhaaa serikali ingetoka hadharani kuelezea mchakato mzima wa uagizwaji na usambazwaji wa mafuta kwani mchakato mzima umegubukwa na usiri wa Hali ya juu nina uhakika serikali ingekuwa serious ilitakiwa kuregulate bei ya mafuta kuw chini ya 2500 ikiwezekana kutoa baadhi ya kodi na kuleta subsidies

Serikali iachane na hawa mercenaries keyboard wanaosifia ujinga bali ipambane na uhalisia kuwa imesababisha ugumu wa Hali ya juu Sana kwa watanzania kwa mfano ukopaji holela unachagizwa na Rushwa iliyotamalaki kila pahala kila kinachokopwa hakifanyi kazi tarajiwa kinapigwa juujuu yaaani ufisadi na wizi wa kutisha

Hussein Bashe aachane Mara moja na project anayofanya kwani hii project ya BBT haina manufaa kabisa bali umekuwa mchongo wa kuwanufaisha walewale wenye uwezo yeye atengeneze mfumo kwa mfano kupunguza bei za pembejeo na kurudisha somo la kilomo mashuleni na pia serikali isamehe kodi vifaa vya kilimo kama matrekta water pumps ili watu wengi zaidi washawishike kwenye kilimo ahakikishe Banking system zinaanzisha kwa kasi matawi yake kwenye mashamba zitengeneze miundombinu ya umwagilialiaji yaaani strategic irrigation schemes kila wilaya na zikopeshe wakulima maji na pembejeo na utengenezwe mfumo wa mpaka soko na mazao yanayolimwa yauzike ili mkulima awe na uhakika wa soko na kuvuna na Bank zitatengeneza automated system ya kukata mikopo yao juu kwa juu
 
Serikali na Chama wakiwa wanajua Hali halisi ya ugumu wa maisha wanaopitia watanzania kiuchumi wanajitokeza matapeli mfano wa choice variable na Lucas mwashambwa kwa makusudi au kwa kutumwa na mafisadi na kuamua kuleta uongo wa kiwango cha Hali ya juu kwa Hali inavyoendelea? kwani nani hajui kuwa Kuna matatizo lukuki yanayoikumba nchi yetu tena yasipodhibitiwa mapema yatasababisha changamoto kubwa ya kiuchumi kwa mfano

kukatikakatika ovyo ovyo kwa umeme Tanzania imekuw kawaida kwa sababu umeme ni nishati muhimu na ya lazima inayohitajika mahospitlini, viwandani na kwenye shughuli kama kutotolesha mayai kwa kutumia incubator nk

shughuli nyingi za kiuchumi zimeathiriwa Sana na kukatika katika hovyo kwa umeme hii Hali imearhiri mzunguko wa fedha na kuua uchumi jumuishi

kupanda kwa nishati ya mafuta ya aina zote kumefanya multiplying effect ya kupandisha kila aina ya bidhaaa serikali ingetoka hadharani kuelezea mchakato mzima wa uagizwaji na usambazwaji wa mafuta kwani mchakato mzima umegubukwa na usiri wa Hali ya juu nina uhakika serikali ingekuwa serious ilitakiwa kuregulate bei ya mafuta kuw chini ya 2500 ikiwezekana kutoa baadhi ya kodi na kuleta subsidies

serikali iachane na hawa mercenaries keyboard wanaosifia ujinga bali ipambane na uhalisia kuwa imesababisha ugumu wa Hali ya juu Sana kwa watanzania kwa mfano ukopaji holela unachagizwa na Rushwa iliyotamalaki kila pahala kila kinachokopwa hakifanyi kazi tarajiwa kinapigwa juujuu yaaani ufisadi na wizi wa kutisha

Hussein Bashe aachane Mara moja na project anayofanya kwani hii project ya BBT haina manufaa kabisa bali umekuwa mchongo wa kuwanufaisha walewale wenye uwezo yeye atengeneze mfumo kwa mfano kupunguza bei za pembejeo na kurudisha somo la kilomo mashuleni na pia serikali isamehe kodi vifaa vya kilimo kama matrekta water pumps ili watu wengi zaidi washawishike kwenye kilimo ahakikishe Banking system zinaanzisha kwa kasi matawi yake kwenye mashamba zitengeneze miundombinu ya umwagilialiaji yaaani strategic irrigation schemes kila wilaya na zikopeshe wakulima maji na pembejeo na utengenezwe mfumo wa mpaka soko na mazao yanayolimwa yauzike ili mkulima awe na uhakika wa soko na kuvuna na Bank zitatengeneza automated system ya kukata mikopo yao juu kwa juu
Hapa no ugomvi kati ya chawa wa magufuli na chawa wa Samia

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Serikali na Chama wakiwa wanajua Hali halisi ya ugumu wa maisha wanaopitia watanzania kiuchumi wanajitokeza matapeli mfano wa choice variable na Lucas mwashambwa kwa makusudi au kwa kutumwa na mafisadi na kuamua kuleta uongo wa kiwango cha Hali ya juu kwa Hali inavyoendelea? kwani nani hajui kuwa Kuna matatizo lukuki yanayoikumba nchi yetu tena yasipodhibitiwa mapema yatasababisha changamoto kubwa ya kiuchumi kwa mfano

kukatikakatika ovyo ovyo kwa umeme Tanzania imekuw kawaida kwa sababu umeme ni nishati muhimu na ya lazima inayohitajika mahospitlini, viwandani na kwenye shughuli kama kutotolesha mayai kwa kutumia incubator nk

shughuli nyingi za kiuchumi zimeathiriwa Sana na kukatika katika hovyo kwa umeme hii Hali imearhiri mzunguko wa fedha na kuua uchumi jumuishi

kupanda kwa nishati ya mafuta ya aina zote kumefanya multiplying effect ya kupandisha kila aina ya bidhaaa serikali ingetoka hadharani kuelezea mchakato mzima wa uagizwaji na usambazwaji wa mafuta kwani mchakato mzima umegubukwa na usiri wa Hali ya juu nina uhakika serikali ingekuwa serious ilitakiwa kuregulate bei ya mafuta kuw chini ya 2500 ikiwezekana kutoa baadhi ya kodi na kuleta subsidies

serikali iachane na hawa mercenaries keyboard wanaosifia ujinga bali ipambane na uhalisia kuwa imesababisha ugumu wa Hali ya juu Sana kwa watanzania kwa mfano ukopaji holela unachagizwa na Rushwa iliyotamalaki kila pahala kila kinachokopwa hakifanyi kazi tarajiwa kinapigwa juujuu yaaani ufisadi na wizi wa kutisha

Hussein Bashe aachane Mara moja na project anayofanya kwani hii project ya BBT haina manufaa kabisa bali umekuwa mchongo wa kuwanufaisha walewale wenye uwezo yeye atengeneze mfumo kwa mfano kupunguza bei za pembejeo na kurudisha somo la kilomo mashuleni na pia serikali isamehe kodi vifaa vya kilimo kama matrekta water pumps ili watu wengi zaidi washawishike kwenye kilimo ahakikishe Banking system zinaanzisha kwa kasi matawi yake kwenye mashamba zitengeneze miundombinu ya umwagilialiaji yaaani strategic irrigation schemes kila wilaya na zikopeshe wakulima maji na pembejeo na utengenezwe mfumo wa mpaka soko na mazao yanayolimwa yauzike ili mkulima awe na uhakika wa soko na kuvuna na Bank zitatengeneza automated system ya kukata mikopo yao juu kwa juu
Mamalao alikwisha wakubali chawa wake na akasema ukimzingua nao watakuzingua.
 
Cha kwanza kufanya kisicho hitaji akili nyingi, ni kupunguza matumizi ya hanasa yasio ya lazima ya nchi hii, misafara ya hovyo, paki ma V8 yote nchi nzima, v8ibaki kwa RAS, na mganga mkuu wa, mkoa!
Jana nilikuwa kwenye viunga vya Dodoma, nikajionea ma v8 kibao,yanaenda kwenye ibada, ijumaa Kareem, unakuta ofc moja, kila ofisa anawasha v8 anaenda kuswali/kusali!
Sasa hv kenge wa CCM wanawaza 2025! Kwao cha muhimu ni siasa, kubaki madarakani, na kwa picha ninayoiona, baada ya samia, atakuja rais mbovu zaidi!
 
Serikali na Chama wakiwa wanajua Hali halisi ya ugumu wa maisha wanaopitia watanzania kiuchumi wanajitokeza matapeli mfano wa choice variable na Lucas mwashambwa kwa makusudi au kwa kutumwa na mafisadi na kuamua kuleta uongo wa kiwango cha Hali ya juu kwa Hali inavyoendelea? kwani nani hajui kuwa Kuna matatizo lukuki yanayoikumba nchi yetu tena yasipodhibitiwa mapema yatasababisha changamoto kubwa ya kiuchumi kwa mfano

kukatikakatika ovyo ovyo kwa umeme Tanzania imekuw kawaida kwa sababu umeme ni nishati muhimu na ya lazima inayohitajika mahospitlini, viwandani na kwenye shughuli kama kutotolesha mayai kwa kutumia incubator nk

shughuli nyingi za kiuchumi zimeathiriwa Sana na kukatika katika hovyo kwa umeme hii Hali imearhiri mzunguko wa fedha na kuua uchumi jumuishi

kupanda kwa nishati ya mafuta ya aina zote kumefanya multiplying effect ya kupandisha kila aina ya bidhaaa serikali ingetoka hadharani kuelezea mchakato mzima wa uagizwaji na usambazwaji wa mafuta kwani mchakato mzima umegubukwa na usiri wa Hali ya juu nina uhakika serikali ingekuwa serious ilitakiwa kuregulate bei ya mafuta kuw chini ya 2500 ikiwezekana kutoa baadhi ya kodi na kuleta subsidies

serikali iachane na hawa mercenaries keyboard wanaosifia ujinga bali ipambane na uhalisia kuwa imesababisha ugumu wa Hali ya juu Sana kwa watanzania kwa mfano ukopaji holela unachagizwa na Rushwa iliyotamalaki kila pahala kila kinachokopwa hakifanyi kazi tarajiwa kinapigwa juujuu yaaani ufisadi na wizi wa kutisha

Hussein Bashe aachane Mara moja na project anayofanya kwani hii project ya BBT haina manufaa kabisa bali umekuwa mchongo wa kuwanufaisha walewale wenye uwezo yeye atengeneze mfumo kwa mfano kupunguza bei za pembejeo na kurudisha somo la kilomo mashuleni na pia serikali isamehe kodi vifaa vya kilimo kama matrekta water pumps ili watu wengi zaidi washawishike kwenye kilimo ahakikishe Banking system zinaanzisha kwa kasi matawi yake kwenye mashamba zitengeneze miundombinu ya umwagilialiaji yaaani strategic irrigation schemes kila wilaya na zikopeshe wakulima maji na pembejeo na utengenezwe mfumo wa mpaka soko na mazao yanayolimwa yauzike ili mkulima awe na uhakika wa soko na kuvuna na Bank zitatengeneza automated system ya kukata mikopo yao juu kwa juu
Njaa itakuua wewe popoma.

View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1741028154179760462?t=LwGVrOVhDq5oASFg7losVw&s=19
 
Hii ya automated system kukata juu kwa juu ni hatari ikikosea tu ni usumbufu mungine usio na maana au wakiingiza makato Yao yasiyo na tija ni usumbufu kuhoji watakuambia system imekataa .
 
Serikali na Chama wakiwa wanajua Hali halisi ya ugumu wa maisha wanaopitia watanzania kiuchumi wanajitokeza matapeli mfano wa choice variable na Lucas mwashambwa kwa makusudi au kwa kutumwa na mafisadi na kuamua kuleta uongo wa kiwango cha Hali ya juu kwa Hali inavyoendelea? kwani nani hajui kuwa Kuna matatizo lukuki yanayoikumba nchi yetu tena yasipodhibitiwa mapema yatasababisha changamoto kubwa ya kiuchumi kwa mfano

kukatikakatika ovyo ovyo kwa umeme Tanzania imekuw kawaida kwa sababu umeme ni nishati muhimu na ya lazima inayohitajika mahospitlini, viwandani na kwenye shughuli kama kutotolesha mayai kwa kutumia incubator nk

shughuli nyingi za kiuchumi zimeathiriwa Sana na kukatika katika hovyo kwa umeme hii Hali imearhiri mzunguko wa fedha na kuua uchumi jumuishi

kupanda kwa nishati ya mafuta ya aina zote kumefanya multiplying effect ya kupandisha kila aina ya bidhaaa serikali ingetoka hadharani kuelezea mchakato mzima wa uagizwaji na usambazwaji wa mafuta kwani mchakato mzima umegubukwa na usiri wa Hali ya juu nina uhakika serikali ingekuwa serious ilitakiwa kuregulate bei ya mafuta kuw chini ya 2500 ikiwezekana kutoa baadhi ya kodi na kuleta subsidies

serikali iachane na hawa mercenaries keyboard wanaosifia ujinga bali ipambane na uhalisia kuwa imesababisha ugumu wa Hali ya juu Sana kwa watanzania kwa mfano ukopaji holela unachagizwa na Rushwa iliyotamalaki kila pahala kila kinachokopwa hakifanyi kazi tarajiwa kinapigwa juujuu yaaani ufisadi na wizi wa kutisha

Hussein Bashe aachane Mara moja na project anayofanya kwani hii project ya BBT haina manufaa kabisa bali umekuwa mchongo wa kuwanufaisha walewale wenye uwezo yeye atengeneze mfumo kwa mfano kupunguza bei za pembejeo na kurudisha somo la kilomo mashuleni na pia serikali isamehe kodi vifaa vya kilimo kama matrekta water pumps ili watu wengi zaidi washawishike kwenye kilimo ahakikishe Banking system zinaanzisha kwa kasi matawi yake kwenye mashamba zitengeneze miundombinu ya umwagilialiaji yaaani strategic irrigation schemes kila wilaya na zikopeshe wakulima maji na pembejeo na utengenezwe mfumo wa mpaka soko na mazao yanayolimwa yauzike ili mkulima awe na uhakika wa soko na kuvuna na Bank zitatengeneza automated system ya kukata mikopo yao juu kwa juu
Kama una ugumu wowote wa maisha nakushauri pitia ofisi yoyote ya CCM iliyo karibu yako au ofisi za serikali ya mtaa wako, tukusikilize shida zako.

Kuna mipango mingi sana ya serikali ya kupunguza ugumu wa maisha ya Watanzania lakini inaonesha kuna baadhi yenu hamuifahamu.

Kuna mipango mpaka ya kuzalisha mamilionea Tanzania, unaifahamu?
 
Back
Top Bottom