Sio kweli Tanzania hakuna viongozi wa upinzani. Kiongozi halisi lazima afanane na wafuasi wake. Hata Bwana Yesu alikuwa akifanana na wanafunzi wake, ndiyo maana ilikuwa vigumu kumtambua hadi pale msaliti alipomtambulisha kwa kumbusu.Natofautiana na wewe. Binafsi naona wananchi ndiyo wamedoda kama kiporo Cha viazi. Na wapinzani ni sehemu ya wananchi. Hivyo lawama zuende kwa wananchi.
Yeye na boss wake awatorudi tena bungeni haoAskofu Gwajima hahubiri bali anapiga kampeni dhidi ya mama kwa 2025. Yaani ni heri mbinu ya Gwajima kuliko vyama vya upinzani vinasubiria chorus ya tume mbaya baada ya uchaguzi, sasa hivi wametulia wanakula nyani wala ndizi na jibini