Goodhope12
Member
- May 15, 2017
- 24
- 16
Vyama vya upinzani Tanzania kiukweli vimelala sana , vimeacha kutetea haki na maslahi ya watu wanyonge kama vile:
.Ajira kwa vijana
.Ongezeko la mishahara kwa watumishi wa umma.
.Mikopo ya wanafunzi vyuo vikuu
Wao wapo tu wanatu hadaa wananchi , kwa hali hii ya wapinzani wa Tanzania walivyo bora tu CCM iendelee kutawala. HAKUNA NAMNA (nimemkumbuka sana Dr, slaa enzi zake yuko CHADEMA)
.Ajira kwa vijana
.Ongezeko la mishahara kwa watumishi wa umma.
.Mikopo ya wanafunzi vyuo vikuu
Wao wapo tu wanatu hadaa wananchi , kwa hali hii ya wapinzani wa Tanzania walivyo bora tu CCM iendelee kutawala. HAKUNA NAMNA (nimemkumbuka sana Dr, slaa enzi zake yuko CHADEMA)