Vyama vya upinzani mjifunze kwa Zitto Kabwe

Nyabukika

JF-Expert Member
Jun 15, 2022
1,402
942
ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.

Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”

Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"

Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
 
ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.

Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”

Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"

Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Ujinga mtupu!
 
ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.

Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”

Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"

Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Km Zitto akikamata madaraka tu 2025 cha kwanza atasema nimeikuta account ya serikal haina kitu..

kiufup usiwaamin sana wanasiasa wa afrika
 
Zoezi la kupeleka umeme wa gridi Kigoma halikuanzishwa na Samia bali ni mpango wa muda mrefu wa serikali
Ila mkuu , zimepita awam nyingi aisee, bila hiyo grid ya taifa kufika mkoani kigoma ,
Kwa hili naunga mkono apongezwe tu , hakuna namna , sio kila kitu kupinga tu ,
 
Nimeiangalia ile Khutba ya Mwami Zitto Kabwe yote, nimegundua ni Khutba iliyojaa Hikma na Matarajio mema.

200-1.gif
 
ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.

Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”

Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"

Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Tangu lini Zitto ni mpinzani?
ACT iko na ccm bega kwa bega wanakula mwma ya nchi itegemee watemee mate chakula? Au hili hulijui?
 
Hiyo ni mipango ya serikali.je kuna mpinzani gani aliwahi kupinga mipango ya serikali?.Maana isikute unafananisha kupinga na kutoa mawazo mbadala.zito akipongeza jambo A haimaanishi hawezi kua na mawazo mbadala kwenye jambo B.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.

Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”

Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"

Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Barakala!
 

Attachments

  • IMG_20221017_200817.jpg
    IMG_20221017_200817.jpg
    103.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom