Yaani sasa imekuwa kawaida jambo dogo mnakimbilia vyombo vya habari, tuambieni jambo moja mliloliendea kwenye vyombo vya habari na kuwaletea faida, moja tu.
Siasa sio kwenye vyombo vya habari kama hamuwezi kufanya siasa acheni kuwajingisha Wananchi.
Kama kuna faida basi wakulima wangalienda nao kuvitumia wakapata mavuno mazuri. Uhuru wa nchi hii haukupatikana kwa kuvamia vyombo vya habari .
Siasa sio kwenye vyombo vya habari kama hamuwezi kufanya siasa acheni kuwajingisha Wananchi.
Kama kuna faida basi wakulima wangalienda nao kuvitumia wakapata mavuno mazuri. Uhuru wa nchi hii haukupatikana kwa kuvamia vyombo vya habari .