SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,836
- 1,845
Kwa jukwaa hili, subiri matusi, lakini isikutishe, ni bora kupuuzwa na wajinga 1000mil. ila ukaungwa mkono na mwerevu mmoja!
........Kwanini tufuge paka tutarajie kula mayai?
Si tumetaka Demokrasia, wanaojifanya wajanja ndio hao wanaitumia! Walianza ccm, nccr, cuf, cdm, na upuuzi mwingine kama huo! Ukishangaa ya Musa, utaona ya Firauni! Ndio hayo.
Ila tukithubutu tunaweza, Mungu wetu anaita!
apo nafikiri bado nashangaa ya MUSA mkuu...