Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

The idea of establishing CHADEMA is home grown. The idea of establishing branches abroad is "hopeless" particularly because Tanzania communities abroad contitute in most cases of people who are just surviving there...that is Tanzanian community have failed to cross economic boundaries and make a significant mark abroad particularly in USA and UK.In addition most of the Tanzanians seen in the so called branches abroad are petty orpurtunists who wants a ticket to come home as political leaders which in anyway you want to look at it is absurd.

Wakati mwingine mtanzania aliyeko abroad anaweza kuwa mfuatiliaji mzuri wa masuala ya nyumbani kuliko hata yule aliye Tanzania. Kuna watu wako abroad ukiwauliza leo kimejadiliwa nini bungeni watakwambia kila kitu, kuna wengine wako Magomeni hawajui na wala hawako interested kujua nini kinaendelea!
Chukulia mfano owner wa blog ya wavuti (Subi Nukta) shes uptodate about the happenings in Tanzania kuliko walioko Bongo. Sasa unaweza kusema Subi hana interest na maendeleo ya Bongo just because yuko abroad?
 
Wakuu,

Watanzania waishio nje ya nchi kuna siku tutarudi moja kwa moja nyumbani Tanzania na ndio maana kuna haja ya kujishirikisha kulingana na haki ya kikatiba tuliyo nayo.

Kumjibu mtoa mada kwa swali lake kwamba ni kwanini Afrika tu ndio kuna hili la kuwashirikisha watanzania kwa kufungua matawi huko walipo, ni kwamba yanatafutwa mawazo mbalimbali ya kuchangia maendeleo.

Baadhi ya watu kwenye serikali ya CCM na watu wake wengine ambao baadhi yao tunasoma mawazo yao humu, hawawapendi watanzania walio nje ya nchi.

Kwanini hali iko hivyo? Jibu ni rahisi, kwamba sisi watanzania tulio nje tuna mawazo tofauti ya kimtazamo kuhusu namna ya kuleta maendeleo Tanzania na katika kuleta maendeleo ni lazima patolewe maamuzi magumu. Mfano ni juzi tu tumeona jinsi Wizara ya Madini na Nishati ilivyopata wachapa kazi wawili waziri na mwenzie katibu mkuu na sasa wanafanya kazi yao na matokeo yake yanaonekana.

Nikitoa mfano mwingine ni kuhusu Halmashauri ya mkoa wa Mbeya, hivi sasa kuna mvutano kati ya madiwani na mkurugenzi wa manispaa. Wanampiga vita mkurugenzi wa manispaa ambae ameziba mirija ya ufujaji pesa za kodi iliyokuwa ikikusanywa, ambapo kabla hajaja kodi yote ilikuwa ikitafunwa na baadhi ya madiwani wa CCM na viongozi wengine watendaji.

Mkurugenzi huyo toka ateuliwe akaja na mbinu mbalimbali za ukusanyaji kodi mkoani humo zikiwemo kodi za majengo na uzoaji taka.
Katika vyanzo vyake vyote, Jiji la Mbeya linategemea mno makusanyo ya fedha kutoka kodi ya majengo na ardhi ambayo yanaelezwa kuwa chachu ya ongezeko kubwa la mapato ya jiji hilo katika miaka miwili iliyopita.

Mapato ya Jiji la Mbeya yamepanda maradufu kutoka shilingi bilioni 2.5, mwaka 2009/2010 hadi shilingi bilioni 10.5, mwaka 2010/2011, mafanikio ambayo pia yanahusishwa na ujio wa Mkurugenzi huyo.

Lakini inajulikana wazi kwamba ni baadhi ya madiwani wa CCM ambao walikuwa wakila fedha za kodi na matokeo yake kunakuwa hakuna pesa ya kufanya maendeleo kama vile kujenga miundo mbinu, kuboresha huduma za afya na elimu. Sasa njia za ulaji pesa hizo zimefungwa wanaanza kumpiga vita ili atoke na walete mtu ambae watamtumia kula pesa hizo.

Hii ni mifano midogo tu ambayo inaonyesha namna ya tofauti za kifikra zilivyo baina ya watanzania, kwamba kuna wale wasiojali taifa la kesho na wale wanaojali kujenga kwa ajili ya wale wa kesho.

Sasa wenzetu walioendelea hasa Ulaya magharibi tunakoishi, wao wanajenga kwa ajili ya wale wa kesho. Wakijenga majengo, barabara au miundo mbinu aina mbalimbali inakuwa ni kwa miaka kari ya 40 mpaka 100 ndipo wanapoanza kufikiria kubomoa ili kujenga kitu kingine cha kisasa zaidi.

Kwa mfano nchini Uingereza katika mji wa Birmingham kuna barabara moja maarufu ya juu iitwayo "spaggetti junction" ambayo hivi majuzi ilifikisha miaka 40 tangu ijengwe mwaka 1972. Huo ni umri wa mtu mzima mwenye familia inayokuwa.

Sasa hivi ndio wanaangalia kama kuna hitilafu zozote kwenye barabara hiyo ili kuifanyia marekebisho kadhaa. Kwahio hilo linakuwa ni jukumu la manispaa ya jiji hilo kwa ukubwa nchini Uingereza kuhakikisha kuna fedha za kufanyia ukarabati huo.

Suala la ukusanyaji wa kodi kwa nchi hizi si jambo la kuchezewa hata kidogo, hasa Uingereza kodi ya nyumba au "Council Tax" inakuwasanywa na manispaa husika na kiasi kidogo kinakwenda serikali kuu na kiasi hicho huwa ni kidogo ukilinganisha na kiasi kinchokwenda kwenye maeneo mengine yaliyomo kwenye manispaa. Tena wale walipaji kodi unaambiwa wapi kodi yako inakwenda kama ni kwenye miundo mbinu - barabara, uzoaji taka, polisi na watu wa zimamoto.

Serikali kuu nayo ina kodi zake kama kodi ya ushuru wa barabara ambayo ni ya nchi nzima na inaipa serikali fedha nzuri ya kutosha kufanya mambo mengine ya kitaifa kama elimu, ulinzi na usalama.

Sasa tofauti hapa ni kwamba kwa hawa wenzetu walioendelea, kodi inaonekana inafanya kazi na kwetu Tanzania kodi haionekani ikifanya kazi yoyote na mambo kama mashimo barabara hayaishi kuonekana kila wakati na mifereji ya maji kuziba kila mvua ikinyesha kwasababu hakukuwa na mipango mizuri ya ujenzi wa mifereji na hata kama makandarasi wanapatikana wanakula fedha hizo na halmashauri za miji na baadhi ya watendaji.

Serikali yetu imeshindwa hata kutumia sehemu ya fedha kuufanyia marekebisho uwanja wetu wa ndege wa JKNIA na hata kuweka hata AC angalu mbili tu na hata kuweka "lifts" kusaidia wasafiri na mizigo yao.

Sisemi mambo haya yafanywe kama Ulaya lakini tunaweza kuyafanya katika hadhi yetu wenyewe, mbona waisrael wameijenga nchi yao kwa miaka michache na taifa lilianzishwa mwaka 1948 tu na ukifika Jerusalem utashangaa?

Au, mbona Rwanda inaelekea kutupita na kuwa nchi iliyo na maisha mazuri tangu mauaji ya Kimbari? au mbona Botswana wanatumia dhahabu kuleta maendeleo kwa watu wake na sasa wamewaambia De Beers wajenge kiwanda cha kutengeneza vito palepale Gaborone, na De Beers wamekubali wazo hilo ?

Kwahio ukiangalia sana utaona kwamba inahitajika serikali ya chama kingine mbadala ifanye yale yanayowakera baadhi ya watu ambao hawapendi kuona mambo yaleyale yanapigiwa kelele kila siku, kwasababu ile serikali iliyopo imeshindwa nadni ya miaka hamsini ya uhuru si tokea TANU wakuu?

Kuhusu kupiga kura hiyo ni haki ya kila raia wa Tanzania na watanzania wengi kama mimi bado tunaweza kupiga kura na tukachangia kila wazo la kuendeleza nchi yetu, ila suala linabaki kama serikali imefikiria kuhakikisha kwamba watanzania wa nje nao wanahesabiwa katika shughuli zote za kidemokrasia.

Ikiwa nchi za USA, Russia na hivi karibuni France wananchi wake waishio nje wameweza kupiga kura na kushiriki kikamilifu kwenye utaratibu wa kusheherekea demokrasia basi sisi watanzania tuwe wa kwanza Afrika kufanya hivyo kwa kutumia sifa yetu ya kuwa taifa lenye Amani na Utulivu.
 
Matawi nje ya nchi yapo sana tu. Sio official kiivo ila vyama vinawakilishwa
Kuna hata "special missions" ya vyama katika humanitarian interventions,
Katika international conferences. Vyama vinaenda kua international sasa.
Diaspora, hasa ya Africa, ina wasomi wengi na watu wenye capabilities nyingi
kuliko watanzania walio ndani ya nchi, (please read this in proportion)

Mfano mdogo tu: Jamii Forum ilianzishwa na diaspora (tunaskia).
kwa kule ughaibuni kua na internet acces, na kua na political awareness fulani
ni mambo ya kawaida sana, wanao yaona na kuyaiga toka kwa wenyeji wao huko
baadae wanali-transplant in the Tanzanian context for the benefit of all Tanzanians
Huku ndani ya nchi bado ukisema wanaku-ulimboka, wanaku-mwakyembe

Vita vya madaraka haviwezi kupelekwa bila kuwaingiza watanzania wa nje!
leo hao wananchi wa nje wanaonekana kua na influence kubwa sana kisiasa
Kiuchumi, kimasomo, kisanaa, kijamii na misaada/influence zingine nyingi sana
kwa ndugu na rafiki zao walio ndani ya nchi. Hivo ni muhimu kuhakikisha kua
chama kinawapata huko walipo na kinaingiza sera zao ndani ya siasa zake.
 
The idea of establishing CHADEMA is home grown. The idea of establishing branches abroad is "hopeless" particularly because Tanzania communities abroad contitute in most cases of people who are just surviving there...that is Tanzanian community have failed to cross economic boundaries and make a significant mark abroad particularly in USA and UK.In addition most of the Tanzanians seen in the so called branches abroad are petty orpurtunists who wants a ticket to come home as political leaders which in anyway you want to look at it is absurd.
Considering that the economy of our country is in the toilet it's a good idea to have branches overseas

Besides, most African families rely on remittance sent from relatives abroad
 
Wakati mwingine mtanzania aliyeko abroad anaweza kuwa mfuatiliaji mzuri wa masuala ya nyumbani kuliko hata yule aliye Tanzania. Kuna watu wako abroad ukiwauliza leo kimejadiliwa nini bungeni watakwambia kila kitu, kuna wengine wako Magomeni hawajui na wala hawako interested kujua nini kinaendelea!
Chukulia mfano owner wa blog ya wavuti (Subi Nukta) shes uptodate about the happenings in Tanzania kuliko walioko Bongo. Sasa unaweza kusema Subi hana interest na maendeleo ya Bongo just because yuko abroad?


Ha ha ha sawa bana kumbe aki-update to shilingi ya Tanzania ina stabiliza na barabara mashimo yanazibika automatically.........tuache longo longo wabongo jamani

What are the significances of having diaspora???? Just a list please no explanations needed.....i mean just provide a skeleton fleshes will develop with time
 
Matawi nje ya nchi yapo sana tu. Sio official kiivo ila vyama vinawakilishwa
Kuna hata "special missions" ya vyama katika humanitarian interventions,
Katika international conferences. Vyama vinaenda kua international sasa.
Diaspora, hasa ya Africa, ina wasomi wengi na watu wenye capabilities nyingi
kuliko watanzania walio ndani ya nchi, (please read this in proportion)


Mfano mdogo tu: Jamii Forum ilianzishwa na diaspora (tunaskia).
kwa kule ughaibuni kua na internet acces, na kua na political awareness fulani
ni mambo ya kawaida sana, wanao yaona na kuyaiga toka kwa wenyeji wao huko
baadae wanali-transplant in the Tanzanian context for the benefit of all Tanzanians
Huku ndani ya nchi bado ukisema wanaku-ulimboka, wanaku-mwakyembe

Vita vya madaraka haviwezi kupelekwa bila kuwaingiza watanzania wa nje!
leo hao wananchi wa nje wanaonekana kua na influence kubwa sana kisiasa
Kiuchumi, kimasomo, kisanaa, kijamii na misaada/influence zingine nyingi sana
kwa ndugu na rafiki zao walio ndani ya nchi. Hivo ni muhimu kuhakikisha kua
chama kinawapata huko walipo na kinaingiza sera zao ndani ya siasa zake.

Red; Impact yao so far iko wapi na usomi wao kwa mwananchi wa kawaida pale Ibuti Gairo.....kuna machapisho wametoa ili japo wanafunzi wa vyuo wasome na kupanua fikra????

Blue; Say it true JF is a product of diaspora.....members wa humu ni wa class gani, .........I mean the access is limited to you and me because tumeshiba na tushapulizia deodorants ndo tunabofya hapa.....think of threads za walimu, madaktari na sasa SSRA wat can be deduced as the direct impact of us typing and shifting the blame......while the status remains static????

Green; There you have brought the point home........ni vita ya madaraka nothing else.....wa nje wanataka gaps to get in na wa ndani wanataka support kutoka nje......game of chance no sustainability, no permanent mission than hopes and interests from both sides
 
@Richard

Kati ya yoote uliyoainisha ni nini haswa hakiwezekani na sisi wa ndani mpaka diaspora ndo ifanye......hayo mapungufu ulotaja ni zao la kukosa uzalendo iwe matumizi mabaya au poor qualities za miradi....so ni ubutu wa usimamizi na wala sio function ya residence ie Tanzania vs Abroad

Na kama we stick to professional ethics yote yanawezekana bila hata ya watu wa diaspora mkuu....let us be realistic when it comes to serious matters...

If you real mean the business come over and join hands to push this country uphills......satellite participation and monitoring is not a good methodology so far..........we need something more serious
 
Matawi nje ya nchi yapo sana tu. Sio official kiivo ila vyama vinawakilishwa
Kuna hata "special missions" ya vyama katika humanitarian interventions,
Katika international conferences. Vyama vinaenda kua international sasa.
Diaspora, hasa ya Africa, ina wasomi wengi na watu wenye capabilities nyingi
kuliko watanzania walio ndani ya nchi, (please read this in proportion).......

Indians in Diaspora are prohibited by law to practice politics in India. Reason reason being outside mindset should not influence leadership in the country.

I tend to agree with them because after being abroad one tend to bring home " hangovers" from where he/she coming from.

In short as much as aliens can contribute in development in terms of knowledge / exposure they should not be given leadership for change.
 
Hao waliopo nje ni Watanzania na inawahusu sana mienendo ya nchini kwao kwa mustakabali wao na wa watoto zao huku nyumbani.

Sema nawasikitikia Watanzania wa nje wanapoamuwa kujiunga na chadema, vimichango vyao vya kujenga chama vikifika huku, vinakopwa na mjanja mmoja. Kwi kwi kwi teh teh teh!

usipoitaja CHADEMA naona siku huwa haiendi vizur kwa upande wako kuonyesha ni jinsi gani M4C inakukosesha usingizi 'na bado'.
 
wana forum na wataalamu wa siasa za bongo naombeni mnijuze hili swala manake sielewi, je kuna umuhimu gan wa vyama vya siasa kuwa na matawi nje ya nchi? Na je wanachama wanaweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi? may be online voting?
hiv kuna nchi yeyote ya dunia ya kwanza ambayo vyama vyake vya siasa vina matawi nje ya nchi? (to be specific ni Africa)

Nashangaa kwanini huelewi! Ukiacha masuala mengine, impact ya matawi haya kwa siasa za ndani (nchini) ni kubwa kuliko usivyoelewa. Kwanza kunzisha kwako huu uzi ni mojawapo ya impact!

Kuna leo na kesho, baadhi ya wahuni wanaweza kuchezea matokeo, n.k.; hii ni kujitangaza pia kwa jamii ya kimataifa na waTz walioko ngámbo wawe aware na siasa zetu; bado hujaona impact tu? Hawa jamaa hawakurupuki, wana strategists vichwa mno. Stuka mkuu.
 
usipoitaja CHADEMA naona siku huwa haiendi vizur kwa upande wako kuonyesha ni jinsi gani M4C inakukosesha usingizi 'na bado'.

JF kuna zaidi ya magwanda? tukiwaacha pekeenu humu mtakaa mndanganyane tu, bore tuwemo tuwe tunawapa darsa za hapa na pale.

Chadema kuongoza hii nchi ni ndoto za alinacha. Mnataka mkopeshane nchi nzima?
 
Ha ha ha sawa bana kumbe aki-update to shilingi ya Tanzania ina stabiliza na barabara mashimo yanazibika automatically.........tuache longo longo wabongo jamani

What are the significances of having diaspora???? Just a list please no explanations needed.....i mean just provide a skeleton fleshes will develop with time

Mkuu swali lako ni sawa kabisa na mtu kuuliza "what is the significance of Singida residents?" au "what is the significance of Makete residents". Diaspora ni watanzania wanaoreside kwenye foreign soil, utanzania wao uko palepale kama yule wa Singida au Makete.
 
Red; Impact yao so far iko wapi na usomi wao kwa mwananchi wa kawaida pale Ibuti Gairo.....kuna machapisho wametoa ili japo wanafunzi wa vyuo wasome na kupanua fikra????
Well, ukinisoma vizuri nilisema ku impact yao kwa sasa
imeishia almost exclusively kwenye marafiki, na familia zao.
Ila ikiwa institutions za ndani ya nchi zitaunda branch nje
kuna uwezekano wa kupata benefit on an institutional level
Pollitical parties zimekua makini kuona hiyo opportunity
Ikiwa academic institutions zitaamua pia, benefits zitaonekana


Blue; Say it true JF is a product of diaspora.....members wa humu ni wa class gani, .........I mean the access is limited to you and me because tumeshiba na tushapulizia deodorants ndo tunabofya hapa.....think of threads za walimu, madaktari na sasa SSRA wat can be deduced as the direct impact of us typing and shifting the blame......while the status remains static????
the lack of direct positive impact cannot be blamed on the diaspora
Kama una blame members wa Jf for talking, not acting on the ground
that is another debate. Some would argue that talking is the 1st step
Mimi na wewe tupo nchini, what did we do to change the situation?
the fact remains that watu wengi nchini wanapokea maoni toka nje
wana uwezo ya kuchambua na kukubali au kukataa hayo maoni but
some of the internal debates are initiated by members of the diaspora
for a political party, kuna umuhimu wa ku-influence this from the source


Green; There you have brought the point home........ni vita ya madaraka nothing else.....wa nje wanataka gaps to get in na wa ndani wanataka support kutoka nje......game of chance no sustainability, no permanent mission than hopes and interests from both sides
Kwani siasa ni nini per essence? si ni vita vya madaraka?
iwe nje ya nchi au ndani ya nchi vyama vinataka madaraka.
speeches on human development and political freedoms
are nothing more than advertisements for an electorate.
wote wanataka madaraka. the thing is to give it to the ones
who effectively demonstrate the capacity and will to materialize what they promise.
Na hapa sio njama ya diaspora kuja kutawala nchini, they are fine where they are.
ni njama ya viama vya hapa nchini kujiongezea chances kwa kupitia diaspora.
seducing the diaspora and use them to influence the citizens back home. that's it!
 
Indians in Diaspora are prohibited by law to practice politics in India. Reason reason being outside mindset should not influence leadership in the country.

I tend to agree with them because after being abroad one tend to bring home " hangovers" from where he/she coming from.

In short as much as aliens can contribute in development in terms of knowledge / exposure they should not be given leadership for change.
Nakubali hata mimi, but this is not the point (or I've missed it)
Nadhani kuna tofauti kati ya kua mwanachama wa kawaida
na kua political leader or even politician kwa kuendesha chama
Hapa TZ CCM ina wanachama wangapi? wote ni wanasiasa?
In the same way, vyama vinataka kua na partisans toka nje
ila haina maana kwamba wote watakua ni leaders wa vyama
Kumbuka ile thread ya mbunge wa viti maalum (Laetitia Nyerere)
watu wengi wali condemn mbunge wa chama kuishi nje ya nchi
Having the diaspora on board doesn't mean giving them power
 
Indians in Diaspora are prohibited by law to practice politics in India. Reason reason being outside mindset should not influence leadership in the country.

I tend to agree with them because after being abroad one tend to bring home " hangovers" from where he/she coming from.

In short as much as aliens can contribute in development in terms of knowledge / exposure they should not be given leadership for change.

This mindset is convinced that there is a clear demarcation line between "contributing in development in terms of knowledge/ exposure" and "leadership".

One can say the two need not be separate. Furthermore, one can even claim convincingly that the former is a core component and requirement of the latter.

Mie opposition yangu kwa haya matawi si fundamental. Nimeshasema na recognize haki za raia wa Tanzania kuwa na political association hata wakiwa nje ya nchi, in fact the opposite is the epitome of totalitarianism characterized by some Stalinist's tentacles stifling political association even outside the mother country's borders. Refer to Stalin's assassination of Trotsky in Mexico City and Paul Kagame's assassination attempt on the person of Gen. Faustin Kayumba Nyamwasa in Johannesburg.

I am simply nauseated by the current shyster's skylarking and pretense on the part of usurpers and impostors to the reign of the process of change. And this, again, boils down to the roots of their culture of using party politics as a ladder for their shameless social climbing solely for personal gain.

Why, most of these people have no clue what is the party ideology beyond the CCM bashing blah blahs and incoherent regime change distorted rhetoric.

Ask them how they would control inflation once in power and they can't even muster a generic burgeoned boilerplate abracadabra on how to clean BOT.

And don't take this as a defence for CCM either, rather as a challenge to and disappointment from the dancing opposition.
 
Indians in Diaspora are prohibited by law to practice politics in India. Reason reason being outside mindset should not influence leadership in the country.

I tend to agree with them because after being abroad one tend to bring home " hangovers" from where he/she coming from.

In short as much as aliens can contribute in development in terms of knowledge / exposure they should not be given leadership for change.

Stupids Indians....
wasn't Mahatma Gandhi from South Africa??????
 
@Richard

Kati ya yoote uliyoainisha ni nini haswa hakiwezekani na sisi wa ndani mpaka diaspora ndo ifanye......hayo mapungufu ulotaja ni zao la kukosa uzalendo iwe matumizi mabaya au poor qualities za miradi....so ni ubutu wa usimamizi na wala sio function ya residence ie Tanzania vs Abroad

Na kama we stick to professional ethics yote yanawezekana bila hata ya watu wa diaspora mkuu....let us be realistic when it comes to serious matters...

If you real mean the business come over and join hands to push this country uphills......satellite participation and monitoring is not a good methodology so far..........we need something more serious

Mkuu, heshima yako.

Kisichowezekana si Uzalendo bali ni kutojali au "ignorance" si kingine.

Ukiishakuwa na hali ya kutojali basi kila kitu kitaharibika na matokeo yake ndio yanaonekana leo hapa maana utaona baadhi ya majibu kutoka kwa baadhi ya wana JF ambao ni wale wanaofaidika na mfumo na ambao pia wameridhika na mfumo huo.

Nikisema mfumo namaanisha uzembe, ufisadi, rushwa iliyokithiri, uvivu wa kufikiria kutatua hata mambo madogo yaliyotuzunguka na dhuluma,uonevu na ukandamizaji wa hata kujaribu kuua mtu ambae anadai kuboreshwa maslahi ya kazini .

Hivi wewe mwenyewe umejiuliza kwamba ni kwanini kuwe na usimamizi mbovu wa miradi?, halafu unazungumzia professional ethics, ni nani wa kuzifuata? Si ni mimi na wewe?

Professional ethics inajumuisha "personal and corporate standards of behaviour" ambayo inakuwa "expected" na wananchi wa kawaida na ambao wanafahamu kwamba ninyi mna taaluma na wamekupeni ninyi wenye taaluma thamana ya kuhakikisha kwamba unapotoa maamuzi na kutumia utaalam wako, yanapatikana mawajabu yenye kuleta tija na maendeleo kwa taifa na kwa kila mwananchi.

Sasa professionals waliomo kwenye mfumo mbovu wote hawafanyi yale ambayo wananchi wa kawaida wanawatarajia wafanye na ndio maana kila "professional" sasa anaacha kazi ya taaluma yake na anataka awe mbunge ili nae afaidi hata kama mtu ana profession yake ya maana kwasababu ameona kule kwenye taaluma hakuna maana, sasa huo si ni uvivu wa kufikiri?

Mwisho, watanzania waishio nje wana ari kubwa ya kuleta maendeleo Tanzania na kwa kuwa mawazo yetu tunajua yanafanyiwa kazi basi tunaenda kidogokidogo na hata mabadiliko mengi tu yanafanyiwa kazi na tumeona kwenye maeneo ya katiba na mengine mengi tu yanakuja.

Kuhusu ufuatiliaji ni kwamba ukubali usikubali dunia ya leo si ya jana leo hii watu wanaweza kuingia Tanzania na kuondoka kesho yake, runinga zipo kila kona na wananchi wanapashwa habari, ukiondoa ukandamizaji wa hata kufungia magazeti kama ya Mwanahalisi.

Hivyo monitoring itakuwepo na tunafahamu mengi tu kuhusu nchi yetu na tunaipenda sana.
 
huyo anaishi kwa posho za nape wanfungulia next week anajiandaa apate pesa ya bia na kiti moto si unajua uamsho hawali bar siku hizi mauzo yamepungua kwi kwi kwi
 
Back
Top Bottom