Hizo mbwa mbona kama ni zile mbwa koko tofauti na huyo wa kizungu aliesimama, au hata huyo yupo kwenye foleni ya kuchinjwa.?
Ni biashara haramu na inafanywa kwa siri kubwaBIla shaka hii itakuwa chai.
Duh! Hatari sanaNi biashara haramu na inafanywa kwa siri kubwa
Mwanzoni walikuwa wananunuq vichanga vilivyokufa hospitalini.. Baadae watu walivyoona ni fursa wakaunda magenge ya biashara hii haramu
Wanawachukua mabinti kwa ahadi ya kazi lakini wakifika huko wanakuwa ni mateka wa ngono na mimba.. Mimba ikifikisha miezi fulani anapewa dawa inatoka wanakichukua kitoto kinaenda kupikwa
Chakula hiki huliwa na matajiri tuu wakiamini kinawaongezea siku za kuishi na nguvu za kiroho.. Mwanzoni bei ya chini ilikuwa $ 1000 kwa portion moja tuu...
Chakula hicho hupatikana kwenye hotel za kuanzia nyota 5 kwa oda maalum na kwa connection za siriView attachment 3358746
Hapo nimekuelewaKuna species nyingi sana za umbwa na si zote zinaliwa
Jamaa wanajali sana AFYA.
Wanakula mbwa na viumbe vingine vizuri tu na hakuna shida.
ILA MHEHE AKILA MBWA anasemwa kila Kona. Tafadhari watuache kuanzia sasa
Kweli Wa_China wana Haki Ya Kuupiga Vita Uislamu maana utawapungizia machaguo ya chakula.Jamaa wanajali sana AFYA.
Wanakula mbwa na viumbe vingine vizuri tu na hakuna shida.
ILA MHEHE AKILA MBWA anasemwa kila Kona. Tafadhari watuache kuanzia sasa