Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Tuombee pasije pakachafukaMzee Odinga sijui kanusa kushindwa sijui
Mawakala wake wamekuwa wakilalamikiwa na Tume kuzua vurugu kila mara kwenye ukumbi wa kuhesabia kura Bomas
Wakala Mkuu wa odinga anasema Bomas imekuwa chumba cha uhalifu akimaanisha haamini mchakato wa uhakiki
View attachment 2323329
Wanaosema kuna utulivu,uchaguzi wa Kenya,wameziba macho na masikio,matukio mengi,yameshatokea,mpaka ya kupigana risasi na kufariki msaidizi wa Mbunge.Msimamizi wa uchaguzi,hajulikani alipo.Wapo maofisa waliokimbia kituo cha kura.Ruto apunguziwa kura 10,000,Magari kukamatwa na karatasi zimeshapigwa kura,mashine za kura kuwa mbovu,sehemu nyingi.Malori kuwa na wapiga kura kutoka Uganda,Yupo aliyetoa form nne kwa mpiga kura, nk.Mzee Odinga sijui kanusa kushindwa sijui
Mawakala wake wamekuwa wakilalamikiwa na Tume kuzua vurugu kila mara kwenye ukumbi wa kuhesabia kura Bomas
Wakala Mkuu wa odinga anasema Bomas imekuwa chumba cha uhalifu akimaanisha haamini mchakato wa uhakiki
View attachment 2323329
Sio mchezo hizi story za kweli au za kupika?Wanaosema kuna utulivu,uchaguzi wa Kenya,wameziba macho na masikio,matukio mengi,yameshatokea,mpaka ya kupigana risasi na kufariki msaidizi wa Mbunge.Msimamizi wa uchaguzi,hajulikani alipo.Wapo maofisa waliokimbia kituo cha kura.Ruto apunguziwa kura 10,000,Magari kukamatwa na karatasi zimeshapigwa kura,mashine za kura kuwa mbovu,sehemu nyingi.Malori kuwa na wapiga kura kutoka Uganda,Yupo aliyetoa form nne kwa mpiga kura, nk.
Kuna baadhi ya maeneo kwenye ngome ya mgombea wa urais kura za urais zimekuwa nyingi kuliko kura zilizopigwa kwa wagombea wengine kama gavana, seneta, mbunge nk. Ni kama watu walikuwa wanaenda kumpigia kura rais tu na kuondoka!Wanaosema kuna utulivu,uchaguzi wa Kenya,wameziba macho na masikio,matukio mengi,yameshatokea,mpaka ya kupigana risasi na kufariki msaidizi wa Mbunge.Msimamizi wa uchaguzi,hajulikani alipo.Wapo maofisa waliokimbia kituo cha kura.Ruto apunguziwa kura 10,000,Magari kukamatwa na karatasi zimeshapigwa kura,mashine za kura kuwa mbovu,sehemu nyingi.Malori kuwa na wapiga kura kutoka Uganda,Yupo aliyetoa form nne kwa mpiga kura, nk.
Ruto kafanya upuuzi mkubwa sana asee. Angeshinda kama angetumia akili kuingilia matokeo!Ruto ananafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huu
Mnaombea itokee vurugu mpate kwa kuanzia?Bado.Kenya wameizidi Tanzania mbali sana izungumzwapo demokrasia.Tuna la kujifunza.Hajauliwa wala kupotezwa mkinzani.Intaneti ipo vema.Na wala Chebukati hajafuta uchaguzi ingawa Raila amedai yeye ni mshindi.
NB:Hivi Jecha yupo nchi hii?
Wewe utakuwa ni fisiemu ukidhani wote mnafanana kwa mipango mibovu ya maandalizi ya kupiga kuraWanaosema kuna utulivu,uchaguzi wa Kenya,wameziba macho na masikio,matukio mengi,yameshatokea,mpaka ya kupigana risasi na kufariki msaidizi wa Mbunge.Msimamizi wa uchaguzi,hajulikani alipo.Wapo maofisa waliokimbia kituo cha kura.Ruto apunguziwa kura 10,000,Magari kukamatwa na karatasi zimeshapigwa kura,mashine za kura kuwa mbovu,sehemu nyingi.Malori kuwa na wapiga kura kutoka Uganda,Yupo aliyetoa form nne kwa mpiga kura, nk.
Huyu Mzee Chebukati naye ni shida tupu.Mnaombea itokee vurugu mpate kwa kuanzia?Bado.Kenya wameizidi Tanzania mbali sana izungumzwapo demokrasia.Tuna la kujifunza.Hajauliwa wala kupotezwa mkinzani.Intaneti ipo vema.Na wala Chebukati hajafuta uchaguzi ingawa Raila amedai yeye ni mshindi.
NB:Hivi Jecha yupo nchi hii?
Huko huko Kenya, miaka siyo mingi iliyopita kulikuwa na mtu anaitwa Kivuitu, hakuwa na tofauti yoyote na Jecha wetu hapa!Mnaombea itokee vurugu mpate kwa kuanzia?Bado.Kenya wameizidi Tanzania mbali sana izungumzwapo demokrasia.Tuna la kujifunza.Hajauliwa wala kupotezwa mkinzani.Intaneti ipo vema.Na wala Chebukati hajafuta uchaguzi ingawa Raila amedai yeye ni mshindi.
NB:Hivi Jecha yupo nchi hii?