cutie bee
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 206
- 70
ni vurugu kati ya machinga na askari swala kupanga vitu chini...mabomu yamepigwa hatari,wezi wamejipatia vitu,na inasemekana baadhi ya bidhaa za wamachinga zimechukuliwa na polisi muda si mrefu wamachinga wameandamana wanaenda msimbazi kituo cha polisi kufata bidhaa zao..lakini hii ni nchi gani ambayo raia akiwa mwizi anachomwa moto akitafuta kwa jasho lake anakamatwa anapigwa na mali zake zinachukuliwa wakati mafisadi wamekaa huko ofisini tu wanakula kodi za watanganyika bila kuchukuliwa hatua..sio haki kwa kweli..uamuzi upo juu ya kila mtanzania kuchagua chaguo sahihi..muda ni sasa.