Great Thinkers wamepaki wachache sana ndugu yangu, humu ndani wamejazana div 5 tu.Mtu una post news alert watu wanaleta utani halafu wanajiita great thinker!! Mnazidi kuishusha dhamani forum yetu!! shame on you!!.Thanks waliotujuza ni city na machinga!.Mida hii naona na zima moto linapita kwa kasi!!
Mtu una post news alert watu wanaleta utani halafu wanajiita great thinker!! Mnazidi kuishusha dhamani forum yetu!! shame on you!!.Thanks waliotujuza ni city na machinga!.Mida hii naona na zima moto linapita kwa kasi!!
Jaman me naskia kuna fujo mgambo wanatupa mabom ya machoz
Great Thinkers wamepaki wachache sana ndugu yangu, humu ndani wamejazana div 5 tu.
Muda huu gari tatu,Polisi magari mawili na msd gari moja yamepita hapa kwa mwendo kasi ajabu wakiwa wamevalia full na siraha kamili.Aliyeko mtaani atujuze zaidi.
Inasemekana askari wa jiji walikuwa wanakamata biashara za wamachinga mtaa wa kongo, na wafanyabiashara hawakukubali ndipo fujo zikaanza na wafanyabiashara wakafunga barabra na kuchoma matairi, ndio Field Force wakaja kutawanya watu na mabomu ya machozi kupigwa kwa wingi na risasi za moto kupigwa hewani.
Police wanafanya fujo....????
Serikali za mitaa chama gani kimeshinda hapo?
Mmewapigia kura wenyewe acha wawasulubu
wananchi gani mliokufa akili ninyi
wewe umestarehe na kiroba chako unachochea wenzakowageuzieni na shavu la pili kama mkitaka, vinginevyo tumieni sera ya jino kwa jino. Mkitaka pepo sharti mfe kwanza