Vurugu kubwa zatokea Kariakoo, Dar

Vurugu kubwa zatokea Kariakoo, Dar

Wananchi wanahangaika kutafuta chochote ccm wanawapiga huku majizi ya escrow yanatetewa na ccm
 
Sina nia ya kuanzisha majibizano na wewe hapa, kama ntakuudhi nisamehe in advance. hivi kweli, katika yote humu, we umeona hilo ndio la maana kweli?!

Sana tena. Kuna zaidi ya lugha yetu ya Taifa?

Wewe kama Mtanzania una nini cha kujivunia zaidi ya Kiswahili leo hii? Ikiwa unashindwa kukilinda Kiswahili utaweza kulinda nini kingine? Lugha ndiyo uzalendo wa kwanza kuliko chochote kingine, uzalendo wako uko wapi?
 
Uchaguzi umeshapita lazima mtatimuliwa.

Ndio serikali tuliyoichagua majuzi katika uchaguzi.

Na mwakani wakichaguliwa tena wanabinafsisha mitaa yote ya kariakoo tuone kama wamachinga mtafana biashara hapo.


Poleni sana majeruhi na Poleni sana Wafiwa.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Sina nia ya kuanzisha majibizano na wewe hapa, kama ntakuudhi nisamehe in advance. hivi kweli, katika yote humu, we umeona hilo ndio la maana kweli?!

Achana na huyu bibi ndo zake yaani yeye kila siku ni kupitia comments za watu na kuangalia kama wameandika kiswahili fasaha utafikiri analipwa
 
Kwa Fujo na mateso walioyapata wananchi na wafanyabiashara wa kariako.Mm Leo nimekumbuka kauli ya msanii machachali ROMA MKATORIKI. Alipo Sema TANZANIA HAKUNA AMANI ILA UWOGA UMETAWALA.
 
Sana tena. Kuna zaidi ya lugha yetu ya Taifa?

Wewe kama Mtanzania una nini cha kujivunia zaidi ya Kiswahili leo hii? Ikiwa unashindwa kukilinda Kiswahili utaweza kulinda nini kingine? Lugha ndiyo uzalendo wa kwanza kuliko chochote kingine, uzalendo wako uko wapi?

ina maana wewe ndiyo mzalendo ..... huna uzalendo hata kidogo
 
Hyo ndo nchi ya aman na upendo tz tz nakupend kwa moyo wote
 
Wakazi wa mtwara tunapanda magar tunakuja kuwasaidia komaa nao mpaka jion tutakuwa tmefka.musichokee tatzo leo nyie watu wa dar ni waoga sana...tukifka ngoma mpaka magogoni

Mbonaaa hukuuu mlikimbiliaaa masasiii huku mshindweee iweee hukooo
 
Endeleeni kuchagua ccm mtaendelea kukiona cha moto. Mabomu na risasi ndo halali yenu na waziri mkuu feki pinda aliishaamuru mpigwe na muuawe tu! Kazi kwenu!!!
 
Kwa Fujo na mateso walioyapata wananchi na wafanyabiashara wa kariako.Mm Leo nimekumbuka kauli ya msanii machachali ROMA MKATORIKI. Alipo Sema TANZANIA HAKUNA AMANI ILA UWOGA UMETAWALA.

ndo maana yake wanatangaza amani huku wameficha mapanga.
 
Kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa nimejifunza kuwa wamachinga hawana mpango na mabadiliko,never care.Jukumu la kujiandikisha na kupiga kura wao hawana muda nalo.Naona wapigwe tu mpaka watakapopata akili
 
Sana tena. Kuna zaidi ya lugha yetu ya Taifa?

Wewe kama Mtanzania una nini cha kujivunia zaidi ya Kiswahili leo hii? Ikiwa unashindwa kukilinda Kiswahili utaweza kulinda nini kingine? Lugha ndiyo uzalendo wa kwanza kuliko chochote kingine, uzalendo wako uko wapi?

We ajuza ni laana kwa taifa
 
Walikuwa wapi siku zote? Wanasubiri sikukuu? Wezi tu
 
Kuna tetesi nilisikia kiongozi anasema,,,, "Wapigwe tu" naona ndo iyo.
 
Back
Top Bottom