FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
We ajuza ni laana kwa taifa
Sasa umekosa hoja.
We ajuza ni laana kwa taifa
ina maana wewe ndiyo mzalendo ..... huna uzalendo hata kidogo
Nackia wagambo wa Jiji wameliwa raia kwa kumpiga xo wamachinga wamekatA fujo
Hivi na huku jf kuna watu wanatumia x badala ya s? Mmmh
Hawa itakuwa wanavamia toka Facebook
Serikali za mitaa chama gani kimeshinda hapo?
Ninaichukia hii tabia vibaya sana, hawa watu wabaki hukohuko Facebook, hii jf ni ya great thinkers
Kuna maeneo ya Jiji hakuna wamachinga,hakuna biashara holela lakini bado machafu,hilo unalizungumziaje?hivi zile chemba zinazomwaga maji taka city center zinasababishwa na wamachinga?wamachinga hao hao na mamalishe wanaoitwa wachafuz wa jiji ndo wanaotozwa kodi.Mimi sijawah ku wa mmachinga ila wale vijana wenzetu mjue,watengenezeeni mechanism usiongee hapa kwakua umeshiba kiporo cha wali maharage unajambajamba tu,nimeshawahi kuona mgambo na polisi wakivunja vunja vyombo vya mama lishe pale roundabout ya Uhuru while mboga na wali wanaondoka navyo,Yule bint amepanga nyumba,anasomesha na ana majukumu mengine vile vile,na watu walio kwenye informal sector nchi hii ni wengi sana,je wanasaidiwaje?hebu vaa viatu vyao then uone hyo pinchi yake.Jiji lolote lile duniani lahitaji usafi na mipango, hatuwezi kubali watu wafanya biashara kiholela eti sababu ya kura. Hapana twahitaji endelea hivyo hatuna budi hata wachache waumie ili wengi wanufaike baadae
si nanyie mpigane..? Hii nchi haina viongozi tena..usitegemee haki tena,
Uchaguzi umeshapita lazima mtatimuliwa.
Ndio serikali tuliyoichagua majuzi katika uchaguzi.
Na mwakani wakichaguliwa tena wanabinafsisha mitaa yote ya kariakoo tuone kama wamachinga mtafana biashara hapo.
Poleni sana majeruhi na Poleni sana Wafiwa.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Hii ni hasira ya ccm kukosa kura za vijana na kuamua kuwafanyizia. Mbona siku zote hao jiji walikuwa wamewaacha? walikuwa wanasubiri uchaguzi upite wapime upepo? Wanachosahau ni kuwa uchaguzi mkuu upo mlangoni tayari.
What's this!!!
Uchaguzi umeshapita lazima mtatimuliwa.
Ndio serikali tuliyoichagua majuzi katika uchaguzi.
Na mwakani wakichaguliwa tena wanabinafsisha mitaa yote ya kariakoo tuone kama wamachinga mtafana biashara hapo.
Poleni sana majeruhi na Poleni sana Wafiwa.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Sasa umekosa hoja.
Wewe unaonekana kabisa umeshakuwa brain washed to the point of no return. Itabidi makachero wakutafute mapema kwani your thinking is unrealistic and you may be a danger to our modern society