Vpl 29/01/2014 live updates kutoka viwanja mbalimbali

Vpl 29/01/2014 live updates kutoka viwanja mbalimbali

Hivi viongozi wameshindwa kujuwa taratibu za usajili wanajuwa mpira kweli tm hii ya wauza sembe kwa kweli inaibisha sasa wanajisifu kuifunga cost subirini kipigo mrudi dar vichwa chini nyambafu

Bangi zinakupeleka kubaya wewe, angalia sana utapelekwa Mirembe muda si mrefu.
 
Bangi zinakupeleka kubaya wewe, angalia sana utapelekwa Mirembe muda si mrefu.

Mkuu makoye matale huyo jamaa kwanza nimeshamuujiza swali na bado hajanijibu..aliyekuwa kigogo wa simba HASANOO kesi yake ya kukutwa na nyara za serikali/meno ya tembo imeshafikia wapi au amekomalia kubwabwaja bila sababu, halafu yule Mchezaji wa Simba aliyekamatwa na madawa ya kulevya nchi za watu kuliendaje...ukimwona mstue anijibu
 
Vip ile kesi ya pembe za ndovu alizokamatwa HASANOO kiongozi wa SIMBA a.k.a mikia unaweza kujua imefikia wapi???au unabwabwaja tu hapa

Naaamini Yanga watashinda leo kwa sbb mechi ya kwanza hao Coastal walibebwa sana na mwamuzi!
 
Vip mwitikio wa mashabiki kuelekea mpambano wa leo ukoje kwa walioko maeneo ya uwanja..kunadalili ya uwanja kujaa au kawaida tu..kwa mlioko uwanjan au mnaofuatilia kupitia TV ya wauza koni mtujuze tafahali maana wengine tunategemea jf pekee, redio presha tupu
 
Kama walishindwa kumaliza kazi Uwanja wa Taifa wakaishia kutupa mawe huko Tanga wataweza?

Oman 2 Uturuki 1
 
leo ndio leo katika soka la bongo best luck azam fc..
 
Wadau,
Naomba tununue kabisa ticket mambo ya usumbufu pale nje
ya uwanja sio mazuri...Twendeni fasta tukacheki vitu vya Oman.
 
Naona mashabiki wengi wa Yanga hapa kwa Minchi..Jamaa wana uhakika
na pointi tatu, hayo ndio madai yao.
 
leo ndio leo katika soka la bongo best luck azam fc..
Ningefahamu lilipo kaburi la aliyekuroga ningeenda kulitandika bakora!
Maana huwezi kutumikia mabwana 3.
1.Simba
2.Azam
3.Mbeya City
Inahitaji kuwa na akili kama ya dr Slaa ili uweze kumudu!
 
Mkuu nipo, leo nitakuwa gado kabisa. Kwa siku kadhaa nilikuwa nje ya nchi sasa nimerudi. Hivi Coastal na JKT Oljoro walitokaje? Hii itatoa taswira ya mchezo wa leo.
Walichoshana nguvu kwa kila mmoja kuambulia point 1. Cost 1-1 jkt oljoro.
 
Back
Top Bottom