Hapa Taifa ndala anacheza rafu kweli
Simba wamepata goli la pili. Mfungaji Maguli.
Elias maguli....gooooooooooooool. ndanda 0 simba 1.
Mpira wanatoa ndanda afu unapigwa kwenda simba
hahaha....na bado.mtamfahamu tuHuyu sserunkuma danny kanunuliwa kwa bei gani mbona kimeo sana,
hahaha....lazima wakaeeeeer
Yanga hakuna timu pale kuna mababu fc
Simba wamepata goli la pili. Mfungaji Maguli.
Yanga hakuna timu pale.ni mababu fc timu ya magazetiTaifa raha sana.
Washambuliaji wa Yanga wanacheza kama washambuliaji wa taifa staz na beki ya Ruvu inacheza kama beki ya taifa staz ndio maana mpaka sasa 0-0
Vigagula FC , kipa wa Ruvu akiwa na taulo kosa
ndanda watashuka pambaff watafungwaje na mikia