Feitoto ana gundu kuachwa tena Stars?

Kichuchunge

JF-Expert Member
Dec 2, 2020
338
891
Jana kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche amemuacha tena kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Feitoto' na Jonas Mkude kwenye kikosi kitakachocheza dhidi ya Sudan.

Hii inakuwa mara ya pili mfululizo kwa Feitoto kuachwa na Amrouche akitangulia kukosa mechi dhidi ya Niger na Algeria, wakati Taifa Stars ikisaka tiketi ya kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika, nchini Ivory Coast.

Mara ya mwisho Amrouche kumuita Fei toto ni pale alipochaguliwa kuingia katika kikosi hicho katika mechi mbili dhidi ya Uganda, mchezo ulichezwa katika Uwanja wa Mkapa, Machi 28, baada ya ule uliofanyika Morocco.

Taifa Stars imeshaingia kambini ikijiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Sudan utakaofanyika nchini Saudi Arabia na kikosi hicho kitaondoka nchini leo kwenda nchini humo.

Kikosi hicho kitaondoka na wachezaji 26 wanaocheza ndani na nje ya nchi, wakiwemo makipa Beno Kakolanya, Metacha Mnata na Ally Salum.

Kocha wa zamani wa Yanga, Charles Mkwasa alisema kilichokea wakati wa mechi za mwisho za kufuzu kwa Afcon 2023 ndicho kilichopo kwa sasa na kocha (Amrouche) anatakiwa kuheshimiwa katika uamuzi wake.

"Mwanzo ilionekana kama hakufanya sawa, lakini nini kilitokea? Malengo yake yalitimia. Hata sasa tunaweza kumlaumu lakini hatutakuwa tunatenda haki, kwani yeye ndiye kocha na anajua nini anafanya," alisema kocha huyo wa zamani wa Ruvu Shooting.

Mabeki kwenye kikosi hicho ni Israel Patrick Mwenda(Simba), Abdulrazak Mohamed Hamza (Supersport United), Nickson Kibabage, Ibrahim Abdullah 'Bacca', Bakari Mwamnyeto, Dickson Job (Yanga) na Abdulmalik Adam (Mafunzo). Viungo ni Sospeter Bajana (Azam FC), Kibu Denis, Mzamiru Yassin (wote Simba), Baraka Majogoro (Chippa United), Mudathiri Yahya (Yanga), Abdi Banda, Abdulmalik Adam, Novatus Dismas (FC Shaktar) Wakati washambuliaji ni George Mpole (FC Lupopo), Said Khamis (Jedinstvo Ub), Nassor Saadun (Ihefu), Morice Michael, Ben Anthony, Saimon Msuva (JS Kabylie) na Mbwana Samatta (PAOK).
 
Tuache utani, hivi Feisal kweli umuite Kwa kiwango gani toka aende Azam, Feisal anahitaji kujipa muda yeye mwenyewe wa kuimprove arudi kule juu alipokuwa kipindi yuko yanga, ni matumizi mabaya ya nafasi kumuita Feisal...kocha anaangalia viwango na improvement za wachezaji siyo majina.
 
Life is so unfair..... Lakini Naamini Fei ipo siku atashinda vita
Fei alisha shinda vita yake, Yeye alihitaji maokoto zaidi kuliko kipaji chake.
Katika moja ya Mazungumzo ya Mayele anasema wakati wanakwenda kucheza na club African Feisal alimwambia anaondoka Yanga, Yeye akamshauri subiri msimu uishe ndio asepe.
Feisal angekua na subira kidogo kwasasa ungeweza kuta Yupo kwa waarabu na mshahara wa zaidi ya milioni 70.

Kwakua Feisal alikua kwenye kiwango cha juu siku hadi siku, Kitendo cha kuanzisha mgogoro na klabu yake kwa maokoto ya Azam ndio gharama anazolipia kwasasa.

Maokoto anapata ila uzito umeongezeka na mpaka sasa bado hajafikia kile kiwango chake.

Anacho takiwa ni kuongeza juhudi kwenye mazoezi ili afike pale alipo ishia na kusonga mbele
.
Yeye mwenyewe amekiri mazingira ya Azam ni mazuri, Apambane kurudisha uwezo alio wahi kuwa nao.
 
Fei alisha shinda vita yake, Yeye alihitaji maokoto zaidi kuliko kipaji chake.
Katika moja ya Mazungumzo ya Mayele anasema wakati wanakwenda kucheza na club African Feisal alimwambia anaondoka Yanga, Yeye akamshauri subiri msimu uishe ndio asepe.
Feisal angekua na subira kidogo kwasasa ungeweza kuta Yupo kwa waarabu na mshahara wa zaidi ya milioni 70.

Kwakua Feisal alikua kwenye kiwango cha juu siku hadi siku, Kitendo cha kuanzisha mgogoro na klabu yake kwa maokoto ya Azam ndio gharama anazolipia kwasasa.

Maokoto anapata ila uzito umeongezeka na mpaka sasa bado hajafikia kile kiwango chake.

Anacho takiwa ni kuongeza juhudi kwenye mazoezi ili afike pale alipo ishia na kusonga mbele
.
Yeye mwenyewe amekiri mazingira ya Azam ni mazuri, Apambane kurudisha uwezo alio wahi kuwa nao.
Ugali na sukari.
 
Jana kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche amemuacha tena kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Feitoto' na Jonas Mkude kwenye kikosi kitakachocheza dhidi ya Sudan.

Hii inakuwa mara ya pili mfululizo kwa Feitoto kuachwa na Amrouche akitangulia kukosa mechi dhidi ya Niger na Algeria, wakati Taifa Stars ikisaka tiketi ya kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika, nchini Ivory Coast.

Mara ya mwisho Amrouche kumuita Fei toto ni pale alipochaguliwa kuingia katika kikosi hicho katika mechi mbili dhidi ya Uganda, mchezo ulichezwa katika Uwanja wa Mkapa, Machi 28, baada ya ule uliofanyika Morocco.

Taifa Stars imeshaingia kambini ikijiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Sudan utakaofanyika nchini Saudi Arabia na kikosi hicho kitaondoka nchini leo kwenda nchini humo.

Kikosi hicho kitaondoka na wachezaji 26 wanaocheza ndani na nje ya nchi, wakiwemo makipa Beno Kakolanya, Metacha Mnata na Ally Salum.

Kocha wa zamani wa Yanga, Charles Mkwasa alisema kilichokea wakati wa mechi za mwisho za kufuzu kwa Afcon 2023 ndicho kilichopo kwa sasa na kocha (Amrouche) anatakiwa kuheshimiwa katika uamuzi wake.

"Mwanzo ilionekana kama hakufanya sawa, lakini nini kilitokea? Malengo yake yalitimia. Hata sasa tunaweza kumlaumu lakini hatutakuwa tunatenda haki, kwani yeye ndiye kocha na anajua nini anafanya," alisema kocha huyo wa zamani wa Ruvu Shooting.

Mabeki kwenye kikosi hicho ni Israel Patrick Mwenda(Simba), Abdulrazak Mohamed Hamza (Supersport United), Nickson Kibabage, Ibrahim Abdullah 'Bacca', Bakari Mwamnyeto, Dickson Job (Yanga) na Abdulmalik Adam (Mafunzo). Viungo ni Sospeter Bajana (Azam FC), Kibu Denis, Mzamiru Yassin (wote Simba), Baraka Majogoro (Chippa United), Mudathiri Yahya (Yanga), Abdi Banda, Abdulmalik Adam, Novatus Dismas (FC Shaktar) Wakati washambuliaji ni George Mpole (FC Lupopo), Said Khamis (Jedinstvo Ub), Nassor Saadun (Ihefu), Morice Michael, Ben Anthony, Saimon Msuva (JS Kabylie) na Mbwana Samatta (PAOK).
Kumbe ndo maana GENTAMYCINE kazira kuishabikia Taifa Stars

Aahaaaaaa

Kisa baba Estar na Zimbwe wameachwa
 
Jana kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche amemuacha tena kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Feitoto' na Jonas Mkude kwenye kikosi kitakachocheza dhidi ya Sudan.

Hii inakuwa mara ya pili mfululizo kwa Feitoto kuachwa na Amrouche akitangulia kukosa mechi dhidi ya Niger na Algeria, wakati Taifa Stars ikisaka tiketi ya kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika, nchini Ivory Coast.

Mara ya mwisho Amrouche kumuita Fei toto ni pale alipochaguliwa kuingia katika kikosi hicho katika mechi mbili dhidi ya Uganda, mchezo ulichezwa katika Uwanja wa Mkapa, Machi 28, baada ya ule uliofanyika Morocco.

Taifa Stars imeshaingia kambini ikijiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Sudan utakaofanyika nchini Saudi Arabia na kikosi hicho kitaondoka nchini leo kwenda nchini humo.

Kikosi hicho kitaondoka na wachezaji 26 wanaocheza ndani na nje ya nchi, wakiwemo makipa Beno Kakolanya, Metacha Mnata na Ally Salum.

Kocha wa zamani wa Yanga, Charles Mkwasa alisema kilichokea wakati wa mechi za mwisho za kufuzu kwa Afcon 2023 ndicho kilichopo kwa sasa na kocha (Amrouche) anatakiwa kuheshimiwa katika uamuzi wake.

"Mwanzo ilionekana kama hakufanya sawa, lakini nini kilitokea? Malengo yake yalitimia. Hata sasa tunaweza kumlaumu lakini hatutakuwa tunatenda haki, kwani yeye ndiye kocha na anajua nini anafanya," alisema kocha huyo wa zamani wa Ruvu Shooting.

Mabeki kwenye kikosi hicho ni Israel Patrick Mwenda(Simba), Abdulrazak Mohamed Hamza (Supersport United), Nickson Kibabage, Ibrahim Abdullah 'Bacca', Bakari Mwamnyeto, Dickson Job (Yanga) na Abdulmalik Adam (Mafunzo). Viungo ni Sospeter Bajana (Azam FC), Kibu Denis, Mzamiru Yassin (wote Simba), Baraka Majogoro (Chippa United), Mudathiri Yahya (Yanga), Abdi Banda, Abdulmalik Adam, Novatus Dismas (FC Shaktar) Wakati washambuliaji ni George Mpole (FC Lupopo), Said Khamis (Jedinstvo Ub), Nassor Saadun (Ihefu), Morice Michael, Ben Anthony, Saimon Msuva (JS Kabylie) na Mbwana Samatta (PAOK).
Afanye juhudi tu,bado kijana atachukuliwa akiongeza juhudi. Alipotez touch kukaa nje ya uwanja siku nyingi.
 
Jana kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche amemuacha tena kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Feitoto' na Jonas Mkude kwenye kikosi kitakachocheza dhidi ya Sudan.

Hii inakuwa mara ya pili mfululizo kwa Feitoto kuachwa na Amrouche akitangulia kukosa mechi dhidi ya Niger na Algeria, wakati Taifa Stars ikisaka tiketi ya kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika, nchini Ivory Coast.

Mara ya mwisho Amrouche kumuita Fei toto ni pale alipochaguliwa kuingia katika kikosi hicho katika mechi mbili dhidi ya Uganda, mchezo ulichezwa katika Uwanja wa Mkapa, Machi 28, baada ya ule uliofanyika Morocco.

Taifa Stars imeshaingia kambini ikijiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Sudan utakaofanyika nchini Saudi Arabia na kikosi hicho kitaondoka nchini leo kwenda nchini humo.

Kikosi hicho kitaondoka na wachezaji 26 wanaocheza ndani na nje ya nchi, wakiwemo makipa Beno Kakolanya, Metacha Mnata na Ally Salum.

Kocha wa zamani wa Yanga, Charles Mkwasa alisema kilichokea wakati wa mechi za mwisho za kufuzu kwa Afcon 2023 ndicho kilichopo kwa sasa na kocha (Amrouche) anatakiwa kuheshimiwa katika uamuzi wake.

"Mwanzo ilionekana kama hakufanya sawa, lakini nini kilitokea? Malengo yake yalitimia. Hata sasa tunaweza kumlaumu lakini hatutakuwa tunatenda haki, kwani yeye ndiye kocha na anajua nini anafanya," alisema kocha huyo wa zamani wa Ruvu Shooting.

Mabeki kwenye kikosi hicho ni Israel Patrick Mwenda(Simba), Abdulrazak Mohamed Hamza (Supersport United), Nickson Kibabage, Ibrahim Abdullah 'Bacca', Bakari Mwamnyeto, Dickson Job (Yanga) na Abdulmalik Adam (Mafunzo). Viungo ni Sospeter Bajana (Azam FC), Kibu Denis, Mzamiru Yassin (wote Simba), Baraka Majogoro (Chippa United), Mudathiri Yahya (Yanga), Abdi Banda, Abdulmalik Adam, Novatus Dismas (FC Shaktar) Wakati washambuliaji ni George Mpole (FC Lupopo), Said Khamis (Jedinstvo Ub), Nassor Saadun (Ihefu), Morice Michael, Ben Anthony, Saimon Msuva (JS Kabylie) na Mbwana Samatta (PAOK).
Kwa watu walioangalia mechi za Azam hawatashangaa hata kidogo. Ameonesha uwezo mdogo sana, na nadhani pia anampa wakati mgumu sana kocha wa Azam. Hata huko nahisi kocha atakuwa ameambiwa ni lazima acheze. Apambane kuinua kiwango tu.
 
Afanye juhudi tu,bado kijana atachukuliwa akiongeza juhudi. Alipotez touch kukaa nje ya uwanja siku nyingi.
Kumbuka kuwa radi haipigi mara mbili! Kiwango cha Feisal Yanga jhakikuchangiwa na kipaji chake binafsi tu bali ile training nzuri aliyokuwa anapata kule Yanga ndiyo iliyompaisha; training hiyo haipatikani hapo Azam.
 
Wengi tulishajua tu huyu dogo amepotea njia kwenda Azam, kama alivyofanya mwenzake Ramadhan Singano na Sopu! Tamaa ya fedha imewasababishia kuua viwango vyao.
 
Back
Top Bottom