FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

Carasco Putin

JF-Expert Member
Apr 23, 2022
8,675
25,850
MZIZIMA DERBY

Ni mtanange wa kukata na shoka baina ya Azam Vs Simba katika nusu fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho la Azam ndani ya dimba la NANGWANDA SIJAONA Mkoani Mtwara

Ni mchezo unaozikutanisha timu mbili zenye uhasama na mpira wa kiwango cha juu zaidi katika soka la Tanzania. Mara ya mwisho kwa timu hizi kukutana katika michuano hii ni msimu wa 2021 songea huko katika nusu fainali ambapo Simba ilishinda ushindi wa 1-0.

Azam itashuka dimbani ikihitaji kulipiza kisasi lakini pia kujaribu kutwaa ndoo hiyo huku Simba wakishuka dimbani kujaribu kushinda ili walau wapate taji la kufutia machozi msimu huu.

Mshindi wa mechi hii atakutana na mshindi wa mechi ya SINGIDA BIG STARS Vs YANGA katika mchezo wa Fainali utakaopigwa jijini TANGA baadae mwaka huu.

Huu ni mchezo ambao lazima mshindi apatikane. Hivyo hakutakuwa na droo.

Kutokana na uwanja wa NANGWANDA SIJAONA MTWARA kutokuwa na taa, mechi itapigwa saa 9:30 alasiri hivyo wapenzi na mashabiki mnakumbushwa kuwahi uwanjani na kwenye vibanda umiza.

Mchezo huu utakujia live kupitia Azam Sports 1HD na updates zote utazipata hapa usicheze mbali..
BAHLABANE BA NTWA

FvhcCLvXsAEsR-o.jpg

Fvhdt-wWcAcUkPz.jpg

Mchezo umeanza
2' Simba wanapata faulo karibu na eneo la kona, Chama anapiga kipa anaokoa
10' Mchezo una kasi, timu zote zinapeana zamu kushambulia
12' Azam FC wanafanya shambulizi kali langoni kwa Simba, Zimbwe Jr anaokoa mpira uliokuwa unaelekea wavuni
13' Kibe Denis anaenda kushambulia lakini anacheza faulo
23' Gooooooooooal….
Azam FC wanatangulia kwa goli la Lusajo Mwaikenda baada ya kipa wa Simba, kuutema mpira ndani ya boksi
27' Goooooooooooal
Kanoute anasawazisha kwa kichwa kimalizia krosi ya Saido Ntibanzokinza
37’ Chama anachezewa faulo
40’ Mchezo unaendelea kwa kasi, wanapeana zamu kumiliki mpira
41’ Simba walianza kwa kasi ya chini, wanaongeza kasi muda unavyosogea
45’ Zinaongezwa dakika 2
45’ Chama anakosa nafasi akiwa yeye na kipa, shuti lake linaokolewa

MAPUMZIKO

Kipindi cha pili kimeanza

47’ Simba wanapata faulo, Chama anapiga nje
50’ Sopu nalalamika kuchezwa faulo ndani ya boksi
52’ Presha ya mchezo inaongezeka, Azam FC wanaonekana kutofurahishwa na maamuzi ya refa
53’ Azam FC wanafanya shambulizi kali
53’ Kibu Denis anakosa nafasi ya wazi akiwa yeye na kipa
73’ Bado mambo ni magumu, Azam FC ndio wanaofika langoni mwa Simba mara kadhaa
76’ Goooooooooooooooal
Prince Dube anafunga goli la pili kwa Azam FC
86' Kanoute anapata kadi ya pili ya njano, inakuwa nyekundu
90' Zinaongezwa dakika 4
90' + 4 Simba wanashindwa kupata goli la kusawazisha

FULL TIME
 
MZIZIMA DERBY

Ni mtanange wa kukata na shoka baina ya Azam Vs Simba katika nusu fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho la Azam ndani ya dimba la NANGWANDA SIJAONA Mkoani Mtwara

Ni mchezo unaozikutanisha timu mbili zenye uhasama na mpira wa kiwango cha juu zaidi katika soka la Tanzania. Mara ya mwisho kwa timu hizi kukutana katika michuano hii ni msimu wa 2021 songea huko katika nusu fainali ambapo Simba ilishinda ushindi wa 1-0.

Azam itashuka dimbani ikihitaji kulipiza kisasi lakini pia kujaribu kutwaa ndoo hiyo huku Simba wakishuka dimbani kujaribu kushinda ili walau wapate taji la kufutia machozi msimu huu.

Mshindi wa mechi hii atakutana na mshindi wa mechi ya SINGIDA BIG STARS Vs YANGA katika mchezo wa Fainali utakaopigwa jijini TANGA baadae mwaka huu.

Huu ni mchezo ambao lazima mshindi apatikane. Hivyo hakutakuwa na droo.

Kutokana na uwanja wa NANGWANDA SIJAONA MTWARA kutokuwa na taa, mechi itapigwa saa 9:30 alasiri hivyo wapenzi na mashabiki mnakumbushwa kuwahi uwanjani na kwenye vibanda umiza.

Mchezo huu utakujia live kupitia Azam Sports 1HD na updates zote utazipata hapa usicheze mbali..View attachment 2613094
BAHLABANE BA NTWA
Mungu ibariki SIMBA (The Gallants)
 
MZIZIMA DERBY

Ni mtanange wa kukata na shoka baina ya Azam Vs Simba katika nusu fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho la Azam ndani ya dimba la NANGWANDA SIJAONA Mkoani Mtwara

Ni mchezo unaozikutanisha timu mbili zenye uhasama na mpira wa kiwango cha juu zaidi katika soka la Tanzania. Mara ya mwisho kwa timu hizi kukutana katika michuano hii ni msimu wa 2021 songea huko katika nusu fainali ambapo Simba ilishinda ushindi wa 1-0.

Azam itashuka dimbani ikihitaji kulipiza kisasi lakini pia kujaribu kutwaa ndoo hiyo huku Simba wakishuka dimbani kujaribu kushinda ili walau wapate taji la kufutia machozi msimu huu.

Mshindi wa mechi hii atakutana na mshindi wa mechi ya SINGIDA BIG STARS Vs YANGA katika mchezo wa Fainali utakaopigwa jijini TANGA baadae mwaka huu.

Huu ni mchezo ambao lazima mshindi apatikane. Hivyo hakutakuwa na droo.

Kutokana na uwanja wa NANGWANDA SIJAONA MTWARA kutokuwa na taa, mechi itapigwa saa 9:30 alasiri hivyo wapenzi na mashabiki mnakumbushwa kuwahi uwanjani na kwenye vibanda umiza.

Mchezo huu utakujia live kupitia Azam Sports 1HD na updates zote utazipata hapa usicheze mbali..View attachment 2613094
BAHLABANE BA NTWA
Azam msiniangushe
 
MZIZIMA DERBY

Ni mtanange wa kukata na shoka baina ya Azam Vs Simba katika nusu fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho la Azam ndani ya dimba la NANGWANDA SIJAONA Mkoani Mtwara

Ni mchezo unaozikutanisha timu mbili zenye uhasama na mpira wa kiwango cha juu zaidi katika soka la Tanzania. Mara ya mwisho kwa timu hizi kukutana katika michuano hii ni msimu wa 2021 songea huko katika nusu fainali ambapo Simba ilishinda ushindi wa 1-0.

Azam itashuka dimbani ikihitaji kulipiza kisasi lakini pia kujaribu kutwaa ndoo hiyo huku Simba wakishuka dimbani kujaribu kushinda ili walau wapate taji la kufutia machozi msimu huu.

Mshindi wa mechi hii atakutana na mshindi wa mechi ya SINGIDA BIG STARS Vs YANGA katika mchezo wa Fainali utakaopigwa jijini TANGA baadae mwaka huu.

Huu ni mchezo ambao lazima mshindi apatikane. Hivyo hakutakuwa na droo.

Kutokana na uwanja wa NANGWANDA SIJAONA MTWARA kutokuwa na taa, mechi itapigwa saa 9:30 alasiri hivyo wapenzi na mashabiki mnakumbushwa kuwahi uwanjani na kwenye vibanda umiza.

Mchezo huu utakujia live kupitia Azam Sports 1HD na updates zote utazipata hapa usicheze mbali..View attachment 2613094
BAHLABANE BA NTWA
Dah! Ngoja nianze safari ya kwenda kuangalia huu mtanange. Maana mshindi atakayepatikana leo, ana uwezekano mkubwa wa kukutana fainali na timu ya Wananchi.
 
Back
Top Bottom