Ha ha ha ha. Kumbe ni jirani yangu huku TBT Bima eeenh!
Hivi Yanga Si INA wachezaji wazee?
Hapa Taifa ndala anacheza rafu kweli
Aaaaha Serunkuma!! hela isharudi, Mtatukoma mwaka huu na beki zenu mbovu.
THEJEWDA katuandikia Simba 1-1 Ndanda, je ni sahihi? Maana Mkolaj ndo umesema utakuwa live kutoka Nangwanda
Taifa kwa gongowazi vp mbn kimya Makoye Matale?
Huyo atakuwa amelewa achana naye, kwa sasa ni mapumziko bado Simba wanaongoza kwa goli moja.
Taifa kwa gongowazi vp mbn kimya Makoye Matale?