WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Katika hatua ambayo imeibua mjadala mzito katika kipindi hiki cha Bunge la Bajeti, Kampuni ya Simu za mkononi ya Vodacom imemwaga Blackberry kila moja ikiwa na thamani ya Shilingi laki 7 na muda wa maongezi wa Shilingi 100, 000 ka wabunge 23 wa kamati ya Miundombinu akiwemo Spika wa Bunge Anna Simamba Makinda.
Baadhi ya Wabunge wameripotiwa kukataa simu hizo huku Mwenyekiti wa Kamati hiyo Peter Serukamba na Spika Anna Makinda wakidaka ofa hiyo kiulaini.
Source; Gazeti la MWANAHABARI la leo
My Take:
Si kwamba huu ni mkakati wa Vpdacom kuzima kelele za Wabunge ambao wamekuwa wakidai kuwa makampuni ya simu yamekuwa yakiwakamua wananchi vya kutosha na yamekuwa yakilipa kodi kiduchu?
Baadhi ya Wabunge wameripotiwa kukataa simu hizo huku Mwenyekiti wa Kamati hiyo Peter Serukamba na Spika Anna Makinda wakidaka ofa hiyo kiulaini.
Source; Gazeti la MWANAHABARI la leo
My Take:
Si kwamba huu ni mkakati wa Vpdacom kuzima kelele za Wabunge ambao wamekuwa wakidai kuwa makampuni ya simu yamekuwa yakiwakamua wananchi vya kutosha na yamekuwa yakilipa kodi kiduchu?