Vodacom wawajibishwe kukosekana huduma zao kuanzia saa 4:30 hadi saa 8:00 usiku, siku ya jana, Kahama

mkolintho

Member
Mar 3, 2023
56
40
Kwenu: vodacom:

Ninaandika kutokea Kahama mji wa dhahabu baada ya kuwa nimechukua muda kujiridhisha na wateja wengine.

Mji huu japo mdogo wenye kupewa hadhi ya ghiliba kama manispaa una miundombinu mibaya kabisa kuliko Chato au labda kuliko wilaya nyingi hapa nchini zisizokuwa na hadhi kama wenyewe.

Hata hivyo kutokana na mzunguko mkubwa wa pesa uliopo hapa usiokuwa na tija sana kwa walio wengi hasa wale wa chini: -

"Ujambazi unaendelea kuwa kitisho cha wazi."

Wanasema: "one mistake one goal."

"Kulikoni VODACOM jana mtandao wake kuporomoka baina ya 22:30 - 02:00 kututia mashakani huku wenyewe wakiwa wamejikalia kimya bila hata neno "sorry?"

Kwamba lines zilikuwa na network, lakini hakuna huduma zozote zikiwamo:
1. Kupiga simu - normal voice calls.
2. Internet
3. Ku access interactively na systems zao iwe mpesa, songesha, kuweka bando, kuangalia registration status ya simu (kupitia *106#)
4. Ku access huduma yao kwa wateja 100
5. Nk nk.
Kuwa tulipata usumbufu mno at the mercy ya majambazi watarajiwa kutupigia ripoti? Kwamba kibongo bongo bado hata neno la nini kilitokea au tutegemee nini kutokea kwenu?

Kuwa hIyo ni sawa?

Wako wapi TCRA kuzilinda haki zetu kama wateja na wadau kwenye sekta hii kama?

Kwa kweli ulikuwa usumbufu mkubwa mno jana. Kuwa Vodacom wamechagua kukaa kimya? Hii haikubaliki.

Acheni ubabaishaji vodacom - mteja ni mfalme.

Nini kilitokea, uko wapi uwajibikaji wenu?

You owe us explanations!

Ninawasilisha.
 
Upo sahihi...jana watu tumelpa miamala cha ajabu ..mtandao kama ume be hacked au jacked off...leo nmepata sms ya apologize
 
Kwa wilaya moja tu wawajibishe ni ngumu tuanze na umoja kuanza kupinga mkataba wa bandari.
Tukiweza ili tunaweza kuwajibisha yoyote bila tatizo
 
Niko Dar nauguza. Kwa kweli jana usiku mida hIyo ilikuwa changamoto kubwa kuwasiliana na wapendwa wetu tokea pande za huko Kwa mtandao huo.

Kwa hakika vodacom hawawezi kupita kimya kimya ki hivyo. Haikubaliki na itakuwa ni mno immoral.

Ulikuwa usumbufu mkubwa wenye kuhalalisha unuhimu wa wazi wa kusaka pia line za mitandao mingine.

Cc: denooJ

Kwenu: vodacom:

Ninaandika kutokea KAHAMA mji wa dhahabu baada ya kuwa nimechukua muda kujiridhisha na wateja wengine.

Mji huu japo mdogo wenye kupewa hadhi ya ghiliba kama manispaa una miundo mbinu mibaya kabisa kuliko Chatto au labda kuliko wilaya nyingi hapa nchini zisizokuwa na hadhi kama wenyewe.

Hata hivyo kutokana na mzunguko mkubwa wa pesa uliopo hapa usiokuwa na tija sana kwa walio wengi gasa wale wa chini: -

"Ujambazi unaendelea kuwa kitisho cha wazi."

Wanasema: "one mistake one goal."

"Kulikoni VODACOM jana mtandao wake kuporomoka baina ya 22:30 - 02:00 kututia mashakani huku wenyewe wakiwa wamejikalia kimya bila hata neno "sorry?"

Kwamba lines zilikuwa na network, lakini hakuna huduma zozote zikiwamo:

1. Kupiga simu - normal voice calls.
2. Internet
3. Ku access interactively na systems zao iwe mpesa, songesha, kuweka bando, kuangalia registration status ya simu (kupitia *106#)
4. Ku access huduma yao kwa wateja 100
5. Nk nk.

Kuwa tulipata usumbufu mno at the mercy ya majambazi watarajiwa kutupigia ripoti? Kwamba kibongo bongo bado hata neno la nini kilitokea au tutegemee nini kutokea kwenu?

Kuwa hIyo ni sawa?

Wako wapi TCRA kuzilinda haki zetu kama wateja na wadau kwenye sekta hii kama?

Kwa kweli ulikuwa usumbufu mkubwa mno
jana. Kuwa Vodacom wamechagua kukaa kimya? Hii haikubaliki.

Acheni ubabaishaji vodacom - mteja ni mfalme.

Nini kilitokea, uko wapi uwajibikaji wenu?

You owe us explanations!

Ninawasilisha
 
Kwa wilaya moja tu wawajibishe ni ngumu tuanze na umoja kuanza kupinga mkataba wa bandari.
Tukiweza ili tunaweza kuwajibisha yoyote bila tatizo

Bandari na wote wenye kutuchukulia poa haitusimamishi kukomaa nao wote sambamba.

Unyonge huu hadi lini?

vodacom wametukosea sana Kwa kutuweka hatarini kwa kutuzimia huduma tulizolipia tena kinyume cha makubaliano.

Nzengoni kwetu huratibu usalama wetu kwa kujuliana Hali kidijitali.

Kulikoni kutaka kutuzalishia panya wa barabarani kama wa mjini huko? Vipi bando zetu zilizo expire bila kukumbuka hatukuwepo hewani kwa sababu yao?

TCRA ni Kwa manufaa ya nani?
 
Mteja ni Kama abiria, thamani yako kabla hujapanda basi... Ukipanda ukalipa nauli, ulie au ucheke juu yako...
 

Palikuwa na habari hii:

keki2.jpg


Ng'ambo za NY Huko:


Kweli ni hatari si kidogo!
 
Palikuwa na habari hii:

View attachment 2706025

Ng'ambo za NY Huko:


Kweli ni hatari si kidogo!
Kumbe jamaa kwake ni New york? haya mafisadi ni hatari sn
 
Kumbe jamaa kwake ni New york? haya mafisadi ni hatari sn

Na kumewekwa angalizo mle BIla shaka tokea kwake:

"NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba."

Kwamba yeye ana pesa Kwa sababu amechapa sana kazi.

Ya kuwa "hakuna njia ya mkato kukuleteeni chakula mezani."

Kazi kweli kweli.
 
Na kumewekwa angalizo mle BIla shaka tokea kwake:

"NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba."

Kwamba yeye ana pesa Kwa sababu amechapa sana kazi.

Ya kuwa "hakuna njia ya mkato kukuleteeni chakula mezani."

Kazi kweli kweli.
Hata sijakuelewa
 
Back
Top Bottom